mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,098
- 9,994
1. Lema na Usaliti ni vitu viwili tofauti
2. Namuona Dalali hapo kama kuna pesa hata Lema anaweza kuwa takataka kumzidi bashite
2. Namuona Dalali hapo mtu wa kujikomba komba akidhihilisha kuwa wao ni wamoja ila wanapretend kuwa tofauti mbele yetu.
3. Lema ni mtu serious kuanzia Usoni hadi moyoni