CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 518
- 901
Jamani kama mnavyojua nchi hii bei za vitu avitabiriki, kujiwekea akiba ni jambo la msingi sana, leo sukari inasumbua lakini kwa waliokua na akiba ya kutosha mambo ni shwari.
Haya hii hapa fursa maharage safi kabisa na bei ni kitonga unateleza tu, tunauza kuanzia kilo moja na kuendelea
Kilo tunauza kwa sh 3300 lakini ukinunua kuanzia kilo 5 tutakuuzia kwa sh 3000.
Karibuni sana wadau
Haya hii hapa fursa maharage safi kabisa na bei ni kitonga unateleza tu, tunauza kuanzia kilo moja na kuendelea
Kilo tunauza kwa sh 3300 lakini ukinunua kuanzia kilo 5 tutakuuzia kwa sh 3000.
Karibuni sana wadau