Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024 waitaja NMB kama Benki bora zaidi Tanzania

Wafalme 18

Senior Member
Sep 17, 2023
120
126
IMG-20240224-WA0070.jpg


Benki ya NMB imeshinda tuzo tatu kutoka Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management zikiitambua Benki kama kinara katika utoaji huduma bora na wezeshi nchini.

NMB imepata heshima hiyo kupitia tuzo za ‘Mwaka za Umahiri wa Huduma kwa Wateja 2024 (Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024) ambapo benki ya Nmb iliibuka mshindi wa jumla wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kampuni zinazofanya kazi nchini.

Mbali na tuzo hiyo, NMB ilitangazwa mshindi wa pili katika Sekta ya Kibenki kwa utoaji huduma bora na mshindi wa pili katika kipengele cha mpango maalum na jumuishi wa huduma kwa wateja.

Tuzo za Umahiri wa Huduma kwa Wateja zilianzishwa mwaka 2010 na zimekuwa zikifanyika katika nchi mbalimbali Barani Afrika lakini zimefanyika jana kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam nchini Tanzania mwaka huu.

Tuzo hizi zimetolewa na Balozi John Ulanga, Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na kupokelewa na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja NMB - Abella Tarimo, alieambatana na Meneja wa Nmb Kanda ya Dar es Salaam, Dismas Prosper.
 
View attachment 2914804

Benki ya NMB imeshinda tuzo tatu kutoka Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management zikiitambua Benki kama kinara katika utoaji huduma bora na wezeshi nchini.

NMB imepata heshima hiyo kupitia tuzo za ‘Mwaka za Umahiri wa Huduma kwa Wateja 2024 (Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024) ambapo benki ya Nmb iliibuka mshindi wa jumla wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kampuni zinazofanya kazi nchini.

Mbali na tuzo hiyo, NMB ilitangazwa mshindi wa pili katika Sekta ya Kibenki kwa utoaji huduma bora na mshindi wa pili katika kipengele cha mpango maalum na jumuishi wa huduma kwa wateja.

Tuzo za Umahiri wa Huduma kwa Wateja zilianzishwa mwaka 2010 na zimekuwa zikifanyika katika nchi mbalimbali Barani Afrika lakini zimefanyika jana kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam nchini Tanzania mwaka huu.

Tuzo hizi zimetolewa na Balozi John Ulanga, Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na kupokelewa na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja NMB - Abella Tarimo, alieambatana na Meneja wa Nmb Kanda ya Dar es Salaam, Dismas Prosper.
This time NMB naona mmepata mwanahabari kindakindaki. Pokeeni maua yenu
 
View attachment 2914804

Benki ya NMB imeshinda tuzo tatu kutoka Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management zikiitambua Benki kama kinara katika utoaji huduma bora na wezeshi nchini.

NMB imepata heshima hiyo kupitia tuzo za ‘Mwaka za Umahiri wa Huduma kwa Wateja 2024 (Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024) ambapo benki ya Nmb iliibuka mshindi wa jumla wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kampuni zinazofanya kazi nchini.

Mbali na tuzo hiyo, NMB ilitangazwa mshindi wa pili katika Sekta ya Kibenki kwa utoaji huduma bora na mshindi wa pili katika kipengele cha mpango maalum na jumuishi wa huduma kwa wateja.

Tuzo za Umahiri wa Huduma kwa Wateja zilianzishwa mwaka 2010 na zimekuwa zikifanyika katika nchi mbalimbali Barani Afrika lakini zimefanyika jana kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam nchini Tanzania mwaka huu.

Tuzo hizi zimetolewa na Balozi John Ulanga, Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na kupokelewa na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja NMB - Abella Tarimo, alieambatana na Meneja wa Nmb Kanda ya Dar es Salaam, Dismas Prosper.
Ruth Zaipuna she like to be beautfull
 
Naona Ruth Zaipuna ameamua kuibadilisha kabisa sekta ya Benki nchi,

Kutoka kwenye ushindani uliojificha mpaka kwenye ushindani wazi kabisa.
 
Naona Ruth Zaipuna ameamua kuibadilisha kabisa sekta ya Benki nchi,

Kutoka kwenye ushindani uliojificha mpaka kwenye ushindani wazi kabisa.
Watanzania wengi bado hawajui kuhusu mambo ya Benki NMB waongeze promo zaidi na zaidi
 
View attachment 2914804

Benki ya NMB imeshinda tuzo tatu kutoka Taasisi ya Chartered Institute of Customer Management zikiitambua Benki kama kinara katika utoaji huduma bora na wezeshi nchini.

NMB imepata heshima hiyo kupitia tuzo za ‘Mwaka za Umahiri wa Huduma kwa Wateja 2024 (Annual Tanzania Service Excellence Awards 2024) ambapo benki ya Nmb iliibuka mshindi wa jumla wa Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) kwa kampuni zinazofanya kazi nchini.

Mbali na tuzo hiyo, NMB ilitangazwa mshindi wa pili katika Sekta ya Kibenki kwa utoaji huduma bora na mshindi wa pili katika kipengele cha mpango maalum na jumuishi wa huduma kwa wateja.

Tuzo za Umahiri wa Huduma kwa Wateja zilianzishwa mwaka 2010 na zimekuwa zikifanyika katika nchi mbalimbali Barani Afrika lakini zimefanyika jana kwa mara ya kwanza jijini Dar es Salaam nchini Tanzania mwaka huu.

Tuzo hizi zimetolewa na Balozi John Ulanga, Mkurugenzi wa Biashara ya Kimataifa na Diplomasia ya Uchumi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na kupokelewa na Mkuu wa Idara ya Huduma kwa Wateja NMB - Abella Tarimo, alieambatana na Meneja wa Nmb Kanda ya Dar es Salaam, Dismas Prosper.
Wamezingatia kipengele cha faida iliyopata kwa mwaka au Ubora wa huduma kwa wateja wake.
Mana kama ni ubora wa huduma;
1.Nachukizwa sana na suala la kusimama lisaa mpaka kufika kwa Teller.
2.Nishafikaga pale kwa ajili ya ufunguzi wa akaunti ya kampuni, ilinichukua masaa 6 mpaka kukamilisha.
3.Kuwezesha ATM card yangu kufanya miamala ya mtandaoni, mwezi mzima na bado ilikuwa naenda kila wiki kufanya maelezo.
 
Back
Top Bottom