ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    JamiiForums Tanzania TANGA: Watu watano wafariki kwenye ajali ya Scania na Semi trela

    Watu watano wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 21, 2020, mara baada ya malori mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Kitumbi mkoani Tanga, huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa ni uzembe wa kutokuzingatia sheria za usalama barabarani. Akizungumza na EATV&EA...
  2. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Bukoba: Watu 8 wafariki dunia na 6 kujeruhiwa katika ajali ya gari eneo la Rwamishenye

    Watu sita wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika ajali ya gari, linalofanya safari zake kati ya Kemondo na Bukoba Mjini, ajali hiyo imetokea maeneo ya Rwamishanye Bukoba..( dakika 14 zilizopita ) Chanzo: Habari Leo Online --UPDATE-- Watu nane wamefariki dunia na wengine sita...
  3. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Muuguzi aliyepona ajali tatu za meli ikiwemo titanic

    Kuna kumbukumbu nyingine za maisha yetu tupitiayo ikiwemo misukosuko, ghadhabu, matatizo , mihemko, tabu na vilio, furaha na bahati, kuanguka na kuinuka tena. Pasi na shaka vitakufanya umkumbuke Mungu wako. Mungu wako ambaye kwa namna tofauti tofauti za mapitio ya maisha yako unakosa sababu ya...
  4. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopatia ajali Mh. Hayati Edward Moringe Sokoine hapo Wami Dakawa Halijapewa Hadhi inayostahiki

    Wakuu, Yapata takribani miaka 36 tangu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine afariki kwa ajali ya gari huko Wami-Dakawa akitokea Dodoma baada ya kuahirisha bunge tarehe 12/4/1984 akielekea Jijini Dar Es Salaam. Eneo linalodaidaiwa ndipo ajali ilitokea baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongana...
  5. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ajali za barabarani zinaongoza kwa kuua wenye umri wa miaka 5 hadi 29

    Leo ni Siku ya Kuwakumbuka Wahanda wa Ajali za Brabarani duniani. Umoja wa Mtaifa umeonesha vifo vya ajali za barabarani vimefikia milioni 1.35. Na kuonekana madhara ya ajali yanaua zaidi watu wa miaka 5 hadi 29. Madhara hayo yameonekana zaidi kwa nchi zinazoendelea. Watu waliokuwa hatarini ni...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Thamani ya Rolls-Royce imeshuka baada ya ajali ya Ginimbi, Sifa nyingi zimeenda kwa Mjapan

    Inakuwaje WanaJF?! Watu wengi wamejiuliza maswali mengi na kushangaa inakuwaje Rolls-Royce Wraith Muingereza lenye thamani ya dollars za kimarekani laki tano (madafu 1.2 billion). lenye safety features kibao na mbwembwe za kila aina ligongane uso kwa uso na gari ndogo la mjapan Honda Fit bei...
  7. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania Watu zaidi ya 50 wanusurika kifo katika ajali basi la Abood

    Watu zaidi ya 50 wamenusurika kifo baada ya basi la Abood (T 266 DBV) walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam kupinduka mara mbili katika eneo la Ruvu wilayani Kibaha. Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wameiambia TBC kwamba ajali hiyo imetokea majira ya saa...
  8. N

    JamiiForums Tanzania Mchezaji wa Nkana afariki kwa ajali ya gari

    Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messi
  9. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania NGARA: Basi kampuni ya Emirates lapata ajali na kuua watu 15 baada ya kupinduka

    Watu 10 Wamefariki dunia na Wengine watano kujeruhiwa na kupelekwa hospital teule ya Nyamiaga wilayani Ngara, baada ya gari la abiria mali ya kampuni ya Emirates kuanguka likitokea Ngara kwenda Bukoba. Mganga mfawidhi wa hospital hiyo, David Mapunda amethibitisha. Dar es Salaam. Rais wa...
  10. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Idadi ya Mawakala wa Chadema waliokufa kwa ajali wafikia sita

    Mawakala wa CHADEMA waliopoteza maisha katika ajali ya gari wamefi kia sita. Majeruhi wawili wanaendelea kutibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa mjini Sumbawanga. Ajali hiyo ilitokea Jumatano na ilihusisha gari aina ya Noah lililokuwa likisafirisha mawakala tisa wa Chadema, kwenda...
  11. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania eti; Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro? Sijataka kuongelea kuhusu Kenya kwa maana wadau wataanza...
  12. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi apata ajali Morogoro, amelazwa Hospitali ya Rufaa na hali yake ni nzuri

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi , amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro Mkuu wa Mkoa huo, Loata Ole Sanare amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Na mgonjwa amelazwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro
  13. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe apata ajali Mkoani Kigoma, asafirishwa kwa ndege kwenda Dar

    Kiongozi wa chama ndugu Zitto Kabwe amepata ajali mida hii huko Kigoma kusini akiwa na watu wengine wanne jumla watu 5 wote wazima japo kiongozi ana majeraha anapelekwa hospitali habari zaidi kufuata baadaye. ====== Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ndugu Zitto Zuberi Kabwe amepata ajali...
  14. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Watu watano wafariki dunia katika ajali ya gari la abiria na la mizigo jijini Dar es Salaam

    Ajali mbaya imetokea asubuhi hii jijini Dar es Salaam ikihusisha magari mawili moja likiwa Scania Semi - Trailer na Daladala, inasemekana abiria wa daladala wamejeruhiwa na wengine kupoteza maisha. Pamoja na kuwekwa taa za kuongozea magari, eneo hilo la Chang'ombe linasemekana kuwa hatari...
  15. mugah di matheo

    JamiiForums Tanzania Katibu mkuu ACT, Ado Shaibu apata ajali

    Bwana Ado Shaibu amepata ajali huko Tunduru muda mfupi uliopita. Yupo salama na amekimbizwa hospitali Chanzo Facebook account ya gazeti la habari leo === Katibu Mkuu wa...
  16. Mpekuzi Tanzania

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mgombea wa CHADEMA Jimbo la Igunga apata ajali akiwa kalewa Chakaliii

    Mpaka sasa Makada wetu Wanaendelea kufuatilia hali ya mgombea na wapambe waliopata ajali usiku wa kuamkia Leo wakitoka kupiga kilaji kwa katibu uenezi Ndugu Kamanga VICENT
  17. G Sam

    JamiiForums Tanzania GE2020 Shinyanga: Salum Mwalimu amepata ajali eneo la Msoka akitoka kwenye kampeni za Urais jimbo la Msalala

    Tunapokea habari kuwa mgombea mwenza wa CHADEMA ndugu Salum Mwalim amepata ajali ya gari nadhani maeneo ya Msalala ==== Tumepata ajali mbaya sana eneo la Msoka Kata ya Ngogwa, Jimbo la Msalala tukitoka kwenye mkutano wa Kampeni jimbo la Msalala tukienda kwenye mkutano wa Kahama. Kwenye gari...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Serikali imetoa Tsh 250,000 kama ubani kwa kila familia ya mtoto aliyefariki kwenye shule ya waislamu Byamungu

    Serikali imetoa ubani wa sh 250,000 kwa kila familia iliyofiwa na mtoto kwenye ajali ya moto katika shule ya waislamu huko Kyerwa mkoani Kagera. Kadhalika Serikali inawagharamia wanafunzi wengine sita wanaopatiwa matibabu katika hospitali ya Bugando. Maendeleo hayana vyama!
  19. T

    JamiiForums Tanzania Polepole atangaza CCM kusimamia matibabu ya Wasanii waliopata ajali

    Chama cha Mapinduzi kimesema kuwa kinafuatilia kwa ukaribu na kuhakikisha wasanii watatu ambao ni Luludiva, Belle9 na Bonge la Nyau ambao wamepata ajali hii leo wakati wakitokea mkoani Iringa wanapata matibabu haraka. Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho. Humphrey Polepole kupitia ukurasa...
  20. J

    JamiiForums Tanzania CCM yapokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya ya Wasanii Belle 9 na Bonge la Nyau, yawatakia uponyaji wa haraka!

    Mwenezi wa CCM komredi Polepole amesema chama kimepokea kwa mshtuko taarifa ya ajali mbaya iliyowahusisha Wasanii Belle 9 na Bonge la nyau. Polepole amewatakia uponyaji wa haraka na kwamba chama kinafuatilia kwa karibu tukio na chanzo cha ajali hiyo. Source Ayo tv Maendeleo hayana vyama! ===...
Back
Top Bottom