ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania MOI: Kuna ongezeko la Wagonjwa wengi watokanao na ajali. Nusu ya Wagonjwa ni ajali za bodaboda

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI), imesema imekuwa ikiwapoteza wagonjwa kati ya wawili hadi watatu kila mwezi katika Idara ya Wagonjwa wa Dharura kutokana na ajali zikiwamo za pikipiki. Ofisa wa Takwimu wa MOI, Joshua Ngahyoma, aliiambia Nipashe...
  2. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania Iran yapata Pigo, sasa hivi si kutoka Israel bali ajali na majanga ya asili

    Mzuka Wanajamvi! Ayatollah pressure inazidi na anazidi kupata wakati mgumu Wapanda milima (climbers) 10 wamekufa katika milima ya kaskazini mwa Tehran baada ya dhoruba kubwa ya theluji kuanguka na wengi kadhaa hawafahamiki walipo. Pia mabaharia saba wamepoteza maisha baada ya dhoruba kali...
  3. mama D

    JamiiForums Tanzania Wamama wamekuwa wakali na ajali za barabarani

    Dereva la lorry amekiona cha mtemakuni 😁😁😁😁😁😁
  4. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Napinga kauli za kusema "Mwisho wa mwaka ajali na vifo ni vingi

    Mtu anatoa kauli hii bila kutoa takwimu za vifo au ajali za miezi mingine huku akilinganisha na Desemba. Kwakuwa watu wengi wako likizo basi habari husambaa haraka na kwa wingi. Tukio moja likitokea hupambwa kwenye media zote. Pia ili upige hesabu sawia ya takwimu ya ajali barabarani usisahau...
  5. Ilitara kimura

    JamiiForums Tanzania Singida: Watu 14 wafariki na watatu kujeruhiwa ajali ya Lori na hiace

    Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa Singida, Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga barabarani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿‍♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi...
  6. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Ajali si lazima watu waishuhudie kwa macho na ikutoe damu, hii pia ni ajali

  7. beth

    JamiiForums Tanzania TANGA: Watu watano wafariki kwenye ajali ya Scania na Semi trela

    Watu watano wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 21, 2020, mara baada ya malori mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Kitumbi mkoani Tanga, huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa ni uzembe wa kutokuzingatia sheria za usalama barabarani. Akizungumza na EATV&EA...
  8. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Bukoba: Watu 8 wafariki dunia na 6 kujeruhiwa katika ajali ya gari eneo la Rwamishenye

    Watu sita wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika ajali ya gari, linalofanya safari zake kati ya Kemondo na Bukoba Mjini, ajali hiyo imetokea maeneo ya Rwamishanye Bukoba..( dakika 14 zilizopita ) Chanzo: Habari Leo Online --UPDATE-- Watu nane wamefariki dunia na wengine sita...
  9. Da Vinci XV

    JamiiForums Tanzania Muuguzi aliyepona ajali tatu za meli ikiwemo titanic

    Kuna kumbukumbu nyingine za maisha yetu tupitiayo ikiwemo misukosuko, ghadhabu, matatizo , mihemko, tabu na vilio, furaha na bahati, kuanguka na kuinuka tena. Pasi na shaka vitakufanya umkumbuke Mungu wako. Mungu wako ambaye kwa namna tofauti tofauti za mapitio ya maisha yako unakosa sababu ya...
  10. Intelligence Justice

    JamiiForums Tanzania Eneo alilopatia ajali Mh. Hayati Edward Moringe Sokoine hapo Wami Dakawa Halijapewa Hadhi inayostahiki

    Wakuu, Yapata takribani miaka 36 tangu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine afariki kwa ajali ya gari huko Wami-Dakawa akitokea Dodoma baada ya kuahirisha bunge tarehe 12/4/1984 akielekea Jijini Dar Es Salaam. Eneo linalodaidaiwa ndipo ajali ilitokea baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongana...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Ajali za barabarani zinaongoza kwa kuua wenye umri wa miaka 5 hadi 29

    Leo ni Siku ya Kuwakumbuka Wahanda wa Ajali za Brabarani duniani. Umoja wa Mtaifa umeonesha vifo vya ajali za barabarani vimefikia milioni 1.35. Na kuonekana madhara ya ajali yanaua zaidi watu wa miaka 5 hadi 29. Madhara hayo yameonekana zaidi kwa nchi zinazoendelea. Watu waliokuwa hatarini ni...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Thamani ya Rolls-Royce imeshuka baada ya ajali ya Ginimbi, Sifa nyingi zimeenda kwa Mjapan

    Inakuwaje WanaJF?! Watu wengi wamejiuliza maswali mengi na kushangaa inakuwaje Rolls-Royce Wraith Muingereza lenye thamani ya dollars za kimarekani laki tano (madafu 1.2 billion). lenye safety features kibao na mbwembwe za kila aina ligongane uso kwa uso na gari ndogo la mjapan Honda Fit bei...
  13. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania Watu zaidi ya 50 wanusurika kifo katika ajali basi la Abood

    Watu zaidi ya 50 wamenusurika kifo baada ya basi la Abood (T 266 DBV) walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam kupinduka mara mbili katika eneo la Ruvu wilayani Kibaha. Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wameiambia TBC kwamba ajali hiyo imetokea majira ya saa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Mchezaji wa Nkana afariki kwa ajali ya gari

    Ni kiungo wa nkana crispin mulenga kafariki jana kwa ajali kacheza juzi meci ya charity shield dhidi ya indeni team iliopanda daraja ambayo anachezea mcheaji wa zamani wa utoplo fc Juma abdul,kwenye picha huyu hapa yuko mbele ya ramadhani singano messi
  15. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania NGARA: Basi kampuni ya Emirates lapata ajali na kuua watu 15 baada ya kupinduka

    Watu 10 Wamefariki dunia na Wengine watano kujeruhiwa na kupelekwa hospital teule ya Nyamiaga wilayani Ngara, baada ya gari la abiria mali ya kampuni ya Emirates kuanguka likitokea Ngara kwenda Bukoba. Mganga mfawidhi wa hospital hiyo, David Mapunda amethibitisha. Dar es Salaam. Rais wa...
  16. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Idadi ya Mawakala wa Chadema waliokufa kwa ajali wafikia sita

    Mawakala wa CHADEMA waliopoteza maisha katika ajali ya gari wamefi kia sita. Majeruhi wawili wanaendelea kutibiwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Rukwa mjini Sumbawanga. Ajali hiyo ilitokea Jumatano na ilihusisha gari aina ya Noah lililokuwa likisafirisha mawakala tisa wa Chadema, kwenda...
  17. Infantry Soldier

    JamiiForums Tanzania Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Ndugu zangu Watanzania eti; Jamuhuri ya Afrika ya Kusini (SADC Super Power) walitusaidia wakati wa ajali ya MV Bukoba. Mbona tumewasahau katika janga hili la Mlima Kilimanjaro? Sijataka kuongelea kuhusu Kenya kwa maana wadau wataanza...
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Prof. Kabudi apata ajali Morogoro, amelazwa Hospitali ya Rufaa na hali yake ni nzuri

    Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi , amepata ajali eneo la Kihonda, Manispaa ya Morogoro Mkuu wa Mkoa huo, Loata Ole Sanare amethibitisha kutokea kwa tukio hilo. Na mgonjwa amelazwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro
  19. Cannabis

    JamiiForums Tanzania Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe apata ajali Mkoani Kigoma, asafirishwa kwa ndege kwenda Dar

    Kiongozi wa chama ndugu Zitto Kabwe amepata ajali mida hii huko Kigoma kusini akiwa na watu wengine wanne jumla watu 5 wote wazima japo kiongozi ana majeraha anapelekwa hospitali habari zaidi kufuata baadaye. ====== Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ndugu Zitto Zuberi Kabwe amepata ajali...
  20. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Watu watano wafariki dunia katika ajali ya gari la abiria na la mizigo jijini Dar es Salaam

    Ajali mbaya imetokea asubuhi hii jijini Dar es Salaam ikihusisha magari mawili moja likiwa Scania Semi - Trailer na Daladala, inasemekana abiria wa daladala wamejeruhiwa na wengine kupoteza maisha. Pamoja na kuwekwa taa za kuongozea magari, eneo hilo la Chang'ombe linasemekana kuwa hatari...
Back
Top Bottom