NDUGU yangu NAJUA hunijui
Omba Salii funga sanaa UKIONA vita imeanza hivi MDA WA kujifunga mkanda na Mungu ama upande WA pili asimame NA wewe mpaka MWISHO WA kampeni
POLENI sana wafiwa pole sana kaka ERICK kwa kuhairbikiwa GARI
Aliefariki ni dereva wake
===
Gari ya Mtangazaji wa TBC Enock...
Mtangazaji wa michezo TBC ambaye anagombea ubunge jimbo la Rungwe mkoani Mbeya amekanusha taarifa zinazoenea kwamba amepata ajali mbaya.
Bwigane amesema wakati ajali inatokea hakuwa ndani ya gari ila dereva amefariki.
Source Swahili Times
Rip dereva wa Bwigane.
Maendeleo hayana vyama
Hamjambo wanaJamii Forum wenzangu. Napenda kuitumia nafasi hii kuipongeza serikali ya awamu ya tano chini ya uongozi madhubuti wa Rais wetu John Pombe Magufuli kwa kutilia mkazo kudhibiti mwendokasi wa mabasi yaendayo mikoani, kwa kumulika vitochi na kuratibu muda wa kuondoka na kufika na sasa...
Ukiwa hapa urafiki karibu na kituo cha Polisi, mbele ya ofisi za mabasi ya SHABIBY line, Kuna vibanda vimepangwa barabarani na wafanyabiashara, Hali inayopelekea sisi madereva kukosa njia ya kupita kwa usalama na kunusurika Mara kadhaa kuvigonga vikiwa na wafanyabiashara ndani.
Mwanzo sisi...
Kwa kweli kwa hilo la mguu wa Mbowe linafikirisha mno!
Ukweli ni kwamba wana siasa ni binadamu kama wengine na huamua pia kusitiriana kwa mambo kadha wa kadha ambayo kwao ni ya aibu.
Mfano: Kuumia kwa mguu wa ndugu Mbowe ni wazi vyombo vya dola vimeaswa na kuelekezwa viachane nalo kwa sababu...
Nimeliwaza wazo hili kwa kina na kuona kuwa ikiwa ndege vita marubani hupona itokeapo ajali kwa kufyatuka na kiti basi ni possible ndege za abiria kuwa na mfumo huo ila wazingatie mwavuli uwe na uwezo wa kuelea katika maji.na pia wapitishe watumishi wa ndege codes maalumu kabla ya kufyatua ikiwa...
Leo nlikuwa na Jeep mitaa flani town.nikawa na mambo yangu mengi kichwani maana next week natakiwa kwenda Canada na Norway sasa sijajua protokali zake kwa sasa. Nmeangalia kwenye Calendar ndo naona hiyo Issue.
Nikiwa sina hili wala lile kumbe kwenye zebra kuna jamaa alikuwa anaendesha VW yake...
Kuna ajali eneo la mto wami upande wa bagamoyo baada ya mzani mbele ya magenge ya yauza matunda.
Ajali hiyo imeusisha basi la Cost line lifanyalo safari zake kati ya Dar -Tanga na gari ndogo aina ya Noah, mwenye taarifa kamili na hii ajali tafadhali weka hapa umma unasubili kwa undani
Watu 5 wamefariki 2 kujeruhiwa baada ya gari dogo aina ya Noah lililokuwa likitokea Morogoro kwenda Dodoma kugongana na lori eneo la kibaigwa jijini Dodoma.
Watu watano (5)wamepoteza maisha na wengine wawili kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyotokea alfajili ya Leo katika eneo la...
Gari nne likiwemo lori la mafuta zimegongana na kusababisha ajali katika eneo la Mlandizi mkoani Pwani usiku wa kuamkia leo Julai 2, na kupelekea kifo cha mtu mmoja na majeruhi watatu, abiria wanaotokea Dar es Salaam wameshauriwa kutumia barabara ya Bagamoyo.
Akifafanua zaidi kuhusu tukio hili...
Watu nane wamefariki dunia na watano kujeruhiwa baada ya Lori kugonga trekta jana usiku.
Baada ya trekta kugongwa ilihama njia na kwenda kuigonga Hiace katika eneo la Kisesa, Magu mkoa wa Mwanza.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Jumanne Muliro, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Bi Sarah Cooke anaeleza kusikitishwa na tukio la Mbowe kushambuliwa, aidha anavitaka vyombo vya usalama kuhakikisha kuwa wanasiasa wanatoa maoni yao kwa uhuru kuelekea uchaguzi mkuu.
''I am deeply concerned by the attack on Chadema Chairman Freeman Mbowe. All politicians in Tanzania must be...
Kumetokea ajali asubuhi ya leo Juni 07, 2020 katika eneo la Mbembela jijini Mbeya iliyohusisha gari dogo la abiria aina ya Hiace, lori la mafuta, lori la bidhaa na Bajaji.
Katika ajali hiyo Mtu mmoja amefariki na wengine wanne kujeruhiwa baada ya lori hilo lililokuwa limebeba mafuta kufeli...
Amani kwako.
Kuna ajali imetokea Dar Es Salaam pale mbezi mwisho iliyohusisha basi kubwa la kuelekea mikoani.
Kinachofuatia.
Basi linalojulikana kwa jina la Novo coach linalofanya safari zake za kila siku kutoka Dar kuelekea Kigoma ndilo lililopinduka na katika maeneo hayo ya mbezi mwisho...
Sheria ya usalama wa Barabarani ya mwaka 1973 inatakiwa kufanyiwa marekebisho makubwa ili kupunguza ajali za barabarani.
Kuelekea kwenye uchumi wa viwanda tunahitaji kuhakikisha usalama wa raia unapewa kipaumbele kwa sababu raia ndiyo uchumi wenyewe.
Kila mmoja wetu ni mlinzi, viongozi na...
Moto ambao haujafahamika umesababishwa na nini umewaka na kuteketeza vibanda vya biashara takriban 8 katika eneo la stendi ya Msamvu, usiku wa kumakia leo
Akizungumza baada ya kuudhibidti moto huo, Kamanda wa Uokoaji na Zimamoto mkoani humo, Godluck Zerote amesema hakuna mtu aliyedhurika bali...
Kama inavyoelezea hapo juu,
Uwe na ama Comprehensive au Third part Insuarance, ama umegonga au umegongwa, kutoa taarifa kwa haraka Kwa Kampuni ya Bima ni jambo la msingi sana.
Mfano wa Barua hiyo, ni kama hii niliyokuambatanishia.
Unaweza kufuatilia jambo lako wewe mwenyewe, au ukatumia...
Nawasalimu
Serikali ya Awamu ya Tano Chini ya Mh. Dr. John Pombe Joseph Magufulu inajitahidi sana kujenga miundombinu nchini ikiwemo barabara. Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuelezea ajali ambazo nimekuwa nikizishuhudia katika barabara ya Morogoro jijini Dar es Salaam hususan kuanzia Kimara...
Waziri Simbachawene amemwagiza IGP kuwaondoa trafiki wote wenye vitambi na kuwapangia kazi nyingine.
Najiuliza, ipo sheria inayokataza trafiki kuwa na kitambi? Shughuli ya utrafiki Ni ngumu kuliko majukumu ya OCD, OCS na RPC?
Natamani awamulike pia hao, ila pia tofauti na utrafiki kazi...
Hakuna mtu yeyote mwenye akili timamu wa kizazi hiki anaweza kukimbilia ajali ya lori likiangua liwe na maji, mafuta ya taa, diesel au petrol aliyeshuhudia iwe kupitia Tv au kwa macho eneo la ajali mbaya ya lori la mafuta iliyotokea Msamvi Moro. Hii ni kwa sababu ya hofu ya kuwaona binadamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.