Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,036
- 20,337
Simanzi na majonzi kutoka kwa wazazi, walimu na wanafunzi wa St Lucky Vincent katika kumbukumbu ya ajali iliyouwa watoto 32, walimu wawili na dereva mmoja mnamo Mei 6 2017.
Mamia ya watu walihudhuria katika ajali hiyo iliyo tokea mei 6,2017 katika wilaya ya Karatu mkoani Arusha ambayo iliibua majonzi kwa watanzania wote.
Hata hivyo macho ya wengi yalikuwa kwa manusura watatu ambao walitaja kuwa ni watoto wa miujiza.
Manusura hao ambao ni Doreen Elibariki, Wilson Tarimo na Sadia Awadh, kila mmoja kwa nafasi yake waliweza kutoa shukrani zao za dhati kwa huduma ya afya huko nchini Marekani na kupata ufadhili wa elimu nzuri ya sekondari.
Lakini kwa sasa Sadia yupo kidato cha nne.
Sadia mwenye umri wa miaka kumi na saba, mama ake anasema alipoteza kumbukumbu kwa muda baada ya ajali na kukiri kuwa alijikuta yuko nchi ya kigeni mara baada ya tukio hilo.
Aliongeza kuwa ana kila sababu ya kushukuru kwa kupata nafasi nyingine katika maisha.
''Sasa anaweza kukumbuka jinsi dereva alivyoshindwa kulihimili gari mpaka ajali ikatokea" alisimulia.
Hiyo ndio ilikuwa ajali ya watoto wa Lucky Vincent.
Mamia ya watu walihudhuria katika ajali hiyo iliyo tokea mei 6,2017 katika wilaya ya Karatu mkoani Arusha ambayo iliibua majonzi kwa watanzania wote.
Hata hivyo macho ya wengi yalikuwa kwa manusura watatu ambao walitaja kuwa ni watoto wa miujiza.
Manusura hao ambao ni Doreen Elibariki, Wilson Tarimo na Sadia Awadh, kila mmoja kwa nafasi yake waliweza kutoa shukrani zao za dhati kwa huduma ya afya huko nchini Marekani na kupata ufadhili wa elimu nzuri ya sekondari.
Lakini kwa sasa Sadia yupo kidato cha nne.
Sadia mwenye umri wa miaka kumi na saba, mama ake anasema alipoteza kumbukumbu kwa muda baada ya ajali na kukiri kuwa alijikuta yuko nchi ya kigeni mara baada ya tukio hilo.
Aliongeza kuwa ana kila sababu ya kushukuru kwa kupata nafasi nyingine katika maisha.
''Sasa anaweza kukumbuka jinsi dereva alivyoshindwa kulihimili gari mpaka ajali ikatokea" alisimulia.
Hiyo ndio ilikuwa ajali ya watoto wa Lucky Vincent.
Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)
Nimepata habari isiyo na shaka kuwa gari aina ya coaster limeua watoto karibu wote waliokuwa wanaelekea mjini Karatu kwa ziara ya kimasomo including(joint examinations), taarifa zinasema wamebaki watoto(3) tu wengine wamefariki, shule inaitwa Lucky Vincent Nursery & Primary School ipo Arusha...
www.jamiiforums.com