Elia F Michael
Member
- Mar 3, 2018
- 75
- 799
Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.
Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea.
Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa Duniani
Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa barabarani gari likiwa linatembea.
Nimepata shida Sana. Mungu amesema niendelee kuwepo kuwepo kwanza. Nadhani nimepata nafasi ya kurekebisha makosa yangu hapa Duniani