Kuna kumbukumbu nyingine za maisha yetu tupitiayo ikiwemo misukosuko, ghadhabu, matatizo , mihemko, tabu na vilio, furaha na bahati, kuanguka na kuinuka tena.
Pasi na shaka vitakufanya umkumbuke Mungu wako.
Mungu wako ambaye kwa namna tofauti tofauti za mapitio ya maisha yako unakosa sababu ya...