ajali

Mozaffar Ajali (Persian: مظفر اجلی‎, born 30 December 1962) is an Iranian weightlifter. He competed in the 1992 Summer Olympics.

View More On Wikipedia.org
  1. Sam Gidori

    Ajali ya lori na treni ya abiria Buguruni

    Ajali ya Treni imetokea Vingunguti ikihusisha lori lililokuwa limebeba sukari lenye namba za usajili T 278 DQS na treni ya abiria. - Treni haikuwa na abiria. Chanzo: Azam TV
  2. Jidu La Mabambasi

    Gari ya Jaji yasababisha ajali baada ya kutanua, vijana wa ujenzi Mwenge-Morocco wagongwa

    Utanuaji wa magari ya Serikali sasa yameanza kusababisha maafa. Leo jioni gari Kilimo Kwanza la Jaji mmoja, pale Mwenge limesababisa ajali na kupelekea daladala lililouwa linamkwepa huyo mkubwa kugonga wajenzi wa barabara Mwenge-Morocco. Vijana kadhaa wajenzi wamegongwa na kukimbizwa...
  3. Nyendo

    Mkurugenzi wa Tarime mjini apata ajali Manyoni Singida

    Taarifa ya ajali Manyoni, Singida. Jamani hii ajali mbaya nimeishuhudia nipo kwenye Nyehunge ya Mwanza kuja Morogoro mjini duuhh mbaya sana imehusisha fuso moja hivi nayo tairi za mbele zote zimechomoka ndio chanzo cha ajali hii. ===== Mkurugenzi wa Tarime Mjini amepata Ajali mbaya sana maeneo...
  4. Suley2019

    Indonesia: Ndege aina ya Boeing 737 jet iliyokuwa na watu 62 yapata ajali na kupotelea ndani ya bahari

    Sriwijaya Air,Ndege ya abiria ya Indonesia ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano mda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja wa ndege wa Jakarta,imeanguka ikiwa na abiria 62, Wizara ya usafirishaji ya Nchi ya Indonesia imethibitisha. Mashuhuda wanasema wameiona Ndege ikilipuka karibu na Kisiwa cha...
  5. Miss Zomboko

    Morogoro: Vifo vitokanavyo na ajali za barabarani vyapungua kwa asilimia 25

    Vifo ajali barabarani vyapungua 25% Vifo vinavyotokana na ajali za barabarani mkoani Morogoro vimepungua kutoka 90 mwaka 2019 hadi 57 mwaka jana, sawa na asilimia 25. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Fortunatus Musilimu, alisema jana kuwa vifo hivyo vimepungua kutokana na elimu inayoendelea...
  6. Jidu La Mabambasi

    TRC na Ajali ya Dodoma: Kuna tatizo la kiutendaji

    Hii ajali ya majuzi, treni kuacha njia baada ya mvua kubwa, limeniacha na maswali ambayo lazima yajibiwe. Baada ya ajali mbaya ya train na MV Bukoba zilizotokea miaka ya My Mkapa, Awamu ya pili, nilitegemea tutakuwa kumetengenezwa Standard Operatinal Procedures kwa kuendesha hivi vifaa vyetu...
  7. Abby Newton

    Bahi, Dodoma: Treni iliyokuwa ikitoka Dar kuelekea bara imepata ajali. Majeruhi na vifo vyaripotiwa

    Nimepigiwa simu na mpwa wangu ambaye ni miongoni mwa abiria walionusurikana, kuwa treni iliyokuwa ikitoka Dar - Kigoma imepata ajali kilometa chache kutoka stesheni ya Dodoma. Inasemekana watu kadhaa wamejeruhiwa na inadaiwa watu 3 wamepoteza maisha. Naomba wahusika wafuatilie. ======...
  8. Miss Zomboko

    MOI: Kuna ongezeko la Wagonjwa wengi watokanao na ajali. Nusu ya Wagonjwa ni ajali za bodaboda

    Taasisi ya Tiba ya Mifupa, Upasuaji wa Ubongo na Mishipa ya Fahamu Muhimbili (MOI), imesema imekuwa ikiwapoteza wagonjwa kati ya wawili hadi watatu kila mwezi katika Idara ya Wagonjwa wa Dharura kutokana na ajali zikiwamo za pikipiki. Ofisa wa Takwimu wa MOI, Joshua Ngahyoma, aliiambia Nipashe...
  9. The Mongolian Savage

    Iran yapata Pigo, sasa hivi si kutoka Israel bali ajali na majanga ya asili

    Mzuka Wanajamvi! Ayatollah pressure inazidi na anazidi kupata wakati mgumu Wapanda milima (climbers) 10 wamekufa katika milima ya kaskazini mwa Tehran baada ya dhoruba kubwa ya theluji kuanguka na wengi kadhaa hawafahamiki walipo. Pia mabaharia saba wamepoteza maisha baada ya dhoruba kali...
  10. mama D

    Wamama wamekuwa wakali na ajali za barabarani

    Dereva la lorry amekiona cha mtemakuni 😁😁😁😁😁😁
  11. Samia atosha tukutane2030

    Napinga kauli za kusema "Mwisho wa mwaka ajali na vifo ni vingi

    Mtu anatoa kauli hii bila kutoa takwimu za vifo au ajali za miezi mingine huku akilinganisha na Desemba. Kwakuwa watu wengi wako likizo basi habari husambaa haraka na kwa wingi. Tukio moja likitokea hupambwa kwenye media zote. Pia ili upige hesabu sawia ya takwimu ya ajali barabarani usisahau...
  12. Ilitara kimura

    Singida: Watu 14 wafariki na watatu kujeruhiwa ajali ya Lori na hiace

    Haya maisha haya tuendelee kumuomba Mungu anatulinda sana hapa nimetoka kushuhudia ajali mbaya hapa Singida, Hiace na semi trailler. Hiace hautamani kuitazama mara mbili. Yaani polisi ndiyo wanawapanga barabarani mimi nimeshuhudia miili sita dah huzuni maisha ya watu🙆🏿‍♂️😭😭😭. Mimi napita tu basi...
  13. beth

    TANGA: Watu watano wafariki kwenye ajali ya Scania na Semi trela

    Watu watano wamefariki dunia usiku wa kuamkia leo Novemba 21, 2020, mara baada ya malori mawili kugongana uso kwa uso na kuwaka moto katika eneo la Kitumbi mkoani Tanga, huku chanzo cha ajali hiyo kikitajwa kuwa ni uzembe wa kutokuzingatia sheria za usalama barabarani. Akizungumza na EATV&EA...
  14. GENTAMYCINE

    Bukoba: Watu 8 wafariki dunia na 6 kujeruhiwa katika ajali ya gari eneo la Rwamishenye

    Watu sita wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika ajali ya gari, linalofanya safari zake kati ya Kemondo na Bukoba Mjini, ajali hiyo imetokea maeneo ya Rwamishanye Bukoba..( dakika 14 zilizopita ) Chanzo: Habari Leo Online --UPDATE-- Watu nane wamefariki dunia na wengine sita...
  15. Da Vinci XV

    Muuguzi aliyepona ajali tatu za meli ikiwemo titanic

    Kuna kumbukumbu nyingine za maisha yetu tupitiayo ikiwemo misukosuko, ghadhabu, matatizo , mihemko, tabu na vilio, furaha na bahati, kuanguka na kuinuka tena. Pasi na shaka vitakufanya umkumbuke Mungu wako. Mungu wako ambaye kwa namna tofauti tofauti za mapitio ya maisha yako unakosa sababu ya...
  16. Intelligence Justice

    Eneo alilopatia ajali Mh. Hayati Edward Moringe Sokoine hapo Wami Dakawa Halijapewa Hadhi inayostahiki

    Wakuu, Yapata takribani miaka 36 tangu waziri mkuu Edward Moringe Sokoine afariki kwa ajali ya gari huko Wami-Dakawa akitokea Dodoma baada ya kuahirisha bunge tarehe 12/4/1984 akielekea Jijini Dar Es Salaam. Eneo linalodaidaiwa ndipo ajali ilitokea baada ya gari alilokuwa akisafiria kugongana...
  17. Analogia Malenga

    Ajali za barabarani zinaongoza kwa kuua wenye umri wa miaka 5 hadi 29

    Leo ni Siku ya Kuwakumbuka Wahanda wa Ajali za Brabarani duniani. Umoja wa Mtaifa umeonesha vifo vya ajali za barabarani vimefikia milioni 1.35. Na kuonekana madhara ya ajali yanaua zaidi watu wa miaka 5 hadi 29. Madhara hayo yameonekana zaidi kwa nchi zinazoendelea. Watu waliokuwa hatarini ni...
  18. M

    Thamani ya Rolls-Royce imeshuka baada ya ajali ya Ginimbi, Sifa nyingi zimeenda kwa Mjapan

    Inakuwaje WanaJF?! Watu wengi wamejiuliza maswali mengi na kushangaa inakuwaje Rolls-Royce Wraith Muingereza lenye thamani ya dollars za kimarekani laki tano (madafu 1.2 billion). lenye safety features kibao na mbwembwe za kila aina ligongane uso kwa uso na gari ndogo la mjapan Honda Fit bei...
  19. Kanungila Karim

    Watu zaidi ya 50 wanusurika kifo katika ajali basi la Abood

    Watu zaidi ya 50 wamenusurika kifo baada ya basi la Abood (T 266 DBV) walilokuwa wakisafiria kutoka Morogoro kwenda Dar es salaam kupinduka mara mbili katika eneo la Ruvu wilayani Kibaha. Baadhi ya abiria walionusurika katika ajali hiyo wameiambia TBC kwamba ajali hiyo imetokea majira ya saa...
Back
Top Bottom