Kabla ya mwaka 1868, Jiji linalofahamika kwa jina la Dar es Salaam, halikuwepo kabisa. Badala yake kulikuwa na mji ulioundwa na miji mitatu maarufu, ambayo ni Kunduchi, Mbwamaji na Tindwa. Kila mji ulijitegemea, huku idadi ya wakazi wake wote kwa jumla haikuzidi watu 2,000.
Kati ya miji hiyo...
[emoji3514]Tabia 1- Kuwahi kuamka*
Utafiti uliofanyika na Mr Thomas ulibaini kuwa asilimia 75 ya mabilionea wanaamka saa 11 alfajiri.
Si hivyo tu hata tajiri wa kwanza Tanzania, Mo Dewj alipohojiwa alisema anaamka kila siku saa 11 alfajiri.
Kuna faida nyingi sana unazipata unapokuwa unawahi...
[emoji778] Abiria kutoka Nje waongezeka kwa asilimia 106
[emoji778] Mashirika Makubwa Emirates, Qatar yaongeza safari. Emirates ndege 7 kwa wiki, Qatar ndege 15 kwa wiki
[emoji778] Dege kubwa la Eurowings kuleta watalii 600 kila wiki kuanzia Frankfurt Mpaka kia kuanzia tarehe 4 June
[emoji778]...
[emoji187]BARUA YA WAZI KWA WANAUME WOTE.
Wanaume wapendwa,
Ukitaka kufanikiwa maishani, sio lazima uingie kwenye kila SHIMO unaloliona. Mashimo mengine ni mitego iliyokufa. Mashimo mengine ni waharibifu wa hatima, waharibifu wa biashara na waharibifu wa maisha.
Ndugu yangu, usitii Erection...
JF DOCTORS: wakuu nini tiba ya ugonjwa huu! Uume unatoa usaha wenyewe tu unatiririka! Uume kuuma na kuwasha kwa ndani: ni ugonjwa gani na nini tiba yake
Msimu wa zabibu Sasa umewadia kutoka makao makuu ya nchi Dodoma.Jipatie zabibu kwa Bei nafuu kutoka Dodoma.
Kwa mahitaji ya zabibu kwa ajiri ya biashara tupigie kwa namba 0716175081 Dar es salaam.
Kwa Bei nafuu kabisa ya shambani. Zabibu zote ambazo Zina vimbegu(seed) na ambazo hazina vimbegu(...
Habarini za Mei Mosi! Maslai bora, mishahara juu, kazi iendelee.
Wimbi kubwa la vijana especially tuliopoteza takribani miaka 20 shule mpaka chuo. Wengi wetu ni waoga na kuthubutu katika Mambo mbalimbali ya kufanya ilikuweza kujinyanyua kiuchumi.
Nini kifanyike! Je, tubadili mindset zetu au...
Nina mpenzi wangu tunaenda vzr kabisa lakini shida ni kwamba simu yake nikimpigia jioni na usiku naambiwa ni hakikishe namba ya mteja ninayopiga hii inatokana na network au ameniblock.
Wenye kujua hili! Ilinijipange mapema nikae upande wangu
Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umeomba radhi iwapo kuna mahali walitofautiana kimtazamo na makundi mengine na kutaka vijana wengi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan katika majukumu yake ya kuiongoza nchi.
Kauli hiyo ilitolewa jana Jumapili Machi 28, 2021 na mwenyekiti wa...
Kutoka Chato hadi Mwanza Distance yake ni 78.65 mi (126.58 km). Driving route: 148.32 mi (238.70 km). Mwendo wa saa ambazo sio zaidi ya 5 unakuwa umefika Mwanza ukitokea Chato. Ukipita Bwanga, Katoro, Geita, Kasamwa na Usagara unaingia Mwanza kuitafuta ilipo Airport.
Mishale ya saa 2 usiku...
Usimtumie meseji za userious sanaa
Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako??? N.k
Hizi manzi huwa hazipendi maswali maswali ,kiuhalisia binadam hapendi maswali.
Nakupa mbinu...
Dah ebhana sio poa. Naona King.kiba ameamua awe serious Sasa na mziki maana sio poa na hizi back to back songs
Somebody is the one of the best song / best collabo of the month
Well,
Mawasiliano kupungua hana time na wewe Kama vile ulivozoea
Anakukwepa kuonana na wewe
Hakuhitaji kimwili kama anae mwengine anampatia
Hajisumbui kutamani kuonana naww ( hakwambii muonane hata kutoka)
Hana ile vibe ya kukusaidia hata kwa vitu vidogo tu ambavyo ww ni rahisi kumfanyia...
Copy and paste
Kama utakumbuka maneno ya baba wa taifa, Hayati Julius Kambarage Nyerere, kuwa miongoni mwa maadui wa kuwapiga vita usiku na mchana na kuhakikisha wametokomea basi UMASIKINI ni nambari one.
Sababu umasikini ukitapakaa kwenye jamii utatengeneza njia kwa mambo mengi sana mbaya...
Habari za Jioni
Mimi ni kijana wa kiume umri miaka 24 nimeajiriwa Serikalini Nina mwaka mmoja katika taasisi kubwa hapa Dar es salaam.
Changamoto kubwa ninayoipata kutokana na malezi yangu sio mtu wa kujichanganya Sana na watu! Nimekua mtu wa kazini then nyumbani weekend nashinda tu ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.