Kumbe unaitwa myebusi wewe Adui wa Israeli
Israeli hana shida ukimbariki utabarikiwa
Tatizo watu hamijui historia
Mnarukia gari kwa mbele
Hata huyo mnaye muunga mkono mnafuata habari Za kuambiwa bila kufanya utafiti
Ndio maana mnateseka
Acheni kukurupuka
MUNGU wa Biblia ukimbariki anakubariki,ukimlaani unalaniwa,kwa hiyo mzingueni muone
Ukimwendea kwa adabu naye atakujia kistrabu
Ukiua Watu wake na wewe utauliwa
Mwanzo 12:1-
Kea kweli serikali iingilie kati kuwadhibiti wale wanao tumia kauli za matusi kwenye Imani ya mtu mwingine
Mfano ,Waislamu Wana amini Kuwa Mohammed ni Nabii Wa kweli,halafu mtu anadharau anasema Muhammad ni Nabii wa uongo,hiyo ni kashfa ,ni kudharau uislamu
Watu wenye kukera watu wengine kiimani...
Mtu aliye huru hapaswi na mtu mwingine awaye yote
Kama mimi sikusumbui kuhusu ibada yako kwanini wewe unisumbue kwenye ibada
KWA HILI watu wanavuka mipaka naomba serikali itusaidie
Sijapinga kukosa,napinga kashfa au lugha mbaya,hii hii inachochea uadui,
Pia hauwezi kunilazimisha kwa nguvu nifuate Unacho amini
Nina uhuru wa kuabudu,ukitumia lugha ya kudharau au kudhalilisha huko ni kuninyima uhuru wa kuabu
Sijapinga kukosa,napinga kashfa au lugha mbaya,hii hii inachochea uadui,
Pia hauwezi kunilazimisha kwa nguvu nifuate Unacho amini
Nina uhuru wa kuabudu,ukitumia lugha ya kudharau au kudhalilisha huko ni kuninyima uhuru wa kuabudu
TAIFA la Tanzania halina dini ila wananchi wanazo dini zao na Imani zao isipokuwa zisivunje Sheria za nchi.
Hata hivyo kwa makusudi wamekuwepo Watu ambao wanazishambulia Imani za watu wengine kwa lugha mbaya za udhalilishaji na waziwazi lakini Wana angalia tu
Kuna wanaitwa, maaskofu...
Kwanza nampongeza kwa kuwa msikivu
Kuhusu Machinga, maeneo Wanayo tengewa mengine yanafaa lakini mengine hayafai
Ukizingatia Machinga hufuata Watu walipo ili kuwauzia
Naishauri Serikali
Iweke muda maalum ambao Machinga hatoruhusiwa kuwa barabarani
Halafu uwepo muda ambao Machinga...
Kwanza nampongeza kwa kuwa msikivu
Kuhusu Machinga, maeneo Wanayo tengewa mengine yanafaa lakini mengine hayafai
Ukizingatia Machinga hufuata Watu walipo ili kuwauzia
Naishauri Serikali
Iweke muda maalum ambao Machinga hatoruhusiwa kuwa barabarani
Halafu uwepo muda ambao Machinga...
Mtu yeyote anaweza kupata fursa nzuri na maendeleo. Zipo familia zilizo bahatika kuishi katika utajiri mkubwa.
Hiyo ni fursa ambayo wamejariwa. Changamoto ni kwamba wapo wanao amini kuwa umaskini walionao umesababishwa na matajiri waliopo.
Ndipo Watu hawa huwa na chuki dhidi ya matajiri. Na...
Maradhi, magonjwa yasiyo patiwa ufumbuzi wa haraka,huleta madhara makubwa hata kepelekea kifo.
Unaweza kuepuka madhara hayo,
Kwa kupata watalaam wazuri wa afya,
Wenye vifaa vyenye uwezo mkubwa Katika kuchunguza na kubaini vyanzo vya Maradhi, magonjwa yanayo kusumbua mara kwa mara.
Wanapo...
Pole sana sana
Hiyo ni changamoto
Pia samehe
Huo ni udhaifu wa mumeo
Tafuta jinsi ya kumwokoa mumeo katika tabia usizopenda
Kwa msaada au ushauri zaidi
Wasiliana nami kwa
0768977816
Wapo wanaume na wanawake wa hivyo
Kwa uzoefu wangu nimeona wababa ambao wanapenda kulianzisha kwa mke au watoto
Pia wanawake wanaopenda kulianzisha
Wapo watu hufurahia ugomvi,
Asipogombana anahisi kupungukiwa kitu fulani
Na hawa watu si katika ndoa tu ,
Hata katika jamii wapo,ni...
Kinacho changia wanawake wengi kuwa katika mahusiano bila ndoa ni tofauti iliyopo katika fikra ya mwanaume na mwanamke wanapo ingia katika mahusiano. Mfano mwanamke aingiapo katika mahusiano na mwanaume,mwanamke hufikiri kuwa hiyo ni hatua ya kwanza kuelekea ndoa,kitu ambacho kwa mwanaume...
Siku moja Kaka mmoja wa kimasai ,katika harakati zake za kutembeza mikanda ili kuiuza,
Alikutana na mteja, akawa akimwonyesha hiyo mikanda bila kuweka chini bidhaa zake,
Akaja mgambo akamkamata,
Kijana akahoji kosa lake ni nini?
Mgambo aka endelea kung'ang'ania zile bidhaa bila maelezo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.