Siasa za chadema zimeingia katika level nyingine ya UBABE, NGUVU, VURUGU, CHUKI NA HASIRA.
Kwa bahati mbaya, hawana silaha. Wangekuwa na silaha, WANGEUA ILI KUWEKA MAMBO SAWA.
Ukisikia aina ya maneno na sera zao kwa sasa, unaona kuna transformation kubwa sana.