Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata
CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi
Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini
Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli
So...
Kuna mambo ambayo yanachukuliwa kuwa ni ya asili(natural human behavior) kama kula, kulia, kucheka, sex nk nk. Yaani huitaji kufundishwa ndio uvifanye, vinakuja vyenyewe by instinct
Lakini kuna mambo ambayo ni ubunifu tu wa binadamu, mambo hayo yanahitaji ujifunze ili uyajue, hayaji yenyewe by...
Swali la MSINGI;
IN THE FIRST PLACE, KWANINI UNAAMINI KATIKA DINI UNAYOIAMINI?
Kabla hujaendelea kusoma be honest with yourself na ujijibu🙏
Ok tuendelee.
Kila mtu kwa mujibu wa imani yake amekua akijenga HOJA NZITO kueleza “UKWELI” na u HALALI wa Mungu wake huku akinukuu maandiko ya dini...
Ukiiangalia hiyo ramani hapo juu utaona ni jinsi gani Wapalestina wanavyozidi kupoteza ardhi kila wakijaribu kupambana na Israel. Kuanzia waliposaidiwa na nchi za kiarabu wakashindwa hadi sasa Hamas bado wanashindwa.
Toka Hamas walipo vamia Israel na kufanya mauaji na mateka hivi sasa Jeshi la...
Wakuu nimeukuta huu mtifuano huko mjini Twitani aka X
Majibizano ni mengi lakini naona kama yanaendeshwa kwa hisia za kisiasa zaidi kuliko uhalisia wake, Wanazi wa Lumumba wote wanasiamama na Nape na wanazi wa Ufipa wote wanasimama na Advocate
Hivyo basi nikaona nilete hapa jukwaani kwa...
Rejea Pt 1 hapa kilimo cha alizeti [emoji116][emoji116][emoji116]
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/Naingia-Shambani-very-serious-kulima-Alizeti.1928043/
Msimu huu nataka kulima ekari 50 za mahindi na ekari 20 za alizeti
Nitaleta mchanganuo na mrejesho kila hatua [emoji120][emoji120]
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla...
Wakuu kwema?
Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.
Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu kabisa na kanisa kupitia kwa mkuu wa mkoa na tukaombwa tuliuzie kanisa eneo hilo kwakuwa linataka kufanya...
Katika kuenzi miaka 50 ya Hip Hop duniani platform mbalimbali zimekua zinatoa list zao kuhusu Hip Hop
Sasa Sportfy wametoa list ya beat kali za muda wote
Spotify’s 50 Greatest Hip-Hop Beats of All Time
1. “Still Dre” – Dr. Dre, Snoop Dogg
2. “Shook Ones, Pt. II” – Mobb Deep
3. “Grindin” –...
Wakuu kwema
Enzi sijafunga ndoa nilizaa mtoto wa kiume na binti mmoja wa kiislam kutoka Tanga. Hatukua na mpango wa kuoana hivyo mtoto alipofikisha umri wa miaka miwili kasoro nikamchukua na kuishi naye mimi, na sasa ana miaka 12
Mama yake alifanikiwa kupata kazi serikali lakini hakubahatika...
Nikawaida kila baada ya muda Billboard huwa wanafanya update ya list yao ya rapa bora.
Katika Kuenzi miaka 50 ya Hip Hop wametoa latest list yao ya rapa bora kabisa 50 kuwahi kutokea
Here's the entire list
Billboard Top 50 Greatest Rappers list
50. Rick Ross
49.Rev Run
48. Melle Mel
47. MC...
Wakuu kabla sijaingia madukani kariakoo kutafuta used PlayStation naombeni muongozo wa bei na mambo mengine kitaalamu
Toleo
Iwe Ps 2 au Ps 3........ je matoleo haya bado yanaweza kukidhi haja na kupata game nzuri? Ni game gani naweza pata na game gani naweza zikosa
Vipi bei zake zipoje? Bajeti...
Wakuu hii issue ni ngumu kidogo naomba tuwe serious kutoa ushauri badala ya kulaumu, shit happens sometimes!
Hebu vaa hivi viatu kisha toa ushauri.
Una familia yako mke na watoto na una mchepuko wako, ghafla mchepuko ambao mnakwenda nao sawa muda wote unatega kamera na kuchukua tukio wakati...
Kwa uzoefu wangu mdogo nimebaini Watanzania wengi sana tunapofikisha miaka around 40 tunaanza kupata changamoto nyingi sana za kiafya zinazo weza kuzuilika kutokana na life style zetu.
Ukiachana na kutofanya mazoezi swala la ulaji na aina ya vyakula tunakula lina beba taswira kubwa sana ya...
Wakuu kwema?
Mwaka huu baada ya kuuza mazao yangu natarajia kununua tracta kwa baje isiyo zidi Ml35
Kwa mwenye uzoefu tracta lina lipa zaidi kulima shamba lako binafsi au kukodishwa na kulima mashamba ya wengine?
Location yangu ni Singida Iramba ya Ndago
Nawasilisha
Cc okw BOBAN NSUNZU
Baada ya kesi iliovuta hisia za watu wengi kati ya Johnny Depp na ex wake Amber Heard kutolewa hukumu ambayo ilimpa ushindi Johnny, mahakama iliamuru kwamba madai yote ya Depp kuwa mkewe alikuwa anamchafua na kutaka alipwe 10M USD yalikuwa sahihi na kumfanya Deep kuwa mmoja wa wanaume wachache...
Albam iliosubiriwa kwa hamu ya Nguli wa Hip Hop Kendrick Lamar imetoka rasmi na kuzua gumzo kubwa miongoni mwa mashabiki wa Hip Hop dunia
Kwa ufuatiliaji wangu mdogo nimeona watu wengi sana ni kama wamekua disappointed na album hii..... yaani hawajakuta kile walichokua wanakitarajia vichwani...
Kuna issue mbili zinaikanganya CHADEMA kuhusu Covid19, Inasemekana wajumbe wengi wanakubaliana kwamba ili kuonyesha ukomavu na uvumilivu kisiasa basi wanachama hawa wasamehewe lakini wavuliwe vyeo vyote ikiwemo ubunge na kubaki wanachama wa kawaida chini ya uangalizi wa muda maalum
Lakini sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.