Msaada kisheria: Kanisa linatuchezea rafu

Mayu

JF-Expert Member
May 11, 2010
6,699
10,795
Wakuu kwema?

Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.

Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu kabisa na kanisa kupitia kwa mkuu wa mkoa na tukaombwa tuliuzie kanisa eneo hilo kwakuwa linataka kufanya uwekezaji mkubwa sana wa chuo kikuu na hospitali

Baada ya majadiliano marefu tukakubali, na kila mmoja akawa anakwenda ofisini kupatana bei na wachungaji/maaskofu na majoho yao.
Binafsi tulipatana sh M38
Tukapewa sh 1M kila kama kishika uchumba na tukaambiwa tusubiri ndani ya mwaka wafadhili watakua wametuma hela na tutamaliziwa hela zetu

Miaka mitatu ikapita kila siku sound tu
Mwaka wa 5 tukabana kwamba tunataka hela zetu na thamani ya viwanja imekua kubwa hivyo watulipe na fidia ya ongezeko la thamani

This time wakaja watu wa serikali, maafisa aridhi
Tukaambiwa itafanyika tathmini upya kupitia maafisa aridhi na wao ndio watatoa tathmini ya bei kulingana na uhalisia

Tukajipa moyo labda tathmini ya wataalamu itakua nzuri kuliko ya awali
Aisee wakanitathminia 12M tu kutoka M38 ya awali na hapo nimekwisha tafuna 1M

Tukakubaliana kugoma na tuka demand kuonana na wachungaji/Maaskofu tuliopatana nao..... utawaona wapi???? Hapo tuna deal na maafisa wa serikali tu sasa

Tukanyooka kwa RC akatusikiliza kisha akatuuliza mnayo mikataba kusapoti madai yenu? Tukatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango
Akasema kama hatujaridhika tuende mahakamani

Njaa mbaya kuna wenzetu wakakubali wakaandikiwa mikataba ya tathmini mpya na kupokea malipo yao
Wabishi bado tunakomaa

Tulio komaa ni wale ambao tulinunua maeneo lakini wenyeji wengi wamekubali kupokea hela

kwakuwa hakuna maandishi ya makubaliano ya kuuziana maeneo hivyo tumeamua kwamba hatujakubaliana na kanisa chochote na hatuuzi maeneo yetu la sivyo wakae chini na sisi tupatane bei na sio kunipangia bei. HII IMEKAAJE KISHERIA?

Maana tunatishwa kwamba serikali inauwezo wa kutulazimisha ikiamua kama inavyofanya kwenye upanuzi wa barabara

Mind you that haya ni mashamba tu hayana hati zaidi ya hati za makubaliano ya mauziano za mtendaji wa kijiji

Majoho yametuponza
 
Wakuu kwema?

Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.

Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu kabisa na kanisa kupitia kwa mkuu wa mkoa na tukaombwa tuliuzie kanisa eneo hilo kwakuwa linataka kufanya uwekezaji mkubwa sana wa chuo kikuu na hospitali

Baada ya majadiliano marefu tukakubali, na kila mmoja akawa anakwenda ofisini kupatana bei na wachungaji/maaskofu na majoho yao.
Binafsi tulipatana sh M38
Tukapewa sh 1M kila kama kishika uchumba na tukaambiwa tusubiri ndani ya mwaka wafadhili watakua wametuma hela na tutamaliziwa hela zetu

Miaka mitatu ikapita kila siku sound tu
Mwaka wa 5 tukabana kwamba tunataka hela zetu na thamani ya viwanja imekua kubwa hivyo watulipe na fidia ya ongezeko la thamani

This time wakaja watu wa serikali, maafisa aridhi
Tukaambiwa itafanyika tathmini upya kupitia maafisa aridhi na wao ndio watatoa tathmini ya bei kulingana na uhalisia

Tukajipa moyo labda tathmini ya wataalamu itakua nzuri kuliko ya awali
Aisee wakanitathminia 12M tu kutoka M38 ya awali na hapo nimekwisha tafuna 1M

Tukakubaliana kugoma na tuka demand kuonana na wachungaji/Maaskofu tuliopatana nao..... utawaona wapi???? Hapo tuna deal na maafisa wa serikali tu sasa

Tukanyooka kwa RC akatusikiliza kisha akatuuliza mnayo mikataba kusapoti madai yenu? Tukatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango
Akasema kama hatujaridhika tuende mahakamani

Njaa mbaya kuna wenzetu wakakubali wakaandikiwa mikataba ya tathmini mpya na kupokea malipo yao
Wabishi bado tunakomaa

Tulio komaa ni wale ambao tulinunua maeneo lakini wenyeji wengi wamekubali kupokea hela

kwakuwa hakuna maandishi ya makubaliano ya kuuziana maeneo hivyo tumeamua kwamba hatujakubaliana na kanisa chochote na hatuuzi maeneo yetu la sivyo wakae chini na sisi tupatane bei na sio kunipangia bei. HII IMEKAAJE KISHERIA?

Maana tunatishwa kwamba serikali inauwezo wa kutulazimisha ikiamua kama inavyofanya kwenye upanuzi wa barabara

Mind you that haya ni mashamba tu hayana hati zaidi ya hati za makubaliano ya mauziano za mtendaji wa kijiji

Majoho yametuponza
Umeona joho ukajua umekutana na Yesu kristo
 
Hapa sio Buswelu-Kahama ndani ndani kule kweli?!🙂 anyway, kanisa halichezi rafu. Serikali yenu ndo itakuwa inacheza rafu. Maana kwa maelezo inaelekea kanisa lilisha leta pesa kwa makubalianao ya awali. Ila zimefika kwa wachumia tumbo zikawauma.
 
Wakuu kwema?

Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.

Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu kabisa na kanisa kupitia kwa mkuu wa mkoa na tukaombwa tuliuzie kanisa eneo hilo kwakuwa linataka kufanya uwekezaji mkubwa sana wa chuo kikuu na hospitali

Baada ya majadiliano marefu tukakubali, na kila mmoja akawa anakwenda ofisini kupatana bei na wachungaji/maaskofu na majoho yao.
Binafsi tulipatana sh M38
Tukapewa sh 1M kila kama kishika uchumba na tukaambiwa tusubiri ndani ya mwaka wafadhili watakua wametuma hela na tutamaliziwa hela zetu

Miaka mitatu ikapita kila siku sound tu
Mwaka wa 5 tukabana kwamba tunataka hela zetu na thamani ya viwanja imekua kubwa hivyo watulipe na fidia ya ongezeko la thamani

This time wakaja watu wa serikali, maafisa aridhi
Tukaambiwa itafanyika tathmini upya kupitia maafisa aridhi na wao ndio watatoa tathmini ya bei kulingana na uhalisia

Tukajipa moyo labda tathmini ya wataalamu itakua nzuri kuliko ya awali
Aisee wakanitathminia 12M tu kutoka M38 ya awali na hapo nimekwisha tafuna 1M

Tukakubaliana kugoma na tuka demand kuonana na wachungaji/Maaskofu tuliopatana nao..... utawaona wapi???? Hapo tuna deal na maafisa wa serikali tu sasa

Tukanyooka kwa RC akatusikiliza kisha akatuuliza mnayo mikataba kusapoti madai yenu? Tukatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango
Akasema kama hatujaridhika tuende mahakamani

Njaa mbaya kuna wenzetu wakakubali wakaandikiwa mikataba ya tathmini mpya na kupokea malipo yao
Wabishi bado tunakomaa

Tulio komaa ni wale ambao tulinunua maeneo lakini wenyeji wengi wamekubali kupokea hela

kwakuwa hakuna maandishi ya makubaliano ya kuuziana maeneo hivyo tumeamua kwamba hatujakubaliana na kanisa chochote na hatuuzi maeneo yetu la sivyo wakae chini na sisi tupatane bei na sio kunipangia bei. HII IMEKAAJE KISHERIA?

Maana tunatishwa kwamba serikali inauwezo wa kutulazimisha ikiamua kama inavyofanya kwenye upanuzi wa barabara

Mind you that haya ni mashamba tu hayana hati zaidi ya hati za makubaliano ya mauziano za mtendaji wa kijiji

Majoho yametuponza
Ulichofeli ni kula kishika uchumba njia mojawapo ya negotiation ambayo huwa hata mimi naitumia kwenye biashara ni hii ya kishika uchumba ulitakiwa uirudishe ile hela mwaka huo huo.Kwenye mkataba wa kishika uchumba uengandika kuwa ungeirudisha kama haukulipwa. Hata ukienda kununua gari unatoa kishika uchumba na unapewa timelimit muda ukipita wahindi wanakurudishia hela yako.Gari wanamuuzia mteja mwingine. Ila kama ukitoa kishika uchumba bila mkataba hela yako inaliwa. Kuwa makini hii shida iliyotokea iwe fundisho kwenye maisha yako. Kukosea sio kosa bali kurudia kosa hata mimi katika heka heka za maisha ilibidi nijifunze kucontrol sana hisia.
 
Wakuu kwema?

Kuanzia mwaka 2012 nilikua nanunua mashamba nje ya mji kidogo kidogo kwa mzee mmoja huko mkoani kwa jumla ya Tsh M3.

Mwaka 2017 watu wote wenye maeneo huko tukaitwa kistaarabu kabisa na kanisa kupitia kwa mkuu wa mkoa na tukaombwa tuliuzie kanisa eneo hilo kwakuwa linataka kufanya uwekezaji mkubwa sana wa chuo kikuu na hospitali

Baada ya majadiliano marefu tukakubali, na kila mmoja akawa anakwenda ofisini kupatana bei na wachungaji/maaskofu na majoho yao.
Binafsi tulipatana sh M38
Tukapewa sh 1M kila kama kishika uchumba na tukaambiwa tusubiri ndani ya mwaka wafadhili watakua wametuma hela na tutamaliziwa hela zetu

Miaka mitatu ikapita kila siku sound tu
Mwaka wa 5 tukabana kwamba tunataka hela zetu na thamani ya viwanja imekua kubwa hivyo watulipe na fidia ya ongezeko la thamani

This time wakaja watu wa serikali, maafisa aridhi
Tukaambiwa itafanyika tathmini upya kupitia maafisa aridhi na wao ndio watatoa tathmini ya bei kulingana na uhalisia

Tukajipa moyo labda tathmini ya wataalamu itakua nzuri kuliko ya awali
Aisee wakanitathminia 12M tu kutoka M38 ya awali na hapo nimekwisha tafuna 1M

Tukakubaliana kugoma na tuka demand kuonana na wachungaji/Maaskofu tuliopatana nao..... utawaona wapi???? Hapo tuna deal na maafisa wa serikali tu sasa

Tukanyooka kwa RC akatusikiliza kisha akatuuliza mnayo mikataba kusapoti madai yenu? Tukatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango
Akasema kama hatujaridhika tuende mahakamani

Njaa mbaya kuna wenzetu wakakubali wakaandikiwa mikataba ya tathmini mpya na kupokea malipo yao
Wabishi bado tunakomaa

Tulio komaa ni wale ambao tulinunua maeneo lakini wenyeji wengi wamekubali kupokea hela

kwakuwa hakuna maandishi ya makubaliano ya kuuziana maeneo hivyo tumeamua kwamba hatujakubaliana na kanisa chochote na hatuuzi maeneo yetu la sivyo wakae chini na sisi tupatane bei na sio kunipangia bei. HII IMEKAAJE KISHERIA?

Maana tunatishwa kwamba serikali inauwezo wa kutulazimisha ikiamua kama inavyofanya kwenye upanuzi wa barabara

Mind you that haya ni mashamba tu hayana hati zaidi ya hati za makubaliano ya mauziano za mtendaji wa kijiji

Majoho yametuponza
Mlipopewa hiyo Milioni 1 mliandikishwa sehemu au kusainishwa?
Kama hapana, basi komaeni hivyo hivyo, hamna mtu wa kuwafanya chochote, wanawatisha tu hapo kuwatia hofu na jambajamba. Kama ulinunua eneo kihalali kabisa na wewe ndo mmiliki, relax haki yote ipo kwako, na nguvu ipo kwako zaidi.
Ila kama wakati unapewa 1m kuna makaratasi mlisainishwa, na yamkini hata hukusoma vizuri yalikua yanasemaje (kama kawaida yetu Watanzania), basi kuwa na wasiwasi sana, na ikiwezekana tafuta ushauri wa mwanasheria MAY BE ataweza kukusaidia na kukuokoa.
 
Mshakula 1m mpambano utakuwa mkali
Ilitakiwa kama wanataka watoe pesa mara moja hawana wakajichange
 
Pokea tu hio Hela usitake faida kubwa wewe ulinunua milion 3 wao wanakupa milion 12 faida Mara nne chukua tu hio Hela kanunue pembeni,shida ni hao wengine kupokea Hela ilitakiwa muwe na sauti moja
 
Ukiona faida ipo usiache Hela.
Kuna Mzee yupo ndani anaumwa stroke alikua na nyumba maeneo x ni marketable mjini mtu alifika milion 900 ajenge hotel akachomoa anataka billion,wamekuja watu wa SGR tathimini kalipwa milion 120 kagoma ardhi Mali ya serikali waliogoma wote wakafungue kesi mahakamani hawawezi chelewesha miradi ya wananchi walipewa Ultimum ya kuondoa vitu vyao mda ukapita zilikuja defender na greda greda walivyobahatika kuokoa waliokoa.
Kacheze na kesi mahakamani Kama pesa zitakuwa bado Bank zinakusubiria.
Tuache tamaa huna hati miliki eneo ni squatter ulijenga nyumba miaka 50 iliyopita au ya urithi mtu kafika 900 unashangaa Nini.
We
 
Mlipopewa hiyo Milioni 1 mliandikishwa sehemu au kusainishwa?
Kama hapana, basi komaeni hivyo hivyo, hamna mtu wa kuwafanya chochote, wanawatisha tu hapo kuwatia hofu na jambajamba. Kama ulinunua eneo kihalali kabisa na wewe ndo mmiliki, relax haki yote ipo kwako, na nguvu ipo kwako zaidi.
Ila kama wakati unapewa 1m kuna makaratasi mlisainishwa, na yamkini hata hukusoma vizuri yalikua yanasemaje (kama kawaida yetu Watanzania), basi kuwa na wasiwasi sana, na ikiwezekana tafuta ushauri wa mwanasheria MAY BE ataweza kukusaidia na kukuokoa.

Mkuu hakuna mahali popote tumesaini

Yaani ilikua unaingia ndani kwenye ofisi ya Askofu unakutana na watumishi kama 10 hivi wamevaa majoho wanaongea kwa upendo utadhania wametoka mbinguni jana
Mnapatana bei kisha wanaandika details zako tu na hati zako unabaki nazo wewe
Kesho yake tukarudi, unaitwa ndani unapewa hela yako unaondoka, hakuna kusaini popote

Yaani mazingira yalikua ni ya kiimani kiimani hivi kumbe tunapigwa

Hatujasaini popote pale
 
Ukiona faida ipo usiache Hela.
Kuna Mzee yupo ndani anaumwa stroke alikua na nyumba maeneo x ni marketable mjini mtu alifika milion 900 ajenge hotel akachomoa anataka billion,wamekuja watu wa SGR tathimini kalipwa milion 120 kagoma ardhi Mali ya serikali waliogoma wote wakafungue kesi mahakamani hawawezi chelewesha miradi ya wananchi walipewa Ultimum ya kuondoa vitu vyao mda ukapita zilikuja defender na greda greda walivyobahatika kuokoa waliokoa.
Kacheze na kesi mahakamani Kama pesa zitakuwa bado Bank zinakusubiria.
Tuache tamaa huna hati miliki eneo ni squatter ulijenga nyumba miaka 50 iliyopita au ya urithi mtu kafika 900 unashangaa Nini.
We

Mkuu sikununua ili niuze kwa sasa

Siwezi kuacha kudai haki yangu eti kwasababu kuna mwingine alidai akapunjika

Kama wataamua kunidhulumu ndio maisha ila nitapigania hadi nione mwisho

Naumia sana wachungaji kutufanya mafala
 
Mimi nadhani kama hakuna maandishi hata hiyo milioni moja waliyopokea nayo haina ushahidi. Kwa hiyo wakatae kuwa hawakupokea.

Mkuu hapa ndio tunasimamia
Tulikua tunaitwa majina unaingia ndani unapewa bahasha yako unasepa
Hakuna kusaini popote
 
Back
Top Bottom