Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,640
- 10,726
Wakuu kabla sijaingia madukani kariakoo kutafuta used PlayStation naombeni muongozo wa bei na mambo mengine kitaalamu
Toleo
Iwe Ps 2 au Ps 3........ je matoleo haya bado yanaweza kukidhi haja na kupata game nzuri? Ni game gani naweza pata na game gani naweza zikosa
Vipi bei zake zipoje? Bajeti yangu isizidi 250k
Unaweza kufanya utundu kupata free game?
Cc Chief-Mkwawa
Toleo
Iwe Ps 2 au Ps 3........ je matoleo haya bado yanaweza kukidhi haja na kupata game nzuri? Ni game gani naweza pata na game gani naweza zikosa
Vipi bei zake zipoje? Bajeti yangu isizidi 250k
Unaweza kufanya utundu kupata free game?
Cc Chief-Mkwawa