Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 6,630
- 10,708
Kuna issue mbili zinaikanganya CHADEMA kuhusu Covid19, Inasemekana wajumbe wengi wanakubaliana kwamba ili kuonyesha ukomavu na uvumilivu kisiasa basi wanachama hawa wasamehewe lakini wavuliwe vyeo vyote ikiwemo ubunge na kubaki wanachama wa kawaida chini ya uangalizi wa muda maalum
Lakini sasa hoja hii inaleta sintofahamu KISHERIA kwamba wakisamehewa maana yake bado watakua na sifa za kisheria kuendele kuwa wabunge, kwamba itatumika ground ipi kuhalalisha wao kuvuliwa ubunge?
Je taratibu za kubadili wabunge ambao tayari wanatambulika kisheria upoje?
Kwamba CHADEMA itabidi iandike barua kwamba waliopo sasa ni batili kwa sababu walifanya udanganyifu(tayari CHADEMA wamekwisha fanya) je hatua za kisheria zimechukuliwa na chama kuharamisha forgery hiyo? Kumbuka wabunge hawa wanakomaa barua ni halali ndio maana hadi leo hii Bunge linawatambua
Hapo sasa ndio issue ya pili inaingia. FUKUZA wote kwanza ili wakose sifa ya ubunge.
Itakua Ni udhaifu mkubwa sana kwa chama kikubwa kama CHADEMA kukubali umafia waliofanyiwa na CCM wa kukubali kuendele na wabunge wa kuteuliwa kihuni na CCM
Lakini sasa hoja hii inaleta sintofahamu KISHERIA kwamba wakisamehewa maana yake bado watakua na sifa za kisheria kuendele kuwa wabunge, kwamba itatumika ground ipi kuhalalisha wao kuvuliwa ubunge?
Je taratibu za kubadili wabunge ambao tayari wanatambulika kisheria upoje?
Kwamba CHADEMA itabidi iandike barua kwamba waliopo sasa ni batili kwa sababu walifanya udanganyifu(tayari CHADEMA wamekwisha fanya) je hatua za kisheria zimechukuliwa na chama kuharamisha forgery hiyo? Kumbuka wabunge hawa wanakomaa barua ni halali ndio maana hadi leo hii Bunge linawatambua
Hapo sasa ndio issue ya pili inaingia. FUKUZA wote kwanza ili wakose sifa ya ubunge.
Itakua Ni udhaifu mkubwa sana kwa chama kikubwa kama CHADEMA kukubali umafia waliofanyiwa na CCM wa kukubali kuendele na wabunge wa kuteuliwa kihuni na CCM