goal

A goal is an idea of the future or desired result that a person or a group of people envision, plan and commit to achieve. People endeavour to reach goals within a finite time by setting deadlines.
A goal is roughly similar to a purpose or aim, the anticipated result which guides reaction, or an end, which is an object, either a physical object or an abstract object, that has intrinsic value.

View More On Wikipedia.org
  1. R

    JamiiForums Tanzania World Cup 2026: Cape Verde vs Spain..Cape Verde wana Goal Keeper mzuri

    Naangalia match sasa hivi. Huyu kipa wa Cape Verde ni hodari sana. Ameokoa the IMPOSSIBLES! Nadhani ball control ni over 90% for Spain, Lakini kipa wa Verde ameokoa magoli mengi!.... Mimi siyo mshabiki wa mpira na sina utaalamu wa mpira lkn by eyes unaona kuwa huyu anafanya vema
  2. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania wakamaria mpira ukimgusa beki kipindi goal linafungwa uka deflect inahesabika own goal au scored by kicking

    Ningependa kuleta mjadala kuhusu goal la kwanza kwenye mechi ya Haiti dhidi ya Scotland.Kwa maelezo ya tukio hilo, goli lilitokana na shot ya mchezaji wa Scotland john McGinn iliyopigwa kuelekea golini . Mpira ulikuwa unakwenda moja kwa moja golini, lakini ukamgonga mchezaji wa Haiti ambaye...
  3. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Best option yangu kwenye odds 1.3+ ni First Goal Scoring By Kicking, hainiangushi sana , Je wewe ni special option gani imekuchomesha sana.

    Watu wengi kwenye betting wanaogopa odds kubwa lakini ukweli ni kwamba kuna baadhi ya special options zina odds ndogo kabisa kama 1.2–1.4 ila ndio zina mitego ya ajabu sana Zinaonekana rahisi mbele ya macho lakini football ni mchezo wa matukio yasiyotabirika. Unaweza ukaona option “hii lazima...
  4. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Yanga kwa sasa tunapambana na Chama's Goal Challenge kila match tutaweza tu

    Goal la Chama kwa kweli linatutesa sana. Kocha na viongozi wamekuwa wakitusisitizia kuwa lazima tulipe. Jambo ambalo katika matches 4 sasa tunajjtahidi sana. Jana Max Zingel kidogo alipe. Shida ikawa goal keeper alijisahau akaharibu move. Kwa kweli Chama amekuwa akitunyima raha toka siku ile...
  5. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Goli la Chama linaizidi kwa mbali Goli la Puskat 2025

    https://youtu.be/dytqapjk4Qw?si=8FYtt5wPiJNBozBu Kwa mujibu wa mitandao hilo ndio goal la Puskat kwa mwaka jaza. Ukilinganisha goal la Chama ni hatari kuliko hili https://youtu.be/YeFifs15d8I?si=oelqqxCQEKTT4cA0
  6. X

    JamiiForums Tanzania Wadachi wameyatimba kwa Wachina, kuwa kibaraka wa Marekani kumeigharimu Ulaya

    Uholanzi walikuwa na kampuni ya inayoitwa Nexperia ya kutengeneza semiconductors ambayo ilikuwa inaelekea kufirisika. Wakaja wawekezaji wa Kichina kampuni ya Wingtech Technology Co wakainunua Nexperia. Hivyo Nexperia ikawa ni kampuni tanzu ambayo inamilikiwa kihalali na Wingtech ya China. Na...
  7. OMOYOGWANE

    JamiiForums Tanzania Kuna kitu nimekigundua wanachotumia ma goal keeper bora duniani kuwa bora zaidi

    Wakuu mpo! Ni matumaini yangu mnatizama kombe la dunia la vilabu kwa umakini licha ya vilabu kutoka afrika kutupwa nje hatua ya makundi Katika hii michuano nimeona baadhi ya makipa wazuri wanafanana tabia Kipa wa Juventus, kipa wa real Madrid, kipa wa Al hilal na kipa wa Botafogo Fc anaitwa...
  8. Ertugrul Bey

    JamiiForums Tanzania You Can Attain Your Life Goal

    Paul Getty who is billionare ( egual to 1000 millionares) says that: The secret of Success is just two words TRY HARDER! The greater your difficulties,the harder you need to try to overcome them,and the harder you try,the more you Succeed Ni hayo tu!
  9. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania FT: Simba SC 1 - 0 JKT Tanzania | NBC PL | KMC Complex | 24.12.2024

    Simba Sports wanashuka dimbani kwenye soku ya mkesha wa krisimasi kumenyana na maafande wa JKT katika dimba la KMC Je, Dozi ya goli 5 alizotoa Simba kwa Kagera ataendeleza kwa maafande? Mechi ni Saa 10:15 jioni kupitia Azam Sports 1HD Usikose uhondo huo
  10. ngara23

    JamiiForums Tanzania Tujifunze kutofautisha kati ya goal keeper( mlinda lango) na mdakaji (catcher)

    Tusithubutu tena kuwafananisha Diara na Camara tena Diara ni mlinda lango yaani goal keeper ni anajua muda Gani atoke na muda wa kuwa langoni Foot work yake Iko juu Ni vigimu kumwona Diara anapoteza mipira Anapanga mabeki vyema Anaita walinzi wake vizuri Diara ni kipa namba 1 team ya Taifa...
  11. uhurumoja

    JamiiForums Tanzania Goli la kwanza msimu NBC premier ni offside goal

    Tuweke takwimu sawa na safari ya vilio na mbiu dhidi ya marefa kutoka kwa mashabiki vianze Goli alilofunga Ngushi dhidi ya Dodoma Jiji ni clear offside Sasa sijui tuendelee kubaki kwenye makosa ya kibinadam au hatua zianze kuchukuliwa dhidi ya Wala rushwa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Euro 2024 goal analysis roud 1 & 2

    As we head into the final round of group matches, here is a small piece on what we have learned so far.The first round produced plenty of goals, 34 in total and majority coming from strikes just outside the penalty area ( zone 14), players demonstrating their immaculate technical proficiency of...
  13. Mchochezi

    JamiiForums Tanzania Wadau wa Football: Hapa ni Goal au Sio Goal?

    Tumalize utata wadau
  14. RAMAJ

    JamiiForums Tanzania Lile ni goal au siyo goal?

    Ni kama kasumba ya mipira inayoelekea golini kugonga kwenye mstari wa goal inaendelea kuwa mwiba mchungu kwa timu ya Yanga. Tena katika mechi muhimu ambazo wanahitaji matokeo ya ushindi. Ukianza na mechi baina ya Mamelod na Yanga, mpira uliyopigwa na Aziz Ki na kugusa mstari wa goal ulizua...
  15. Mayu

    JamiiForums Tanzania Kuna tofauti kati ya VAR na Goal Line Technology

    Michuano ya CCL hawatumii Goal line technology ambayo ingemaliza huu utata CCL wanatumia VAR peke yake kusaidia kutoa maamuzi Angalia Goal line technology ilivyotumika kwenye hii video fupi hapo chini Utaona ni jinsi gani mpira unatakiwa uwe umeingia kwa asilimia 100 ili kuhesabika goli So...
  16. kiwatengu

    JamiiForums Tanzania FT: Mamelodi Sundowns 0-0 Yanga SC | CAF CL Quarter Final | Leg 2 | Loftus Versfeld Stadium | 05/04/2024 (Penat 3-2)

    2nd Leg Match CAF CHAMPION LEAGUE QUARTER FINAL. Mamelodi Sundowns vs Yanga Sc Time: 9:00Pm Stadium: Loftus Versfeld Stadium More Updates following... Kikosi Cha Yanga Kinachoanza Kazini kwetu kuna Kazi. Kikosi Cha Mamelodi Sundowns Kinachoanza. Mpira unaendelea kwa kasi . Timu...
  17. 2 of Amerikaz most wanted

    JamiiForums Tanzania Real Madrid last minutes winner goal not concerned

    Real Madrid thought they had scored a late winner but the referee had already called for full time. Jude Bellingham gets a red card for his reaction. Valencia 2 vs Real Madrid 2 Hugo Druro. ⚽ Viniciu jr ⚽⚽ Roman yeremchuk⚽
  18. Titicomb

    JamiiForums Tanzania Pacome na goal of the week, kule jezi ya Yanga kwenye wimbo wa AFCON 2023

    Sasa ni rasmi goli la Pacome Zouzoua dhidi ya Al Ahly limechaguliwa kuwa goli bora la Juma (week) la Total Energies CAF Champions League. Sasa nimeelewa kwanini jezi ya Yanga imetumika kwenye video ya wimbo rasmi wa AFCON 2023 badala ya jezi za Taifa Stars. Yanga imekuwa maarufu Sana viunga...
  19. NetMaster

    JamiiForums Tanzania Sifa na Tabia za Mtu Mvivu Pamoja na Changamoto Zake. Mvivu ni Sawa na Mchezaji Aliyechoka Kufunga Goli Wakati Golikipa Hayupo

    Sifa na Tabia za Mtu Mvivu Pamoja na Changamoto Zake: Endapo mtu ni mvivu lakini ni mwenye afya, nguvu, hana ulemavu wowote wala matatizo ya kiakili mara nyingi huwa na sifa na tabia bainishwa zifuatazo: 1. Mtu mvivu hupenda kulala na huthamini usingizi kuliko kujituma: Mvivu yeyote hutumia...
  20. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Hili goli lina nini cha ziada mpaka kuzungumzwa kiasi hiki?

Back
Top Bottom