Baada ya jukwa la JamiiForums kuchapisha nakala kwenye mitandao ya kijamii inayosema :-
Bodi ya Maabara Binafsi za Afya ambayo ipo chini ya Wizara ya Afya imesema inayafanyia kazi madai kuwa baadhi ya Maabara zinatoa majibu ya uongo ili Zahanati ziuze Dawa, ikiwa ni ufafanuzi uliotolewa baada...
Wakazi wa kijiji cha Mbwera kata ya Mbuchi wilayani Kibiti, mkoani Pwani , wamekuwa wakining'iniza simu zao katika paa la kibaraza la moja ya nyumba iliyopo kijijini hapo kupata mawasiliano.
Baadhi ya wakazi wakizungumza na ITV wamesema, licha ya maendeleo ya barabara iliyotengenezwa kwa...
Habari wana jukwa!!!
Leo nnimepakua app ya NMB Mkononi kwenye simu yangu ya Android, Lakini kila nikijaribu kujisajili naletewa maneno haya kwenye screen..
Je, Shida itakua nini hapo?
Nimeamua kuyaandika haya maneno kwa sababu nimeshindwa kupiga screen shot, app yao imeblock kupiga screenshot...
Habari za humu wakuu!
Naomba kufunzwa namna haya mafile yanavyo funguliwa mpaka kuwa website kabisa, maana nime furukuta nimeshindwa, naomba step by step nielekezwe aise.
File lenyewe kama hili hapa Drcare.zip
Asantaneni sana
Habari wakuu!
Nataka kuomba machine ya kubetisha katika company ya premiere betting.
Sasa swali langu ni hivi, Zile flat screen tv, wanakupa wenyewe au zinakuwa za kwangu?
Habari wanajamvi!
Kama kichwa kinavyo jieleza hapo juu, nipo Tabora, bei iwe 150k mpaka 170k ,
Mwenye nayo anicheki hapa iGod@myself.com
sisikero@keromail.com
Au WhatsApp +255743177037
Habari wanajukwaaa
Msaada nina laptop yangu hapa imeanza kusumbua batani,
Kuna baadhi ya batan hazitaki kubonyezeka.
Kuna Q,W,E,R,T,Y,U,I,O,P
Pamoja na enter haifanyi kazi.
Hapo tatizo litakuwa nini, msaada wa haraka kwa wanao fahamu.
Habari wana jukwaa!
Nilikuwa naomba kujua kiundani kabisa kuhusu hizi chanell za YouTube.
Kuna channel ambayo niliipenda sana na mara nyingi huwa napenda kuiangalia, kama huyu ndugu yetu Jonijoo kama kuna baadhi ya watu mnamfahamu.
Sasa nina maswali yafuatayo;
1. Ni vifaa gani vinatakiwa...
Habari wanajukwa!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo juu,
Naomba mwenye kitabu, au sehemu naweza kukipata iwe kwa njia ya mtandao au soft copy kama mtu anayo naomba kusaidiwa.
Kitabu chenyewe kinaitwa PHARMACOLOGY OF A GRUG AND ADMINISTRATION.
natanguliza shukrani. Mwenye soft kopy...
Habari wana Jamvi!
Ebu tutoeni utata huu,
ivi kwa nini mume/mke huwa anauma endapo umesikia anachepuka na Njemba fulani mpaka inafika muafaka wa mtu kujinyonga, kula sumu au kuchinjana kabisa.
Si utafute mwingine kama huyo amekushinda!
Habari Watu wa nguvu!
nilisha wahi kutumia simu aina ya Tecno T611 kwa siku za nyuma kidogo.
Kutokana na uwezo mdogo wa simu, lakini ilikuwa inasehemu inayoitwa (Broadcasting setting) ambayo ilikuwa ina sehemu ya kuadd chanell na jina la hyo chanell.
Mfano: Chanell name ZUKI...
Habari wana Jamvi
kutokana na uzoefu wa kupiga nyeto takriban mwaka mmoja sasa nimeamua kujikana mwenyenyeeee kabisa.
Nina kama niezi mitatu sasa tangu niache ponyeto lakini cha kushangaza usiku wa manane mida kama ya saba na saa nane najikuta kuota ndoto za kufanya mapenzi na wanawake ambao na...
Habari wana JF
natangaza kufanya biashara ya kuku wa kienyeji na kisasa pia, mimi nipo IRINGA natafuta shilika watu/mtu yeyote yule ambaye ana husika/kujishugulisha katika biashara ya kuku, wawe maeneo tofauti either kitonga,morogoro, dar es salaam,dodoma, mtera na n.k
kama upo tayari kwa...
habari wana if natumia sim aina ya Gowin android vision 4.4.2 sasa haina network ya 3G intumia 2G network baada ya kuchunguza nimeona kuna place ya kuwka au kuongeza 3G sasa nashndwa on to register please i need your help as Gadjad.com
Habari wanaa jukwaa,
Tatizo langu nina sauti ndogo yani kama ya kike nini tatizo au jinsi gani ya wezwa kubadilishwa maana mpaka kero sasa, hasa hasa kwa mabinti kunidongoa kuwa nina elements za kike.
Nawasilisha
Msaada wenu Jf
Baada ya baba yangu kutoweka duniani nimekataliwa kuwa sio mmoja wa familia.Nimekulia kijijini baba yangu alikuwa anaishi mjini.
Kutokana na kutokunitambulisha kwa ndugu na kuwatambulisha dada zangu pamoja na kaka zangu, baba wadogo na shangazi wanadai mbona wao hawakutambuliswa!
Kwa msaada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.