Biashara ya kuku wa kienyeji

Biashara ya kuku wa kienyeji

Mdeke_Pileme

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2013
Posts
1,599
Reaction score
2,248
Habari wana JF
natangaza kufanya biashara ya kuku wa kienyeji na kisasa pia, mimi nipo IRINGA natafuta shilika watu/mtu yeyote yule ambaye ana husika/kujishugulisha katika biashara ya kuku, wawe maeneo tofauti either kitonga,morogoro, dar es salaam,dodoma, mtera na n.k
kama upo tayari kwa biasha hii naomba uni PM ili tupeane contact.

Asante!
 
Unauza? Una nunua? Unadalalia ? Unataka kufuga ? Sijakuelewa boss
 
Back
Top Bottom