Mdeke_Pileme
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,564
- 2,126
Wamezinguana na mnunuzi Mkenya mpka leo mzigo bado upoo
Sasa Yale Masitigila Goji inakuwaje 🙉🙉🙉🙉Ujenzi wa barabara ya Dar - Chalinze wasimamishwa kwa kukosekana fedha.
Watu kama hawa inabidi tuwe tunawatumia kutatua tatizo, ila wanageuzwa kuwa vikwazo vya nchiKipanya ipo siku watamchukua kama Mdude. Wale vibaraka hawana simile na hawapendi kabisa kuona madongo kama haya wanayohisi yanaelekezwa kwa mzee baba
Hapo Lazima uote kweye vilobaWamezinguana na mninuzi Mkenya mpka leo mzigo bado upoo
Washawahi mchukua mbonaKipanya ipo siku watamchukua kama Mdude. Wale vibaraka hawana simile na hawapendi kabisa kuona madongo kama haya wanayohisi yanaelekezwa kwa mzee baba
Source pleaseUjenzi wa barabara ya Dar - Chalinze wasimamishwa kwa kukosekana fedha.
Ameshajitoa muhanga siku wakimchukua siku inayofuata Jiwe nae ataangukaKipanya ipo siku watamchukua kama Mdude. Wale vibaraka hawana simile na hawapendi kabisa kuona madongo kama haya wanayohisi yanaelekezwa kwa mzee baba
Mbona walishamuita ila sema wakitokaga huko huwa hawasemiKipanya ipo siku watamchukua kama Mdude. Wale vibaraka hawana simile na hawapendi kabisa kuona madongo kama haya wanayohisi yanaelekezwa kwa mzee baba
Yeuuuuuwi!Ujenzi wa barabara ya Dar - Chalinze wasimamishwa kwa kukosekana fedha.
Sasa hivi source ni sisi wenyewe aiseSource please
Mda bado mwingi sana umebaki, so mambo yatakuwa freeesh kabisaaaaKoro show hawa watu wa kusini sijui wanamchukuliaje mdindifu.
Hahaha, mdude aliludi anahema hema sana , kama anatoka MarathoniMbona walishamuita ila sema wakitokaga huko huwa hawasemi
Mkuu umetafsiri mini hapoHabari picha ni nzuri kila mmoja atafsiri mwenyewe
Eti mda bado upo, ameshalikoroga hilo mkuu korosho ndo kwaheri.Mda bado mwingi sana umebaki, so mambo yatakuwa freeesh kabisaaaa