Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ndugu zangu Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache...
1 Reactions
6 Replies
160 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani...
4 Reactions
46 Replies
952 Views
Ngome ya wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo imetangaza maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani itakayofanyika Machi 8, 2026, kwamba wataiadhimisha kwa kuwakumbuka wananchi waliouawa Oktoba 29...
0 Reactions
2 Replies
139 Views
WAZIRI MKUU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA UBADHIRIFU WA FEDHA JENGO LA DC KITETO. ▪️Ataka hatua za kinidhamu zichukuliwe licha ya fedha hizo kurejeshwa. ▪️Asisitiza hakuna kufanya ustaarabu kwa...
1 Reactions
0 Replies
112 Views
Nichukue nafasi hii kipekee kuwapongeza Air Tanzania kwa namna wanavyo badili ratiba za ndege mara kwa mara. Mfano leo ndege ya Air Tanzania iliyokuwa iruke kwenda Kigoma saa 5:40 imesogezwa mpaka...
5 Reactions
6 Replies
259 Views
Lissu Mwenyewe hajashangaa kuona yaliyotokea 29 octoba yamepangwa kuingizwa kwenye kesi Yake Zaidi sana anapigania utaratibu wa Mahakama kufuatwa kama ilivyoelekezwa kwenye commito, lakini...
10 Reactions
16 Replies
504 Views
Wakuu Nimeona kwamba ACT itaahirisha sherehe za wanawake mwaka huu ili kukumbuka vifo vya waliouwawa Oktoba 29 Sasa nauliza kwamba huu ni uamuzi sahihi kwa wanawake? Kwanini wasingeendelea tu...
0 Reactions
0 Replies
17 Views
HOTUBA YA KIONGOZI WA WANAWAKE - ACT WAZALENDO KWA WAANDISHI WA HABARI NA TAIFA Kauli Mbiu: Machozi ya Mama – Deni la Taifa UTANGULIZI NA SALAMU YA CHAMA Ndugu Waandishi wa Habari, na...
2 Reactions
6 Replies
164 Views
Juzi ilikiwa hivyo na leo tena imetokea. ATCL inabidi wabadilike bhana
1 Reactions
24 Replies
357 Views
Ukiachilia mbali vikao maalumu vya kimkakati kidigitali ambavyo hufanyika mara kwa mara nchini kote, mipango mingi muhimu na mikubwa zaidi ndani ya ccm hufanyika pia kianalojia kulingana na...
1 Reactions
48 Replies
298 Views
Katika miaka ya karibuni , wizara hii ya Ujenzi imekuwa kichwa cha mwenda wazimu. Kila anyejifunza kunyoa anapelekwa hapo, na nywele anajua anakozipeleka. Siyo siri ,sasa Wizara , taasisi zake...
14 Reactions
106 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan amewahutubia wazee wa Dar es Salaam leo Desemba 2. Kiini cha ujumbe wake kilikuwa ni maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, 2025. Kwa kiasi kikubwa hotuba yake ni kama...
2 Reactions
11 Replies
444 Views
Nimestaajabu kuona mtu mwenye hadhi ya ubunge akijihusisha na matukio yanayofaa kufanywa na mjumbe wa nyumba kumi, huku akijinasibu mitandaoni. Je, hili ni “funika kombe mwanaharamu apite” au ni...
3 Reactions
8 Replies
181 Views
  • Featured
Kundi Kazi la Umoja wa Mataifa kitengo kinachoangazia, Kuwekwa Kizuizini Kinyume cha Sheria ( Arbitrary Detention ), limeeleza kuwa kufungwa kwa Kiongozi wa Upinzani Tanzania, Tundu Lissu, ni...
50 Reactions
101 Replies
3K Views
Tanzania tunafahamu kuwa tuna Majeshi ya aina tofauti na yote yana viongozi wake, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lililo chini ya Jenerali Jacob John Mkunda lina Kamandi 5 - Kamandi...
11 Reactions
33 Replies
1K Views
Kaka wa Humphrey Polepole anaiyeitwa Augustino Polepole amejirekodi na kutuma video inayomtaka ZCO Faustine Mafwele ajitokeze hadharani na kuwaeleza watanzania walichomfanya. Ikumbukwe Faustine...
46 Reactions
370 Replies
14K Views
WAZIRI KOMBO ASISITIZA UFANISI NA UADILIFU KWA WATUMISHI WA WIZARA Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasisitiza watumishi wa...
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Kukamatwa kwa watekaji watanzania na meli ya madawa ya kulevya ni wazi Tanzania imeingia kwenye list ya nchi yenye wahalifu wa kimataifa. Haya ndio malipo ya Serikali haramu mnategemea nini ...
2 Reactions
5 Replies
224 Views
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu iliyokuwa inaendelea Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeahirishwa kwa muda usiojulikana mpaka pale shauri la...
10 Reactions
39 Replies
1K Views
Back
Top Bottom