Ndugu zangu
Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu
Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani...
Ngome ya wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo imetangaza maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani itakayofanyika Machi 8, 2026, kwamba wataiadhimisha kwa kuwakumbuka wananchi waliouawa Oktoba 29...
WAZIRI MKUU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA UBADHIRIFU WA FEDHA JENGO LA DC KITETO.
▪️Ataka hatua za kinidhamu zichukuliwe licha ya fedha hizo kurejeshwa.
▪️Asisitiza hakuna kufanya ustaarabu kwa...
Nichukue nafasi hii kipekee kuwapongeza Air Tanzania kwa namna wanavyo badili ratiba za ndege mara kwa mara. Mfano leo ndege ya Air Tanzania iliyokuwa iruke kwenda Kigoma saa 5:40 imesogezwa mpaka...
Lissu Mwenyewe hajashangaa kuona yaliyotokea 29 octoba yamepangwa kuingizwa kwenye kesi Yake
Zaidi sana anapigania utaratibu wa Mahakama kufuatwa kama ilivyoelekezwa kwenye commito, lakini...
Wakuu
Nimeona kwamba ACT itaahirisha sherehe za wanawake mwaka huu ili kukumbuka vifo vya waliouwawa Oktoba 29
Sasa nauliza kwamba huu ni uamuzi sahihi kwa wanawake?
Kwanini wasingeendelea tu...
HOTUBA YA KIONGOZI WA WANAWAKE - ACT WAZALENDO KWA
WAANDISHI WA HABARI NA TAIFA
Kauli Mbiu: Machozi ya Mama – Deni la Taifa
UTANGULIZI NA SALAMU YA CHAMA
Ndugu Waandishi wa Habari, na...
Ukiachilia mbali vikao maalumu vya kimkakati kidigitali ambavyo hufanyika mara kwa mara nchini kote, mipango mingi muhimu na mikubwa zaidi ndani ya ccm hufanyika pia kianalojia kulingana na...
Katika miaka ya karibuni , wizara hii ya Ujenzi imekuwa kichwa cha mwenda wazimu.
Kila anyejifunza kunyoa anapelekwa hapo, na nywele anajua anakozipeleka.
Siyo siri ,sasa Wizara , taasisi zake...
Rais Samia Suluhu Hassan amewahutubia wazee wa Dar es Salaam leo Desemba 2. Kiini cha ujumbe wake kilikuwa ni maandamano yaliyofanyika Oktoba 29, 2025. Kwa kiasi kikubwa hotuba yake ni kama...
Nimestaajabu kuona mtu mwenye hadhi ya ubunge akijihusisha na matukio yanayofaa kufanywa na mjumbe wa nyumba kumi, huku akijinasibu mitandaoni.
Je, hili ni “funika kombe mwanaharamu apite” au ni...
Kundi Kazi la Umoja wa Mataifa kitengo kinachoangazia, Kuwekwa Kizuizini Kinyume cha Sheria ( Arbitrary Detention ), limeeleza kuwa kufungwa kwa Kiongozi wa Upinzani Tanzania, Tundu Lissu, ni...
Tanzania tunafahamu kuwa tuna Majeshi ya aina tofauti na yote yana viongozi wake, Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) lililo chini ya Jenerali Jacob John Mkunda lina Kamandi 5 - Kamandi...
WAZIRI KOMBO ASISITIZA UFANISI NA UADILIFU KWA WATUMISHI WA WIZARA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amewasisitiza watumishi wa...
Kukamatwa kwa watekaji watanzania na meli ya madawa ya kulevya ni wazi Tanzania imeingia kwenye list ya nchi yenye wahalifu wa kimataifa.
Haya ndio malipo ya Serikali haramu mnategemea nini ...
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu iliyokuwa inaendelea Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam imeahirishwa kwa muda usiojulikana mpaka pale shauri la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.