Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

1. Nchi zote Malawi na Zambia zilipata uhuru mwaka 1964 na zote hutumia pesa aina ya Kwacha. Marais wake wote, Dk. Kamuzu Banda (Malawi) na Dk. Kenneth Kaunda (Zambia) walizitumikia nchi zao...
21 Reactions
72 Replies
13K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa sasa wana CHADEMA wamepoteza kabisa Imani na Heche , Hakuna anayemuamini,Hakuna anayemuelewa wala kujua anachokifanya ndani ya chama chenye Maslahi kwa chama. Kila...
0 Reactions
44 Replies
824 Views
Wanabodi Tangu jana nilipoiona ile Taarifa kwa umma ya VP kujiuzulu, nilipata shock sikuiamini nikiamini ni fake news, mpaka leo nilipoiona Taarifa ya Ikulu, ndio nimeamini!. Nilipata shock...
4 Reactions
12 Replies
222 Views
Long and short terms trending Kiwanda cha kupika habari Ghala la kuzitawanya Kuna za jumla Kuna za rejareja Za kusadikika Za halisi Nani ni nani kwenye nini.. !? Jipu lililodhaniwa limevia...
13 Reactions
44 Replies
754 Views
Manara ashangaa katiba ya Watanzania kutaka kuandikwa na Kikundi cha chadema Akizungumza kwe ye kipindi cha wasafi One on One
2 Reactions
19 Replies
265 Views
Tuanzie kwenye kichwa cha habari hapo juu, ni MABADILIKO Gani alitaka kuyafanya mama na akuzuiliwa na Nchimbi? Kumteua mbowe kuwa waziri mkuu? Kumuuua Tundu Lissu? Kuamua yakuwa katiba mpya...
3 Reactions
10 Replies
297 Views
2022: Spika wa bunge Job Ndugai ajiuzulu, Samia aridhia. 2023: Katibu Mkuu CCM Daniel Chongolo ajiuzulu, Samia aridhia. 2024: Makamu Mkiti wa chama cha Mapinduzi Kinana ajiuzulu, Samia aridhia...
8 Reactions
25 Replies
562 Views
Yule bwana Faustine Mahali siyo mtu, amemtoa mtoto wake sadaka akiwa ana uhusiano na binti moja wa KIBENA ndg wa mke wake anaitwa KISAVYAKE. Mpaka leo hajalipa mishahara akiwa nje ya ofisi anakula...
1 Reactions
6 Replies
143 Views
Hayati Job Ndugai - Januari 6, 2022 alitangaza kujiuzulu nafasi yake ya Uspika wa Bunge, akisema uamuzi huo ameufanya kwa hiyari yake kabisha na kwa kuzingatia maslahi mapana ya nchi, serikali na...
1 Reactions
8 Replies
236 Views
Paul Christian Makonda ni mwanasiasa mashuhuri na mwenye ushawishi mkubwa nchini Tanzania, ambaye kwa sasa anahudumu kama Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na pia ni Mbunge wa Jimbo la...
4 Reactions
12 Replies
193 Views
  • Redirect
Nauliza:- Katika Mukhtadha tulofikia, hivi nani atakuwa na ujasiri wa kupokea Kijiti cha mh. Nchimbi bila kutazama mbele wala nyuma?
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Nauliza:- Katika Mukhtadha tulofikia, hivi nani atakuwa na ujasiri wa kupokea Kijiti cha mh. Nchimbi bila kutazama mbele wala nyuma?
0 Reactions
Replies
Views
Anamuweka 1. Mtu atayeweza kumcontrol 2. Ambaye hana tamaa na Urais mwaka 2030 3. Mkristo hasa awe Mkatoliki 4. Mtanganyika 5. Mwanaume 6. Mkubwa kiumri kuliko yeye 7. Muongeaji sana (Propaganda)
11 Reactions
33 Replies
859 Views
Mtangazaji wa Wasafi Media, Charles William, ametoa uchambuzi kuhusu msamiati na lugha iliyotumika kwenye barua ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Makamu Rais Dkt. Emmanuel Nchimbi. Charles William...
0 Reactions
2 Replies
150 Views
1. Julius Nyerere Abeid Karume Rashidi Kawawa Aboud Jumbe Ali Hassan Mwinyi 2. Ali Hassan Mwinyi Joseph Warioba John Malecela Cleopa Msuya 3. Benjamin Mkapa Omar Ali Juma Ali Mohamed Shein...
1 Reactions
12 Replies
154 Views
Ni baada ya ule uchaguzi tukala yamini kuwa serikali hii imeingia madarakani bila ridhaa ya wananchi na tukasema kuwa hii serikali si halali na hatuitambui hiki kitendo cha kumuona mng'atukaji wa...
5 Reactions
27 Replies
267 Views
Unaweza ukahisi ni habari za kutunga, au wale wenzangu na mimi wanasema ni 'drama' za CCM... Au na Polepole alikuwa anafanya drama? Anyway! Huu mtanange una sura nyingi na inabidi utulize kichwa...
30 Reactions
104 Replies
2K Views
Taarifa zilizotufikia usiku huu ni kuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amejiuzulu nafasi yake hiyo. Vyanzo vyetu vilivyo karibu na CCM vimethibitisha kuwa tayari...
46 Reactions
456 Replies
102K Views
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Taifa, Othman Masoud Othman, amesema Zanzibar haitofikia maendeleo ya kweli pasi na kuwepo Baraza makini la Wawakilishi, linalosimamia maslahi ya Umma na...
0 Reactions
0 Replies
39 Views
Back
Top Bottom