KITUKO KILICHOTOKEA MAHAKAMANI.
Wakati Mkuu wa Gereza yaani BWANA JELA ambae ni Andrew Shabani Ntamamilo alipohojiwa na Mhe. Tundu Lissu kuhusu Kuwazuia kabisa Mawakili kama Vile Deogratias...
RAIS SAMIA ATUA ACCRA GHANA KUSHIRIKI MKUTANO WA DHARURA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI WA UMOJA WA AFRIKA.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Julay 21, 2026...
Kwanza kabisa umeongea Pumba. Kwamba CHADEMA inawarubuni wafanyabiashara ili waichangie badala ya kutunisha mitaji yao.
Kumbuka kuwa watu wanatambua kuwa wewe na wanaCCM wachache mnakula keki ya...
Huu ni ukweli kabisa...ukitaka uamini ona issue ya Maridhiano inavyozungumziwa, ni CCM na CHADEMA.
Issue ya Siasa Bongo ni Kama Issue ya Soka ilivyo..Kila Msimu kila agenda hua ni Simba na Yanga...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeunda kamati maalum ya Katiba mpya, itakayohakikisha katiba mpya inapatikana kabla ya 2027.
Akizungumza na waandishi habari leo tarehe 17 Juni...
Mhe. Lissu: Kuanzia niingie Gerezani Wakili Dickson Matata na Deogratias Mahinyila hujawahi kuwaruhusu waingie gerezani. Huyu Matata ni Mwenyekiti Kanda ya Magharibi na Mahinyila ni Mwneyekiti wa...
Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja wao ikiwemo haki ya faragha na kutosikilizwa kwa...
"Ninasikitishwa na tabia ya watu kuchangia mtu ili aweke hiyo hela atumie badala ya kuwaambia vijana wafanye biashara wapate hela waweke kwenye mifuko yao lakini wao wanachukua wanazitumia sasa...
Kama ambavyo ilitokea kabla na katika uchaguzi mkuu wa oct.2025, wenye misimamo ya vyama vyao ikiwa ni pamoja na kususia uchaguzi mkuu walipuuzwa. Nadahni ni muhimu sana kama taifa kusonga mbele...
My Take
Sasa Dar inaenda kuwa kama Mombasa na Dom kuwa kama Nairobi.
Siku zote anakolala Baba ndiko taulo linatunzwa.Pia soma Jiji la Dodoma Laipiku Dar na Kuwa Kimbilio la Biashara ya Kupangisha...
Napenda siasa ila sioni mwendelezo wa kuwa mwanasiasa kutokana na mazingira ya siasa Tanzania kuwa ya uadui,ukiwa katika siasa za upinzani Tanzania nivigumu kutimiza ndoto! Kwani uonekena wewe ni...
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa...
Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). "amegoma kutumika kama kete ya maridhiano, MwanaHALISI limedokezwa.
Taarifa zinasema, kumekuwapo na juhudi kubwa...
Nimekusikia ukisema kuwa Mandela na Nyerere huwezi kuwalingamisha na wanaharakati wa Tanganyika. Kumbuka Tanganyika ilikuwa inatawwliwa na waingereza, Cartel ya wazungu. Hivyo hivyo Africa Kusiní...
Facebook
Mhe. Brenda: Mwenyekiti Tonetone imefika Milioni 174.5 mpaka jana usiku
Mhe. Lissu : Waambie waongeze bidii, Baraza Kuu lifanyike
CHANGIA BARAZA KUU LA UMMA
M-Pesa
Namba: 0744446969...
Mipango ilipangwa kwa umakini wa hali ya juu kwanza kabisa ndani ya chama tuliweza kuwadhibiti makada wakorofi ambao wangeweza kuvuruga tukachapisha fomu moja kelele zilivuma lkn hazikuwa na...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amewataka vijana nchini kufuata sera ya ustahimilivu ya Rais Samia badala ya kutumia vurugu na uharibifu kudai haki zao...
" Kama unazungumza harakati za Mandela, unazungumza harakati za Mwalimu, unazilinganisha na nani hapa?
Hizi harakati hizi za mtu unasema uongo alafu unalipwa, hizo harakati gani?
Harakati za kina...
Mimi kuna mda akili hua ina niambia Lissu atuache kutupambania sisi watanzania tulio wengi ni wajinga sana.
Tulia nikupe mfano mzuri tu hapa utakumbuka vizur na nahisi utakubaliana na Mimi.
Mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.