Inafahamika mapambano yetu sio ya silaha.
Tunawaomba Polisi watuache tuendelee kupambana.
Njia zetu za mapambano ni zilezile.
-Maandamano bila Kikomo.
-Mikutano ya hadhara bila kuzuiwa...
Licha ya kwamba serikali haramu imeendelea na kile kinachoelezwa kuwa ni juhudi za kuitisha maridhiano (USANII), hali halisi inaonekana kuwa tofauti. Kitendo cha kuwabambikia vijana wa CHASO na...
Kama kuchangia chama cha siasa ni vibaya, basi iwe vibaya kwa vyama vyote.
Lakini kama Agosti 12, 2025, CCM ilichangiwa hadi kufikia Tsh. Bilioni 86.3 pale Mlimani City na haikuonekana kuwa...
Ni kweli kuwa mateso na dhuluma kwa Watanzania, chanzo chake ni watawala wa CCM. Ila tukiwa wakweli wa nafsi, hata ndani ya CCM kuna watu hawapendi dhuluma.
Mtu kama Warioba, kwa dhahiri kabisa...
Karibu namaliza mwaka 1 nikiwa Mwalimu wa Chuo Kikuu. Kimsingi, kila Askofu ni Mwalimu lakini si kila Mwalimu ni Askofu. Kwa bahati mbaya nina vyote! Tangu Septemba 2025 nafundisha somo la...
Kuna watu wakishaona Tanzania imeanza kujijenga kiuchumi basi nao wanaanzisha program za kula ili mradi watu wasipate ajira, MIRADI ya maendeleo isiwepo, watumishi wasiongezewe mishahara, ili...
Viongozi wetu wa dini, kemeeni wananchi wanapoonewa na serikali inapofanya vibaya. Hususan huu kamata-kamata unaoendelea sio wa kisheria. Ni wa kinyanyasaji na ni mbaya sana kwenye taifa.
Kwa...
WANAOSEMA KUWA KWA SABABU SHAURI LA MHESHIMIWA LISSU LIKO MAHAKAMANI, HAKUNA ANAYEPASWA KUMSHAURI Mhe RAIS ALITAFUTIE UFUMBUZI WANAKOSEA. Hapa inabidi tuelimishane zaidi na kwa uwazi...
Kwasababu sote ni mashahidi,
kwamba mikakati hii ya CHAUMMA inaweza kuwaduwaza na kushangaza wengi kwenye kiwango cha makusanyo yao kwenye mikakati yake ya muda mfupi, muda wa kati na muda mrefu...
Chama cha Wafanyakazi wa Kitaaluma wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMASA) kimesema mmoja wa wanachama wake, mhadhiri Melkisedeki Kitunzi Kaijage, alikamatwa na kushikiliwa na Jeshi la Polisi kufuatia...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Miaka yote zaidi ya 30 wana CHADEMA wamekuwa wakikamuliwa Michango ya kila aina kwa kutumia vikauli mbiu tofauti tofauti ambavyo vimekuwa vikitolewa na kuletwa na...
Ah leo Nchimbi ametoka katikati ya uwanja na kurudi upande wa goli lake amewachambua wote akajifunga bao huku wenzake wakimshangaa.
Kwanza kawasifia wanaharakati na kumtaja Maria kama mtu...
Kaimu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, ametoa msimamo wa chama hicho akisema hakutakuwa na mazungumzo yoyote na Serikali iwapo Mwenyekiti wa Chama hicho, Tundu Lissu, atakapoachiwa huru na vikao...
Hamjambo!
Mimi nawajua waafrika wengi wakizeeka stori zao. Kamba nyingi sana.
Kama namwona Mwaipopo akiwa mzee amekaa na wajukuu zake na watoto wa mtaani kwake akiwahadithia enzi zake.
Zaidi ni...
Wafanyabiashara Soko la Mawenzi Morogoro wamegoma kufungua biashara wakishinikiza Serikali ipunguze Kodi ya pango la Vizimba.Wafanyabishara hao wamesema licha ya kutozwa Kodi kubwa lakini bado...
Jicho la tatu ambalo kikawaida linaona zaidi ya uono wa kawaida na mara nyingi linaona mbali kiasi kwamba anayeona anaweza kudhaniwa ni nabii. Wengine wamejaliwa karama ya matumizi sahihi ya...
Leo kujiiita eti jeshi la wananchi wananchi ni dharau kwa watanzania. Hili ni jeshi linalo angalia mauaji na kuchekelea ya walala hoi wa kawaida.
Badala ya kulinda mipaka na katiba jeshi...
Utekelezaji huu umeanza wakati wa Magufuli. Watendaji wachache wa usalama wa taifa, Polisi na Jeshi walianza kusikilizwa na viongozi na kuambiwa kwamba huko mbele watakuja kushidwa na vyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.