Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Nijuze Julai 22, 2026, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema mchakato wa maridhiano ya kitaifa hauhusu CHADEMA pekee...
Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyorushwa na DW leo Julai 24, 2026, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni kazi...
Akizungumza katika mkutano wa vyombo vya habari jijini London, Omar alisema kuwa Eurobond ilikuwa “chaguo lililopo mezani” iwapo hali ya soko itakuwa nzuri.
Utoaji huo unaowezekana ungefanyika...
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja...
Kwanza kabisa huyu Hakimu amekuchafua wewe na mhimiri mzima wa Mahakama. Inaonyesha wazi mahakama sio chombo huru. Japokuwa ni wazi kuwa hakipo huru.
Lakini kitendo cha hakimu huyu kumsomea...
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema badala ya baadhi ya watu kuwahamasisha vijana kujihusisha na shughuli za uzalishaji na ujasiriamali, wamekuwa wakiwahamasisha kutoa fedha walizonazo kwa...
Mkongwe wa tasnia ya habari nchini, Bi. Rose Haji Mwalimu, amesema mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari umeleta mabadiliko makubwa kwa kurejesha heshima ya taaluma hiyo na kutofautisha...
Anayejiita she he Mwaipopo anatoa tuhuma nzito kwa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA kamanda John Heche kapewa pesa tasilimu na mfanyabiashara kada wa ccm kiasi cha dola laki 2 kamaTsh 520,000,000 hivi...
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili...
Michango ya makada, viongozi na wadau mbalimbali ndiyo itakayogharamia uhai wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), huku chama hicho kikizindua Operesheni "Tujenge Pamoja #Tanzania"
Akizungumza...
Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa
Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na...
Hawa vijana wanaongozwa na mihemko zaidi kuliko hekima na busara, uwezo wao umejengwa kwenye misingi ya Uongo, Kibri, Kisasi na Kujipendekeza, wanapotoa matamshi huwa hawaangalii consequences...
Hakuna chama kipya kinakuja madarakani pamoja na ofisi zake za serikali, majeshi, polisi, mahakama, barabara, hospitali, mahakama na majaji wake wapya. Watatumia miundombinu hiihii na rasilimali...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Hapa Nchini, kwa maendeleo Makubwa yaliyoletwa na Rais Samia , kwa Heshima aliyoipatia Nchi yetu, Kwa Kazi Kubwa aliyoifanya ya...
Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya...
Huyu Jamaa hua nashindwa kuelewa maana naona kama ana kua msemaji wa CCM..
Hivi hadi Michango ya Tone Tone ya CHADEMA anaiongelea yeye kama nani?
Au mimi sijui vizur kazi yake ina extend hadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.