Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Akizungumza kwenye mahojiano yaliyorushwa na Nijuze Julai 22, 2026, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Stephen Wasira, amesema mchakato wa maridhiano ya kitaifa hauhusu CHADEMA pekee...
4 Reactions
35 Replies
681 Views
The sharpest threat to emotion is a logical mind.
10 Reactions
24 Replies
542 Views
Akizungumza katika mahojiano maalum yaliyorushwa na DW leo Julai 24, 2026, Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Bashiru Ally, amesema kuwa nafasi ya Ukatibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni kazi...
0 Reactions
4 Replies
155 Views
Akizungumza katika mkutano wa vyombo vya habari jijini London, Omar alisema kuwa Eurobond ilikuwa “chaguo lililopo mezani” iwapo hali ya soko itakuwa nzuri. Utoaji huo unaowezekana ungefanyika...
0 Reactions
5 Replies
198 Views
Katika Muendelezo wa Mikutano ya hadhara inayoendelea kwenye Oparesheni 255 ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , ambayo sasa imeingia kwenye Mkoa wa Katavi, Tundu Lissu ameyataja...
38 Reactions
206 Replies
13K Views
Kwanza kabisa huyu Hakimu amekuchafua wewe na mhimiri mzima wa Mahakama. Inaonyesha wazi mahakama sio chombo huru. Japokuwa ni wazi kuwa hakipo huru. Lakini kitendo cha hakimu huyu kumsomea...
4 Reactions
9 Replies
297 Views
Yeah ni member gani Ambaye unafikiri akipewa ikulu sasahivi anaweza kuiongoza nchi kwa kuzingatia msingi ya haki na katiba bila kukengeuka?
10 Reactions
145 Replies
2K Views
Hakuna chama kinachoungwa mkono zaidi ya Chadema kwa sasa.👇
3 Reactions
3 Replies
210 Views
Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa amesema badala ya baadhi ya watu kuwahamasisha vijana kujihusisha na shughuli za uzalishaji na ujasiriamali, wamekuwa wakiwahamasisha kutoa fedha walizonazo kwa...
6 Reactions
46 Replies
959 Views
Mkongwe wa tasnia ya habari nchini, Bi. Rose Haji Mwalimu, amesema mfumo wa ithibati ya waandishi wa habari umeleta mabadiliko makubwa kwa kurejesha heshima ya taaluma hiyo na kutofautisha...
1 Reactions
3 Replies
65 Views
Anayejiita she he Mwaipopo anatoa tuhuma nzito kwa Makamu mwenyekiti wa CHADEMA kamanda John Heche kapewa pesa tasilimu na mfanyabiashara kada wa ccm kiasi cha dola laki 2 kamaTsh 520,000,000 hivi...
1 Reactions
8 Replies
291 Views
Tukio la Lissu kupigwa risasi sio dogo kama wengine wanavyodhani, waliohusika wasifikiri litaisha kama matukio mengine yanavyoisha na kusahaulika, kuwa ni upepo tu utapita, wakae wakijua hili...
96 Reactions
287 Replies
32K Views
Michango ya makada, viongozi na wadau mbalimbali ndiyo itakayogharamia uhai wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), huku chama hicho kikizindua Operesheni "Tujenge Pamoja #Tanzania" Akizungumza...
11 Reactions
33 Replies
600 Views
Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na...
7 Reactions
8 Replies
189 Views
Hawa vijana wanaongozwa na mihemko zaidi kuliko hekima na busara, uwezo wao umejengwa kwenye misingi ya Uongo, Kibri, Kisasi na Kujipendekeza, wanapotoa matamshi huwa hawaangalii consequences...
7 Reactions
18 Replies
526 Views
Hakuna chama kipya kinakuja madarakani pamoja na ofisi zake za serikali, majeshi, polisi, mahakama, barabara, hospitali, mahakama na majaji wake wapya. Watatumia miundombinu hiihii na rasilimali...
-4 Reactions
138 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa kazi kubwa iliyofanywa na Rais Samia Hapa Nchini, kwa maendeleo Makubwa yaliyoletwa na Rais Samia , kwa Heshima aliyoipatia Nchi yetu, Kwa Kazi Kubwa aliyoifanya ya...
7 Reactions
145 Replies
1K Views
Hi I Maana yake ni kwamba YEYOTE atakayeamua kuridhiana n.a. Shetani atakuwa anamkosea Mungu wake na kwa vile atakuwa anavunja kanuni za Mungu mwenyewe basi bila Shaka atakuwa anatenda dhambi ya...
12 Reactions
64 Replies
1K Views
Huyu Jamaa hua nashindwa kuelewa maana naona kama ana kua msemaji wa CCM.. Hivi hadi Michango ya Tone Tone ya CHADEMA anaiongelea yeye kama nani? Au mimi sijui vizur kazi yake ina extend hadi...
6 Reactions
15 Replies
252 Views
Masaa machache Baada ya Kauli yake Michango yapaa kama kishada Hii ndio hali halisi
5 Reactions
10 Replies
304 Views
Back
Top Bottom