Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakuu, Nauliza tu Kwanini hawa viongozi wastaafu walivyotambulisshwa shangwe limekuwa kubwa mno Hapo Pinda, Warioba na Majaliwa walivyotambulishwa shangwe lilikuwa kubwa mno lakini...
5 Reactions
13 Replies
354 Views
Wakuu, Akizungumza leo Februari 28, 2025 Jaji Mstaafu na Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba alisema katika miaka ya hivi karibuni kumekuwa na mmonyoko mkubwa wa maadili lakini Hayati...
3 Reactions
2 Replies
199 Views
Nimekuwa siku zote nikisema SOMENI ndugu zangu. Mtu mwenye elimu kamwe hawezi kuendeshwa na failure. Kanisa katoliki ndio baba wa imani na ni merits kwa nchi ya TZ . Tujivunie…. Dini zote ni...
15 Reactions
36 Replies
357 Views
Nimeona wengi wa wananchi wakipongeza kauli ya Nchimbi kuhusu conflicts za vyama. Na hii ndo kawaida ya wanongo kuingia king kwa Mkono wa kushoto. Binafsi napinga maana kama ni kelele zilipigwa...
3 Reactions
2 Replies
73 Views
Tunapaswa kuandika barua kwa wingi kwenye mamlaka za marekani kuomba delta force waje kukamata hawa wasio julikana watekaji na wauwaji nchini. Ni wazi sasa tunahitaji msaada wa kijeshi wenye...
6 Reactions
24 Replies
297 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) anayemaliza muda wake, Bi. Veronica Nduva, tarehe 28...
2 Reactions
3 Replies
139 Views
Wanabodi, Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo.Jana tumempumzisha kwenye makao yake ya milele, katika makaburi ya Pugu, Mpendwa wetu, Mwadhama Polycarp, Cardinali Pengo...
3 Reactions
6 Replies
107 Views
Credit kwa Pascal Mayalla Marekani, US, na washarika wake, EU, kupitia mashirika yao ya kibeberu ikiwemo IMF, WB, US AID, CIA, NATO, etc, ndio nchi zinazoongoza kwa imperialism, wakiamua kiongozi...
27 Reactions
198 Replies
5K Views
Dr nchimbi Leo akiwa kwenye mazishi ya Kardinali pengo alipata fursa hadhimu ya kutoa nenoa fursa ambayo Dr Samia alinyimwa live Jana Moja ya kauli ni kuwa anachukizwa na ugomvi wa VYAMA vya...
4 Reactions
3 Replies
111 Views
Ina maana kweli Samia hana anayemheshimu? Nakumbuka Nyerere alipomuweka ndani Mshelisheli aliyesema serikali ameiweka mfukoni, walikuja watu kumuomba Nyerere amsamehe, akakataa! Akaja Askofu...
9 Reactions
16 Replies
300 Views
Kuanzia ngazi zote CCM huwa wanatumi mabavu kuleta ghasia na kunyanyasa wapinzani kwa kutumia jeshi la Polisi na mahakama. Angalia zile vurugu alizofanyiwa Heche alipokuwa Igunga. Kamata...
2 Reactions
1 Replies
121 Views
Aliyekuwa mgombea ubunge wa viti maalumu kupitia Umoja wa Wazazi wa CCM, Olivia Chagula, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi Oktoba 29 kushiriki uchaguzi mkuu kwa kupiga kura bila hofu...
1 Reactions
3 Replies
288 Views
Rafiki yetu kindaki ndaki Iran amepoteza Kiongozi wao Ayatollah Khamenei. Hivyo wizara imuandalie safari Mstaafu maarufu ya kwenda kutuwakilisha kwenye mazishi huko Tehran
1 Reactions
7 Replies
207 Views
Kanisa la Roman Catholic linajitosheleza kwa kila idara lina kitengo cha ujasusi The Jesuit lina benki yake Bank of Vatican, lina miradi mikubwa dunia nzima, uchumi wake Tanzania ikasome...
21 Reactions
36 Replies
1K Views
WAZIRI MKUU ATEMBELEA OFISI ZA CCM MKOA WA MANYARA WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Machi 1, 2026 ametembelea Ofisi za Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara na kusalimiana na viongozi wa...
2 Reactions
1 Replies
88 Views
Kazi Inaendelea Ziara ya Kikazi Mkoa wa Manyara
1 Reactions
1 Replies
51 Views
  • Redirect
Mliwafungia miezi 3 , wametiii sheria bila shuruti, sasa tatizo liko wapi? Tueleze na sisi umma tujue tatizo ni nini!? Hii ni very very important news outlet kwa Tanzania na dunia kwa ujumla kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Kufuatia wito wa viongozi wa Chama. Naahidi kuchangia CCM pesa kwa ajili ya Kampeni za uchaguzi Mkuu. NB: Nashauri UCHANGIAJI Pesa ya Kampeni CCM usiwe hiari. Kampuni za simu zitumike kukusanya...
5 Reactions
165 Replies
4K Views
Back
Top Bottom