Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MKUU wa Wilaya ya Temeke Sixtus Mapunda amevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kufanya uchunguzi katika baadhi ya showroom za magari zilizopo wilayani humo ili kubaini iwapo zinatumika kutakatisha...
2 Reactions
11 Replies
497 Views
Sikiliza kwa umakini namna anavyochambua uongo na madudu ya Tume ya Jaji Chande👇
1 Reactions
7 Replies
165 Views
Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki, Jesca Kishoa, amewataka wananchi kuendelea kuwa wavumilivu kufuatia zuio la mikutano ya hadhara lililotolewa na Serikali, akisema shughuli hizo zitaendelea...
2 Reactions
3 Replies
163 Views
Afrika isiendelee kuwa uwanja wa ushindani wa mataifa makubwa. Tunapaswa kutumia nafasi yetu ya kimkakati, rasilimali tulizonazo na nguvu ya watu wetu kujiletea maendeleo yenye manufaa kwa...
1 Reactions
1 Replies
76 Views
Shauri la Kikatiba namba 7300 la mwaka 2026 linalohusu madai ya kunyimwa faragha kwa Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, limeahirisha hadi Septamba 16, 2026 kwa ajili ya kutajwa...
2 Reactions
6 Replies
260 Views
Ushujaa wa hali ya juu👇 Mahakama ya Wilaya ya Geita imemwachia kwa dhamana Mwenyekiti wa CHADEMA Geita Vijijini, Neema Chozaile, baada ya kushikiliwa mahabusu kwa zaidi ya siku 20. Chozaile...
9 Reactions
26 Replies
485 Views
Mfanyabiashara Nilesh amefafanua kuwa fedha alizompatia mwanasiasa John Heche hazikuwa na uhusiano wowote na shughuli za kisiasa au chama cha CHADEMA, bali zilikuwa sehemu ya mahusiano yao ya...
18 Reactions
68 Replies
1K Views
https://www.youtube.com/watch?v=yVMgmMYnyrw Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimezindua operesheni “Tujenge Pamoja Tanzania” kwa lengo la kuwahamasisha Watanzania kuijenga nchi yao wenywe na...
5 Reactions
36 Replies
517 Views
  • Featured
Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dodoma, imeamuru Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, aachiwe kwa dhamana kuanzia Julai 21, 2026, wakati upelelezi wa tuhuma za...
7 Reactions
44 Replies
2K Views
Rais Magufuli anatangaza kifo cha Waziri wake wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga aliyefariki leo alfajiri Mei 01, Jijini Dodoma Taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema Waziri huyo...
36 Reactions
905 Replies
123K Views
Ni jambo la hatari kwa taasisi ya umma kama vile Yanga, Simba, Tanganyika Law Society (TLS) au TFF kuchukua mwelekeo kamili wa kisiasa. Madhara yake ni makubwa sana. Na Unaweza kutambua uelekeo wa...
6 Reactions
237 Replies
3K Views
PROFESA ASHANGAA SERIKALI YA TANZANIA KUWAKAMATA WAHADHIRI WA VYUO VIKUU! Baada ya serikali ya Tanzania kuwakamata kwa tuhuma za kuchochea maandamano wahadhiri watatu na kuwanyima dhamana...
5 Reactions
15 Replies
437 Views
Hii ni kwa sababu alidhibiti ufisadi na akahakikisha kuwq pesa na makusanyo yana kwenda kwenye mfuko wa taifa yaani consolidated fund. Kama rejesho kwa sasa ni 45% wakati kiwango kilichotakiwa ni...
1 Reactions
5 Replies
145 Views
Mahakama imeanza soon nawaletea Updates za kesi. Huu ni muendelezo wa kesi inayomuhusu Mwenyekiti wa chadema dhidi ya haki za mawakili kutpewa vikwazo na mamlaka za magereza kukutana na wateja...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Ikumbukwe kuwa ACT-Wazalendo iliomba mapitio(Judicial Review) Mahakama kuu ikipinga ukokotoaji INEC wa Viti Maalum, baada ya kufungua shauri Wabunge wa Viti Maalum wa CCM waliomba kuunganishwa...
1 Reactions
7 Replies
147 Views
Kuna mambo huwa hayazuiliki. Huwa yanakuja tu au yanatokea tu kiasili. Mapema leo wakati Mchungaji Msigwa anasalimiana na Mheshimiwa Lissu, maafande wa Magereza walishindwa kuzuia tabasamu kwenye...
36 Reactions
55 Replies
1K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesisitiza umuhimu wa kuheshimu misingi ya katiba na uhuru wa mihimili ya dola, akibainisha kuwa mahakama ni mhimili...
2 Reactions
17 Replies
297 Views
Daniel Yona , Basil Mramba , Yusuph Manji , Rugemalila , Nape Nnauye , Mwigulu Nchemba , Magessa Mulongo na Habhinder Seth ni baadhi ya majina makubwa ambayo awamu zilizopita yalitamba mno katika...
11 Reactions
34 Replies
3K Views
Yeye anajinasibu kuwa ni mjuvi wa mambo ya sheria. Na anadegree ya sheria toka SAUT. Lakini kwa mahojiano aliyofanya na mwandishi mmoja wa habari. Kwanza anajikanyaga kanyaga. Hajui vifungu ni...
8 Reactions
29 Replies
571 Views
Hakika kesi ya Lissu imetusanua Watanganyika. Kwamba serikali ya Tanzania imejaa uozo kila sehemu. Kwamba sheria, kanuni na taratibu haziheshimiwi wala hazifuatwi ama kwa makusudi au kwa...
13 Reactions
17 Replies
311 Views
Back
Top Bottom