Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Vita ya majimaji iliongozwa na Kinjeketile na akaweza kuwashawishi wananchi wengi vijana wakajiunga na jeshi lake. Vita ya majimaji ilikuwa na wapiganaji walikuwa na Imani kubwa kuwa watawashinda...
2 Reactions
11 Replies
176 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA amesema, “Muulizeni Mbowe viongozi wa CHADEMA wasingemtembelea gerezani angejisikiaje?” Soma Pia: Heche: Mbowe aulizwe mwenyewe kwanini haendi mahakamani Tundu Lissu...
13 Reactions
60 Replies
835 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema amekuwa akikabiliwa na vitisho vinavyolenga usalama na uhai wake kutokana na shughuli zake za kisiasa. Heche amesema vitisho hivyo...
5 Reactions
6 Replies
273 Views
  • Redirect
Note my word, uo ndo utakuwa upya WA ccm na MABADILIKO makubwa yatatokea. Utakuwa ndo mwanzo wa kifo wa CHAMA cha democracia na maendeleo CHADEMA maana kila jambo lao litafanyika. Katiba mpya...
1 Reactions
Replies
Views
Kama ni kidali poo, mama Samia analo! Nchimbi huyoo kayoyoma kiaina, kaona kama ni mbwai miye naulaza! Kwa maneno ya mjini, kabwaga manyanga! Ngoma waicheze wajuvi. Kwa maneno nengine Nchimbi...
16 Reactions
54 Replies
998 Views
Katika barua yake kwa umma Mhe Dk Emmanuel Nchimbi amesema kwamba nanukuu "... nimejiridhisha pasipo shaka kuwa Mhe. Rais anatamani mabadiliko, hivyo nimeamua kutimiza ahadi yangu...." Alipoona...
8 Reactions
19 Replies
600 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Simon Msigwa, amezua mjadala mkubwa wa kisiasa nchini baada ya kutoa ukosoaji mkali dhidi ya serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan na mfumo wa...
3 Reactions
15 Replies
238 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi la leo, kwanza nitoe pongezi kwa mwandishi wa habari, Saed Kubenea na gazeti lake la Mwanahalisi kwa kuripoti ukweli bayana wa kitu cha...
9 Reactions
15 Replies
326 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tanzania Bara, John Heche, amesema chama hicho kimeamua kuendelea kudai mabadiliko ya kweli badala ya kufanya siasa kwa ajili ya kuonekana pekee. Heche amesema...
0 Reactions
0 Replies
35 Views
N:B: inawezekana kwa mara ya kwanza Rais na Makamu wake wakawa wote wanawake kama Namibia. Kwavile Rais ni Mkristo, kuna uwezekano mkubwa ataweka balance kumteua Makamu wake Mksristo MWIGULU...
1 Reactions
47 Replies
997 Views
  • Redirect
LISSU: Heche ongeza Moto wameanza kutiana maini HECHE: Sawa Sawa https://www.facebook.com/share/r/1C33WuarN1/
0 Reactions
Replies
Views
Wadau nawaomba tuendelee kufatilia defence evidence wa mh. Lissu hizi kiki za akina nchimbi na genge lake la wafiraji na watekaji huko ccm tuachane nao maana wote ni birds of the same feathers who...
7 Reactions
11 Replies
126 Views
Kwakuwa mtoto wake yupo madarakani kikwete rasmi sana kauza CCM bara na wamiliki sasa ni wanzanziri
4 Reactions
6 Replies
273 Views
Huyu anayekaa kabisa na Samia pembeni kabisa anathibitisha kwamba kashachanganyikiwa Mwigulu na Baraza zima pia wanatemwa anaunda linguine kabla ya mwaka kuisha, kuna sababu kaniambia Ila ngoja...
66 Reactions
94 Replies
4K Views
https://www.youtube.com/watch?v=8BRE4ErdPYg
0 Reactions
0 Replies
33 Views
Ukweli kwamba anainyosha nchi. Kila goti litapigwa kuanzia Dar hadi Ruvuma, kupitia Lindi na njia ya kuelekea kwa sugu Kama alifanikiwa bunge la katiba hana hata kajeshi kamoja na hata hili...
0 Reactions
3 Replies
81 Views
Ya Kujiuzulu.... Taarifa zimeshatufikia.. -Tuwaacheni Wafu Wazikane Wenyewe kwa Wenyewe-.
2 Reactions
3 Replies
92 Views
Naomba tu Majibu. Au ndo Ile mtu yupo ofsni lakini KAZI alishasusa kitambo sana. Naomba watanzania tuwasaidie majukumu viongozi wetu waliotuteua kwa moyo wa dhati kwasababu wametuamini wametuona...
1 Reactions
3 Replies
98 Views
Nimependa kujiuzulu kwa Nchimbi ili kupisha utawala wa kifalme . Afanye hivyo kama mfadhili na rafiki yake Museveni kieleweke. Sasa naamini Tanzania ni shamba la bibi tena mwenyewe kiziwi na...
4 Reactions
14 Replies
222 Views
Mlifanya jambo kama hilo kwa Spika wa bunge kwa sasa naomba msijaribu kwa makamu wa rais mtaleta maafa. Kwanini awe Samia pekee anayegombana na wandani wake. Kuanzia kwa Kasimu Majaliwa, VP...
5 Reactions
16 Replies
286 Views
Back
Top Bottom