Mkuu wa wilaya ya Kinondoni ametoa amri inayokataza wakazi wa Mwenge stand kupaki magari yao na wenye maduka kushusha mizigo yao madukani. Huu ni ulevi mwingine wa madaraka uliovuka mipaka ya...
Kuhusu mjadala uliotuama mitandaoni ikimtaja Nape Nnauye kuwa shujaa baada ya kupinga uvamizi wa kituo cha televisheni cha Clouds Media uliofanywa na kiongozi wa Serikali aliyeambatana na askari...
Kwa macho yangu nimemuone mwanakijiji ameanguka kwa kukosa chakula na wengine wanakula mboga za majani za porini kama mchunga, tula (ndulele) bila nafaka yoyote. Nadhani tunafanya mzaha na maisha...
Baada ya kuzunguka nchi nzima na mikoa tofauti kuna utafiti nimeufanya nikagundua sifa za wafuasi wa vyama vya upinzani iwe CHADEMA, CUF au NCCR.
1.Ni vijana wanaojitegemea hawaishi kwa shikamoo...
Ndugu wanajamvi habari za majukumu!!!
Demokrasia ni neno linalotambulisha kuwa katika jamii fulani ya watu kuna utawala uliowekwa na watu wenyewe kwa ajili yao na manufaa yao wenyewe. Kwa maana...
Hii inakwenda bila maswali mengi kwamba Mh. Makonda ameonesha sehemu zote dhaifu za vyama vya upinzani hapa nchini.
Kwa muda sasa vyama vya upinzani hapa nchini vimekua vikijaribu kutoa...
Habari wanajamvi...
Jaman samahani naombeni msaada kidogo kuna kaubishi hapa,
Swali: Kwann kikao cha Bunge kinaanza jumanne?
Kuna mtu hapa anasema jumamos wabunge watakuwa wanasafiri jumapili...
Mbunge wa viti maalum kwa mkoa wa Mwanza Susanne Makene amepokea taarifa ya polisi kuhusu zuio la mkutano wa hadhara eneo la Pasiansi Mwanza.
Sababu zilizoelezwa ni kuwa Mbunge wa jimbo la...
Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Ni mkuu wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu. Ndiye kiongozi wetu nambari moja wa nchi. Sisi watanzania tunapaswa kumuunga...
Kwa wadau wa maddini na wataalam u wa mahhesabu je mtambo wa kuchuja na kuchakata mchanga wa madini haswa haswa copper concentrate inayodaiwa kuwemo kwenye makontena yaliyokmatwa ni shilingi ngapi...
ANAANDIKA ZACHARIAH HANS POPE..
Hili suala la mchanga wa dhahabu litaishia kulitia hasara kubwa taifa na hii tabia ya rais kukurupuka na amri kila kukicha kwenye mambo yenye mikataba si sahihi na...
Kila Asubuhi watu wanaitukana Chadema
Kila Mchana Watu wanaikosoa na kuilaani Chadema
Kila jioni watu wanaidharau Chadema
Usiku ndiyo kabisaaaaa hawataki hata kuisikia Chadema wasije wakaota ndoto...
Alichaguliwa kuwa mbunge na kuteuliwa kuwa waziri katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2005, akiwa waziri wa nishati na madini mda mfupi tu akaumilikisha mgodi wa dhahabu wa buzwagi kwa wawekezaji...
Kama juu
Uchaguzi Mkuu hauko mbali lakini maandalizi bado hayajaanza. Shida yetu ya kukosa viongozi bora ni jinsi utaratibu wa kupiga kura ulivyo.
Tumeona kwenye bunge LA katiba,watu...
Huwezi kuwasikia CUF na NCCR wakilalamikia utaratibu uliotumika kuwapata Wabunge wa Upinzani katika Bunge la EALA. Matokeo yake wanabaki kuugilia kimoyomoyo maana wanajua walipokosea. CUF na MCCR...
Ibara ya 90-(2) inazungumzia sababu ambazo zinaweza kumfanya Raisi kulivunja Bunge wakati wowote.
Moja ya sababu inayotajwa katika Ibara ya 90-(2)(e) inasema:
endapo,kutokana na uwiano wa...
Ni mtazamo wangu. Uwezo wa hawa vijana ni mkubwa sana ilikuwa ni nafasi kuipeperusha bendera ya CHADEMA kuliko hawa wakongwe Wenje na Masha.
Ambao tayari wameshatumikia nafas mbalimbali.
Taifa letu linaangamia kwa mengi lakini hili la kuwakatalia wafanyakazi hasa wa sekta binafsi fao la kujitoa au la kukosa ajira linarudisha nyuma juhudi binafsi za watanzania za kujikwamua kutoka...
Salaam JF ,
Nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa juu ya watawala wa eneo la Afrika Mashariki la Maziwa Makuu. Nchi za Uganda ya Museveni, Rwanda ya Kagame, Burundi ya Nkurunziza, DRC Congo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.