SEHEMU YA II - CHADEMA tunasema hivi, Rais Magufuli acha mchezo wa kucheza na maisha ya madaktari wetu, katika mazingira ya kawaida, ingekuwa wanakwenda Kenya wakati kuna hali ya utulivu, kuna...
Juzi tu apa tulikuwa na Kikwete mkasema anacheka cheka ovyo oooh mara hana maamuzi. Sasa huyu ni Dr John Pombe Magufuli, the man of action, the man of desicion...ikifyuu yeye ana fwaa, ukimyuuuu...
Katika hotuba yake ya jumatatu, Rais Magufuli alitoa rai(?) kuwa watanzania tuache 'udaku' na 'viposti posti', na badala yake tujikite katika kujadili habari zitakazoleta maendeleo katika nchi...
Ningeshangaa sana kama haya yanayotokea yasingetokea, kila mtu wakati wa uchaguzi ndani ya Chama Cha Mapinduzi aliona jinsi vigisufigisu zilivyotawala, tuliona wazi demokrasia ilivyoendeshwa, kati...
Hii ilikuwa kali,, watu wanabaki macho kodo!! Huku mh. Rais wa Darisalama akishusha mapande!! Ila u-Bashite umemshusha hadhi sana huyu jamaa ni kwa vile ni taahira tu ndo maana ataendelea kutukana...
Mimi kwa mtazamo wangu nadhani ni vyema wananchi tukajikita kwenye mijadala ya maendeleo na kutoka kabisa kumjadili makonda kama kafoji vyeti time will tell,..... Kwa nini hii imekuwa kama ndio...
Ndugu wanajamiiforum..
Ni aibu sana ukifungua jamiiforum kila thread Makonda!
Hii nchi ya ajabu sana Tena sana. Thread za Maendeleo watu hawachangii kwamfano kuna MTU alianzisha thread/Uzi WA...
Wana Dar sasa Fitna,Ukweli,Uzushi,Majungu,Wivu,Kila aina ya vioja tumeona na kusikia kuhusu RC Dar,Mteule wake bado anamwamini sisi hatuwezi kupinga kamwe kwa mujibu wa katiba na sheria.
Tumwache...
Hospitali ya Apollo India huenda ikasitisha kupokea wagonjwa kutoka nchini Tanzania kutokana na deni kubwa inayodai.
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu...
Nachukua fursa hii kukikumbusha Chama changu cha CCM kadri mambo yanavyoenda sasa hivi na matatizo ya kimaisha tunayokumbana nayo sisi wananchi huku mitaani NATABIRI mambo yatakuwa magumu sana...
Wadau, amani iwe kwenu.
Nchi za Libya na Misri ziliingia kwenye machafuko kutokana na tamaa za watu wachache na kwa sababu za kijinga jinga. Tanzania tumeanza kunyemelewa na hali hiyo pale...
Mama Kijo Bisimba amewaasa watanzania kuonyesha hasira zao dhidi ya utawala unaowadharau. Amesikitishwa na kauli ya Mh.Rais kwamba yeye hapangiwi na mtu nini cha kufanya
Bisimba ameenda mbali...
Inakumbukwa baada ya kuhusishwa kwa jina la Manji katika list ile ya RC kuhusu dawa za kulevya, Manji aliongea na wanahabari na kusema atafungua kesi kumshitaki Mkuu wa Mkoa dhidi ya kumchafulia...
Ndugu wanajamvi,
wiki hii kwa masikitiko makubwa tumedhalilishwa na kiongozi wa nchi na kuitwa watu wa udaku kisa tu kutoa mawazo huru na kumpa ushauri katika nchi huru,
sasa nasema ndugu zangu...
Kutokana na sakata la Mh Makonda kuingia Clouds Media usiku, kila mtu amekua akisema yake. Wengi katika hao wanalaani Mkuu wa mkoa kufika pale akiwa na askari polisi wenye silaha. Wakumbuke polisi...
Mtu yeyote akivamia nyumba ya mtu au chombo cha habari, huyo ametenda kosa la jinai. Kuvamia media house tena akiwa na silaha, hilo siyo kosa la madai (civil case). Anaweza waomba cloud msamaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.