Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amemrudishia uanachama aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Leticia Mosore na kumruhusu kuendelea na wadhifa wake katika chama...
Wimbi la wahamiaji haramu ambao huingia na kundi kubwa la mifugo wakitokea nchi jirani limerudi upya tena safari hii kwa kasi na kujiamini na kiburi .Wahamiaji hawa itakumbukwa walifurushwa na...
Najiuliza sana sina majibu... hivi kama kilo moja ya dhahabu ina gharama kubwa kiasi hicho (wajuvi mtanijuza thamani halisi kwa sasa ya 1kg ya Aurum _Ag _dhahabu), kwa nini tusizuie kwanza hii...
Kwa kiongozi aliyeingia madarakani, kwa kumuondoa Rais halali aliyechagulia na wananchi
Na leo anakuwa Rais wa kwanza kutoka Afrika, kualikwa na kuonana na Rais mpya kutoka...
Habari za jioni wadau, binafsi mimi naona chadema inapaswa kumpa nafasi mwanadada wema sepetu kwa sababu Ana vigezo hasa kile cha lugha ya kiingereza na kile cha kujipambanua kisiasa.
Kama...
Mheshimiwa naandika kwa kifupi ;
Ukitaka kufanikiwa kuleta mageuzi makubwa kwenye mashirika kama Air Tanzania, TANESCO, General Tyre, Twiga Bancorp n.k tumia CEO's wenye vipaji. Duniani kote...
Ushauri kwa Mbowe.
Mapendekezo Mapya:
Weka Wema Sepetu na Amani Golugwa, au
Weka Mgombea wa Kike aliyeanguka 2015 na James Lembeli, au
Weka Neema Kishebuka na John Mrema, au
Weka Dady Igogo...
Nimekuwa najiuliza sana juu ya hili,
Kwanini serekali yetu hujikadiria matrillion mengi mno katika miaka yake ya kifedha huku pengine ikifahamu haitaweza kufikia kupata kiasi hicho?
Naomba...
Pamoja na kujitahidi Kwake kote kutaka kuwashawishi hasa Wapinzani wenzake wakiongozwa na CHADEMA jana Mbunge Zitto Kabwe alionja sehemu chungu ya ' Unafiki ' wake pale ambapo alipowaomba...
After Magufuli, Makonda; if in doubt, remember Mwakyembe and Nape’s fate
&title=After%20Magufuli,%20Makonda;%20if%20in%20doubt,%20remember%20Mwakyembe%20and%20Nape’s%20fate']...
" CHADEMA IACHE UPOTOSHAJI KUHUSU MGOGORO WA CUF" TATIZO KUBWA KABISA LA CUF NI MAALIM SEFU"
Na Salum Chilwa.
-------------------------------
Kumekuwa na Taarifa Zinazotolewa Mara Kwa Mara na...
Kwa kuwa rais wa dunia ni Trump wa Marekani ni wakati muafaka sasa Afrika nayo iwe na kiongozi wake ili kuwa na sauti ya pamoja katika masuala yenye maslahi mapana na bara hilo ndani na nje ya...
Wakuu nimekuwa nikitafakari kwa kina sana ukimya ule wa Mh.Mwigulu baada ya Mkuu wa Mkoa Makonda kutaja majina ya waliosemekana wauza ngada.
Katika kutafakari nimekuwa nikiomba msaada kwa watu wa...
Siku zote wahenga wanasema usiache mbachao kwa msala upitao. Pia wahenga wanasema usitupe jongoo na mti wake.
Kwa sasa wafuasi wa CHADEMA mitandaoni tumeanza kampeni tuliyoipa jina la TUNDU LISSU...
Mosore arejeshewa cheo chake NCCR
MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amemrudisha Makamu Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Leticia Mosore kuendelea na wadhifa wake.
Soma zaidi...
Heshima kwenu wakuu,
Napenda kuwajulisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo yuko mbele ya Kamati ya Maadili Haki na Madaraka ya Bunge.
Taarifa ya kamati itafikishwa kwenye...
Wakati ni ukuta, ukishindana nao utaumia. Huu ndiyo wakati wenyewe muafaka wa kulijenga taifa letu imara katika kusimamia demokrasia na misingi ya utawala bora. Tukiweza kusimamia utawala wa...
MTANDANDA WA VODA KWA SASA NI WA USUMBUFU MNO. NIMETUMA PESA SHILINGI 100,000/- KWENDA KWENYE KAMPUNI FULANI. LEO SIKU YA NNE PESA HAIJAFIKA NIKIWAULIZA VODA WANASEMA PESA YANGU IKO HEWANI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.