JAJI Mkuu mstaafu, Mohamed Chande Othman amesema mahakama nchini ziko huru, hazipendelei upande wowote wala kushinikizwa na mtu tofauti na baadhi ya watu wanavyofikiri au wakati mwingine...
Tumepigania HAKI yetu ya kugombea kuwakilisha nchi EALA Kwa kutumia njia zote sahihi Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge. Tukishinda na kupata haki hiyo tutashukuru. Tukishindwa na kukosa haki hiyo...
Waziri wa Elimu Prof. Ndalichako amesema hatasita kuwachukulia hatua Waajiri Wanaowanyima ruhusa Wafanyakazi kwenda Masomoni baada ya kupata ufadhili. Kayasema hayo katika Taasisi ya Chuo Kikuu...
Chanzo: MWANANCHI (3 April 2017)
Uchunguzi uliofanywa kwenye baadhi ya masoko jana na juzi umebaini kuwa bidhaa mbalimbali zimepanda bei yakiwamo maharage ambayo yamepanda kutoka Sh 1800 hadi...
Serikali ya JPM, ilihakikisha umma hauupati uchambuzi huu. Tunauwasilisha kwenu kwa njia mbadala.
========
UCHAMBUZI WA BAJETI YA SERIKALI 2016/17
Kabwe Z. Ruyagwa Zitto (Mb)
Kiongozi wa Chama...
Serikali ya awamu ya 5 chini ya rais Magufuli huenda imefanikiwa kuzima harakati na shughuli zilizokuwa zinaupaisha upinzani
Kwa sasa kiuhalisia wabunge wa upinzani hawana nafas ya kuwatumikia...
Kama kawaida yetu Tanzania tumebadili gia angani kwa mara nyingine.
Lengo la Serikali yetu tangu 2013 ni kuuza umeme nje ya nchi. Tena tulijipa mwaka tu hadi kutimiza lengo hili. Yaani tuliambiwa...
Habari za usiku ndugu zangu leo ningependa tujiulize kwa muda wa zaidi ya mwaka mzima ni waziri yupi unamuona kama jipu kwa upande wangu naona waziri wa elimu ni jipu yaani mipango yake mingi ni...
Hii ni habari katika gazeti la TanzaniaDaima la siku ya leo.
Sasa ndugu yangu Nape hebu jiulize thamani yako ndani ya chama chako iko wapi ikiwa mtu alietenda kosa la kukutishia uhai wako kwa...
Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Dr. John Pombe Magufuli Jana Tarehe 01/04/2017 ametoa zawadi ya Shilingi milioni 20 kwa wananchi waliojitokeza kwa wingi Kumuaga waziri mkuu wa Ethiopia...
Rais Magufuli kaunda tume ya kuchunguza mchango wa sekta ya madini nchini Tanzania,anataka kuona kama kuna ukweli kwenye hii biashara ya madini!.
Rais Magufuli tunakupongeza kwa kuonesha nia ya...
Salam wakuu,asubuhi iwe njema kwenu. Nami pia sijambo.
Baada tu ya Rais Magufuli kuingia darasani, vyama vya upinzani ni kama vimepoteza mwelekeo au pengine kuzimwa kabisa kistrategies. Rais...
Tumezoeatoka kwa Marais waliopita kuhutubia taifa Lila mwisho Wa mwezi. Marais hawa walikuwa wakitumia nafasi hiyo kueleza au kutolea ufafanuzi masuala mbalimbali ya kijamii na matukio mbalimbali...
Haya ni maajabu makubwa na yanatakiwa yawekwe kwenye rekodi za dunia.
Kama alivyosema Msigwa, kuyakubali haya unatakiwa ukapimwe akili cha ajabu Msigwa huyo huyo anayakubali na kushangilia kweli...
Bavicha walikuwa wanaongoza kumponda Rc kwamba anataja vidagaa badala ya mapapa wa dawa za kulevya.
Leo mara baada ya kutangazwa kwa majina ya watuhumiwa Papa wa dawa za kulevya, kama kawaida yao...
Mara nyingi Kila Rais wa Tanzania hupenda kuongea Na Wazee wa mkoa wa DSM.Sababu kubwa nadhani ni imani kuwa wana busara sana Na ujumbe watakaopewa wataufikisha Kwa waliochini yao Kwa maana watoto...
Najiuliza inakuwaje Slaa na Zitto kukaa kimya hapo zamani na hatimaye hivi sasa kuhusiana na tuhuma nzito dhidi ya mwenyekiti wao wa chama wa enzi hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.