Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi huu wa 3, ambao ni Mwezi wa Mungu. Kwenye utawala wa Awamu ya 5, ulioongozwa na Dkt. John Magufuli, Karibu viongozi wote wa Chadema wa ngazi zote walitekwa...
20 Reactions
173 Replies
6K Views
Mkuu wa Mkoa wa Pwani (RC), Mheshiwa Abubakar Kunenge amesema ushirikishwaji wananchi kwenye miradi ya maendeleo unaofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) ni...
1 Reactions
0 Replies
116 Views
Miongoni mwa waliohudhuria Misa Takatifu ya kumbukizi ya miaka mitano ya kifo cha Rais wa Awamu ya Tano, John Pombe Magufuli, ni Wilfred Mwango, aliyewahi kuwa mlinzi wake binafsi. KUMBUKIZI |...
15 Reactions
43 Replies
1K Views
MAGUFULI HAKUWA MNAFIKI (KUMBE MNASHANGILIANA KWA KUPANGA. HATA MIMI NILIJUA HII NI PROJECT). Nimeona alichoandika Godbless Lema leo. Niseme tu, nami niliifuatilia siku ya kuzikwa Pengo...
1 Reactions
15 Replies
559 Views
Habari wakuu, Jana ilikua siku ya 365 tangu ilipotimia November tano mwaka Jana na nchi yetu kubadilisha utawala wake kwa njia ya kura zilizopigwa mwezi October. November tano akaapishwa Daktari...
37 Reactions
2K Replies
230K Views
WAJALUO WAMETANGULIA CHATO?! Kesho 17/3/2025 inatimia miaka 5 ya kumlilia hayati Rais JPM. Kimsingi, siyo “maadhimisho” ya miaka 5 bila. Hatuna cha kuadhimisha; tuna cha kulilia. Hata ambao...
6 Reactions
9 Replies
416 Views
Kila akitajwa Majaliwa umati wa wananchi unainuka na kumshangilia kwa nguvu sana. Hii inamjibu Mwigulu aliyesema yeye hajali kupigiwa makofi wala kupendwa kwani keshapendwa na mkewe. Nadhani...
9 Reactions
8 Replies
458 Views
https://www.youtube.com/watch?v=dfB86i6-Bck
1 Reactions
3 Replies
146 Views
Vita ni ya Israeli, Israeli ndiyo aliyeanzisha vita against Iran, Israeli ndiyo aliowaua ayatola wa irani, mke wake, watoto mpaka wajukuu na cream yote ya jeshi, Israeli ndiyo anayepeleka moto...
9 Reactions
45 Replies
853 Views
Kama Leo ingekuwa ni 2015 na Dkt.Ncimbi angekuwa ni Katibu Mkuu wa CCM naamini angepambana vya kutosha kumpambania Lowassa ndani ya CCM lakini Kwa Sasa ana mtazamo tofauti kabisa, mtazamo alionao...
2 Reactions
6 Replies
725 Views
  • Redirect
Amehuzunika sana all d best
0 Reactions
Replies
Views
Fuatilia mbashara hapa RAIS Samia Suluhu Hassan leo ataongoza waombolezaji kumzika Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, John Magufuli. Jeneza lililobeba mwili wa Hayati Dkt. Magufuli likiwa...
14 Reactions
693 Replies
82K Views
Taarifa hii imetolewa na Msemaji wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa , alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari Bali ambacho Msigwa hakusema ni hiki , Ni sh ngapi ziliporwa kwenye maduka...
12 Reactions
111 Replies
6K Views
Sasa ni dhahiri kwamba Wimbi la watu kudhulumiwa mali zao wakati wa Utawala wa John Magufuli liko bayana na ni kubwa kuliko tulivyodhani. Watu wameporwa karibu kila kitu, wako walioporwa hela zao...
9 Reactions
74 Replies
4K Views
Bado twaendelea na nyuzi za mwezi 3 ambao ni Mwezi wa Mungu Kama tulivyoandika awali kuhusu lundo la watu kukamatwa na kupewa kesi nzito za Uhujumu uchumi , Baadaye watu hao wakapewa option ya...
13 Reactions
54 Replies
3K Views
SEKTA YA MAWASILIANO TANZANIA (Q4 2025) jumla ya usajili wa simu za mkononi ulifikia milioni 106.9 kufikia Desemba uku ongezeko la matumizi ya simu janja (smartphone) lilipanda hadi...
0 Reactions
0 Replies
186 Views
Katika mwendelezo wa nyuzi zetu kwenye mwezi huu wa 3 , ambao unaitwa Mwezi wa Mungu , Hatimaye tumemfikia Ndugu Humphrey Polepole , Mjumbe wa kamati ya kuratibu Maoni ya Wananchi ya Mchakato wa...
16 Reactions
64 Replies
4K Views
Bado tungali tunaendelea na nyuzi za mwezi wa Mungu . Dkt Bashiru Ally Kakurwa aliyekuwa Katibu Mkuu wa ccm na wateule waliojiona wako karibu na Mamlaka ya Uteuzi , walijipa utukufu ambao hakuna...
9 Reactions
61 Replies
3K Views
Ikiwa tumeingia mwezi wa 3 , ambao kwa mahesabu ya Tanzania na wanazuoni ni mwezi wa Mungu ( wenye akili wameelewa ) , tutajitahidi kuanzia leo na kuelekea mwisho kuwaletea makala za kusikitisha...
14 Reactions
187 Replies
6K Views
Tunaendelea na nyuzi zetu za mwezi wa 3, ambao ni mwezi wa Mungu. Ni wazi kila mwananchi anafahamu kuhusu kampeni za wazi kabisa za kutaka Rais wa awamu ya 5 Dkt John Magufuli aongezewe muda wa...
17 Reactions
104 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…