Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

LHRC inatarajia kutoa taarifa ya hali ya haki za binadamu nchini kama sehemu ya kazi zake za kila siku. Ili kufanikisha ubora wa taarifa hii tunaomba maoni yako ya dhati kuhusiana na mtazamo wako...
6 Reactions
15 Replies
261 Views
Wakuu, Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa Jeshi la Polisi kwenye mitandao yao ya kijamii. Naomba kujikita katika post yao ya jana tarehe 2 Machi 2026 ikimhusu Faustine Mafwele kama kiongozi (Mkuu...
6 Reactions
18 Replies
732 Views
Namna ya kutatua kero za wananchi. Kutoa maagizo na hata kushughulikia watendaji wa serikali? Waziri mkuu ndie msimamizi mkuu wa shughuli za serikali. Marehemu Sokoine alikuwa msimamizi mkuu wa...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Nini maoni yako? Mpoto ameyasema hayo katika hafla ya uwekaji jiwe la msingi la ujenzi wa matanki ya kupokea mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, tarehe 03 Machi, 2026.
5 Reactions
24 Replies
492 Views
𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗠𝗔𝗧𝗜𝗡𝗬𝗜 𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗙𝗔𝗟𝗠𝗘 𝗪𝗔 𝗦𝗪𝗘𝗗𝗘𝗡 Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mheshimiwa Mobhare Matinyi, akisalimiana na Mfalme Carl XVI Gustaf wa Sweden, kwenye Kasri la Mfalme jijini Stockholm...
1 Reactions
6 Replies
427 Views
Sababu za kijana HECHE amekuwa mfano wa kiongozi bora vijana kumpita Mwigulu. Kwasababu haonekani fake kama jamaa yetu Mwigulu ambaye ameweka dharau kwa watanzania wa kawaida, fake uzalendo kwa...
1 Reactions
3 Replies
182 Views
Mahakama Kuu Masjala ndogo ya Dar es Salaam, inatarajiwa kutoa kuhusu hoja ya Mheshimiwa Tundu Lissu, Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu kuomba kujumuishwa kama mshitakiwa katika kesi inayoendelea...
1 Reactions
3 Replies
319 Views
  • Redirect
Ni kweli wamejibu lakini vipiJe, hatua za dola zilikuwa za lazima na zenye uwiano kwa mujibu wa sheria za kimataifa? Lakini pia mjadala huu unaonyesha mvutano ulinzi wa haki za kiraia, huku...
0 Reactions
Replies
Views
Nimefuatilia kura nyingi za Umoja wa mataifa, kwa asilimia kama 80 ya kura zote, Tanzania huwa ni "abstention" tu, yaani hawapingi wala hawakubali; wapo wapo tu! Hata kura ya busara ya kuunga...
1 Reactions
1 Replies
194 Views
ACT Wazalendo mnauhakika huu mnara utadumu, maana lolote linaweza kutokea so mjiandae! =============== “Machozi ya mama anayesubiri kurejeshewa mwili wa mwanae ni kilio kisicho na sauti, lakini...
0 Reactions
4 Replies
269 Views
CCM imebaki na vijana machawa na wakatili wengine wanaogopwa. Vijana wengine wakina Makamba, Bashe, Biteko , Polepole na wengine wanaonekana tishio maana sio machawa wala wakatili. Makonda ni...
0 Reactions
2 Replies
104 Views
CCM haiwezi kukubaliwa na watanzania kwa kuzuia vyama wengine!. Yaani kuzuia Chadema kufanya mikutano yao haina maana hao watu na wanachama wao kesho watashangilia au kuhamia CCM. Huwezi...
0 Reactions
2 Replies
171 Views
GT Ukifuatilia contents za Joseph yona wa Chalinze akiwatuhumu watu mbalimbali bila ushahidi wowote na media zinarusha kama kawaida. Je haya mashambulizi yanayorushwa na hizo media JAB...
1 Reactions
3 Replies
129 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi Jumuiya za Ukanda wa Maziwa Makuu na Nchi...
0 Reactions
5 Replies
453 Views
"Jeshi la Polisi halina mamlaka ya kutoa tafsiri ya kimahakama au kujichukulia hatua zozote bila kupewa maelekezo na mahakama. Wanawake nchi nzima tumejiandaa tunampango wa kusafiri kwenda Musoma...
3 Reactions
4 Replies
290 Views
  • Redirect
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari Tanzania ( Jounalist Accreditation Board) imempa muda wa masaa 24 Mwandishi wa habari Mwandamizi Paschal Mayala kuthibitisha kauli yake aliyoitoa kwenye...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
HABARI PICHA: Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Faustine Mafwele amewataka Polisi Kata kuendeleza ushirikiano...
2 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Kitima ametambulisha viongozi wa sasa serikalini pamoja na wastaafu, shangwe la majaliwa sio la nchi hii
5 Reactions
25 Replies
590 Views
Kwa muda mrefu, mwandishi wa Clouds Media, Farhan Kihamu alikuwa amejikita kwenye masuala ya michezo. Sakata la Iran na huko Mashariki ya Kati lilipokuwa linanukia na hatimaye lilipoanza, ghafla...
5 Reactions
2 Replies
249 Views
Dalili kuu ya mtu mwehu au kichaa ni kuwa mwepesi kuamini. Sisi wahubiri wa Injili tunalijua hili. Ukiita wanaotaka kumpa Yesu maisha yao waje mbele Matahira walioko Karibu lazima waje. Kesho...
6 Reactions
33 Replies
814 Views
Back
Top Bottom