Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametoa wito kwa Wizara zinahusiana na Sekta ya Mazingira, kufanya kazi kwa...
1 Reactions
1 Replies
201 Views
  • Redirect
NAOMBA KUELEWESHWA KWA UPOLE SOTE TUFAHAMU NAKUELEWA, Mimi nilidhani ujio wa DP WORLD ndio ambao ungehusika kwenye matengenezo wa hiyo bandari! Iweje leo tusikie GHARAMA ZA BANDARI zinaongezeka...
0 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Mkurugenzi Mtendaji na Rais wa Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku, amewataka Watanzania kukubaliana na uhalisia kwamba nchi tayari ina Rais aliye tayari kwa maridhiano. Butiku...
5 Reactions
86 Replies
3K Views
Kwa kila namna taifa limepasuka. Matajiri na wenye mali ndio wanaofaidi taifa hili. Watoto wa masikini wanauza mahindi ya kuchoma na karanga ili waende shule. Watoto wa matajiri na wanasiasa...
8 Reactions
8 Replies
291 Views
"DP World atafanya kazi maeneo yaleyale aliyopewa kulingana na masharti ambayo tumemuwekea. Lakini bandari zote zitaendeshwa na TPA au mwekezaji mwingine au mwendeshaji mwingine wa ndani au wa nje...
11 Reactions
85 Replies
7K Views
Hili ni swali kwa watu wote , kule Mbeya kumeandaliwa maandamano ya kupinga Mkataba wa aibu wa DP WORLD na Bandari za Tanganyika . Sasa cha kushangaza ni hiki , Maandamano hayo yanaungwa mkono na...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Heri ya Siku ya Wanawake Duniani Mhe. Ghati Z. Chomete Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara.
0 Reactions
1 Replies
206 Views
Watu 38 wakiwemo viongozi, makada na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) waliokuwa wameshikiliwa na Polisi mkoani Mara kwa tuhuma za kusababisha vurugu na taharuki katika mji wa...
2 Reactions
4 Replies
317 Views
Makamu Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, Said Issa Mohamed akiongea na Waandishi wa Habari, leo Machi 5 ameeleza kuwa kesi ya mgawanyo wa mali...
0 Reactions
9 Replies
324 Views
Kabla ya uchafuzi WA 2025, migogoro au hisia ya kudhulumiwa Kwa upande moja ulisababisha Chama Fulani kusimamishwa kufanya shughuli za kisiasa nk. Sasa katika nchi hiyo hiyo ikitokea jimbo moja...
6 Reactions
11 Replies
380 Views
Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Zanzibar Said Issa Mohammed amemtaka Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche @hechejohn kumheshimu na kutokutoa lugha zisizo sahihi dhidi yake ikiwemo ya...
3 Reactions
20 Replies
774 Views
My Take Tanzania itakuwa na viwanja vya ndege Vingi kuliko Nchi yeyote Afrika Mashariki na Kati...
2 Reactions
50 Replies
692 Views
APRM Tanzania yaandhimisha 'APRM Day' kwa Shughuli za Kijamii Dar es Salaam Katika kuadhimisha Siku ya APRM (APRM Day), Watumishi wa Taasisi ya Mpango wa Hiyari wa Kujitahimini kwa vigezo vya...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Huyu jamaa tangu apigwe chini uwaziri naona kama dishi limeyumba flani hivi. Ukicheck Instagram page yake anaandika ujinga..eti juzi kati kaandaa mazishi ya ng'ombe wake aliyekufa na akaalika...
24 Reactions
58 Replies
2K Views
1) Watu wanabishana iwapo Mwigulu ni Magufuli mpya? Wengine wanasema ndio, wengine wanasema bado. Ukichambua kwa haki utaona MWIGULU ni Magufuli mpya kwa sababu hizi: moja, Magufuli alikuwa Rais...
5 Reactions
38 Replies
500 Views
Tokea nchi ipate uhuru mpaka leo miji ya kusini imekaa kizamani sana mfano mji wa songea ndio makao makuu ya mkoa wa Ruvuma lakini mji ulivyo ni aibu kusimama kwa wenzako na kusema makao makuu ya...
1 Reactions
5 Replies
253 Views
Ni muda mrefu sasa Kafulila hajasikika akileta taarifa za PPP kama tulivyomzoea akitoa taarifa na kudadavua mambo mbalimbali ya uchumi. Kabla ya October 2025 Kafulila alikuwa moto sana na...
5 Reactions
12 Replies
353 Views
"Mimi nimetokea familia maskini", "Mimi nimelala kwenye ngozi ya ng'ombe badala ya godoro".... "Mimi sina biashara yoyote na kiasi nilicho nacho benki hakizidi hata Tsh 20m".... viongozi wenye...
3 Reactions
6 Replies
199 Views
Salaam, Wananchama na Viongozi wa Chadema wanaowasili katika Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Dar es salaam, kufuatia maombi namba 28922/2025 ya Tundu Lissu akiomba kuunganishwa kwenye kesi ya...
1 Reactions
5 Replies
608 Views
Back
Top Bottom