Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,544
- 18,090
Vita ni ya Israeli, Israeli ndiyo aliyeanzisha vita against Iran, Israeli ndiyo aliowaua ayatola wa irani, mke wake, watoto mpaka wajukuu na cream yote ya jeshi, Israeli ndiyo anayepeleka moto Lebanon, Israeli ndiye anatesa Palestina in Gaza.
hata watoto 170 wanaoripotiwa kuuliwa shuleni husikii israeli akitajwa ila lawama zote kwa D.Trump hausikii israeli ikitajwa wote wanaogopa kulaumu mhusika mkuu wanamlaumu Trump because its easy, wanajua hata neno israel tu kulitamka ujipange haswa wengi hawawezi hata kulitaja bila ya mafumbo mafumbo.
brainwashing ni silaha kubwa sana, wayahudi wamefanikiwa kwenye hilo, muslims na communists wote wanaogopa, ila kwa D. Trump hapo ndipo wamepata kibonde, wanamalizia hasira zao zote hapo, huku wakiendelea kuuliwa na israel with impunity.
Kweli jews rule the world …
hata watoto 170 wanaoripotiwa kuuliwa shuleni husikii israeli akitajwa ila lawama zote kwa D.Trump hausikii israeli ikitajwa wote wanaogopa kulaumu mhusika mkuu wanamlaumu Trump because its easy, wanajua hata neno israel tu kulitamka ujipange haswa wengi hawawezi hata kulitaja bila ya mafumbo mafumbo.
brainwashing ni silaha kubwa sana, wayahudi wamefanikiwa kwenye hilo, muslims na communists wote wanaogopa, ila kwa D. Trump hapo ndipo wamepata kibonde, wanamalizia hasira zao zote hapo, huku wakiendelea kuuliwa na israel with impunity.
Kweli jews rule the world …