Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,808
- 218,460
Taarifa hii imetolewa na Msemaji wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa , alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari
Bali ambacho Msigwa hakusema ni hiki , Ni sh ngapi ziliporwa kwenye maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni na serikali ile ya kidikteta , ambayo yeye mwenyewe alikuwa sehemu yake , Akishirikiana kwa karibu na Dkt Hassan Abbas .
Lingine ni hili hawa waliorudishiwa hiyo bil 9 ni akina nani , na tunataka kujua kama wamelipwa fidia , na ambao bado hawajarudishiwa hizo hela ni akina nani na ni bei gani zinashikiliwa hadi sasa , na ni kwanini hawarejeshewi , Je zimetaifishwa , kwanini ?
Kingine ambacho tunataka kujua ni kuhusu hatua ambazo walioshiriki uporaji huu wakati ule watachukuliwa , wakiwemo aliyekuwa Waziri wa fedha wa wakati ule na Gavana wa Benki kuu
Bali ambacho Msigwa hakusema ni hiki , Ni sh ngapi ziliporwa kwenye maduka yote ya kubadilishia fedha za kigeni na serikali ile ya kidikteta , ambayo yeye mwenyewe alikuwa sehemu yake , Akishirikiana kwa karibu na Dkt Hassan Abbas .
Lingine ni hili hawa waliorudishiwa hiyo bil 9 ni akina nani , na tunataka kujua kama wamelipwa fidia , na ambao bado hawajarudishiwa hizo hela ni akina nani na ni bei gani zinashikiliwa hadi sasa , na ni kwanini hawarejeshewi , Je zimetaifishwa , kwanini ?
Kingine ambacho tunataka kujua ni kuhusu hatua ambazo walioshiriki uporaji huu wakati ule watachukuliwa , wakiwemo aliyekuwa Waziri wa fedha wa wakati ule na Gavana wa Benki kuu