Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba , tarehe 14/01/2023 kwenye ukumbi wa Karimjee , Jijini DSM , kutafanyika Uzinduzi Kabambe wa kile kinachoitwa CHAWA WA MAMA .
Taarifa iliyosambazwa kwa vyombo vya...
Pesa za umma zinaliwa huku wananchi wakiteswa na tozo.
==
Ujenzi wa kivuko cha Mv Kazi uligharimu Sh7.3 bilioni na kina uwezo wa kubeba abiria 800 na magari 22 sawa na jumla ya tani 170...
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu, Januari 13 2023,amefanya ziara kijiji cha Msula Kata ya Misughaa na kukagua miradi minne ya maendeleo inayotekelezwa kwenye kijiji hicho.
Katika ziara...
Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Shaka Hamdu Shaka leo Jumamosi Januari 14, 2023 Saa 11 Jioni atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM...
1. Lijengwe jukwaa la mtandao ambalo watanzania wengi wanaweza kujiandikisha kupitia nyaraka mbalimbali. Jukwaa hili litasaidia sana kukusanya mawazo ya watu wengi wenye uchu wa maendeleo na...
Huyu Bwana kwa hakika ndiye tatizo kubwa Kwa Rais Samia na CCM yake.
Ametangaza kuwa, Sasa anarudi nchini kwake baada ya kukaa uhamishoni nchini Ubelgiji kwa takribani miaka karibu 6 Ssasa.
Tena...
Mtu mmoja tu kutoka CCM aliamua kuwa hataki kuona mpinzani yeyote akishinda uchaguzi 2020 na ikawa! Mtu mmoja tu aliamua wabunge 19 wa CHADEMA waapishwe bila ridhaa ya chama chao na ikawa.
Je...
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda amepiga marufuku watu wachafu kuonekana mitaani hasa wakati wa mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan ameshiriki kilele cha matembezi maalum ya UVCCM ya kuadhimisha miaka 59 ya Mapinduzi Zanzibar ambapo katika sehemu ya hotuba yake amewasisitiza vijana wa UVCCM...
Ni Msimu Wa siasa ndivyo tunavyoweza kusema, tangu mikutano ya hadhara ipigwe marufuku ni muda mrefu Sana.
Lakini sasa busara imetumika kuruhusu siasa za majukwaani kuanza.
Nasukumwa na...
Uzinduzi wa vijana wa vurugu au kwa jina la kisasa chawa watakaotumika kuwavaa watu wa upinzani hautaishia Dar es Salaam pekee,
Meya wa jiji la Dar es Salaam anatumika kama chambo tu kuzindua...
Mimi ni CCM lia lia, lakini ukweli usemwe tusisubiri watu wafe ndio tuwasifie ni unafiki kiwango cha lami.
Kumsifia mtu akiwa hai sio dhambi na kumkosoa marehemu pia sio dhambi japo ki Africa...
Kuna mwanafalsa mmoja wa kiingereza aliwahi kusema "To be or not to be that is question" hivi ndivyo ambavyo wanachadema tunaposhindwa au ndivyo tunavyoweweseka kuimba Ile nyimbo yetu Pendwa ya...
Diwani kata ya Mzimuni wilayani Kinondoni Jijini Dar es Salaam, Manfred Lyoto amepongezwa na kamati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kata hiyo kwa kujitolea kuwalipa posho watumishi wa afya...
Ndugu zanguni hodi hodi tunaingia. Sasa tunakuja kwa nguvu mpya. Kamanda Mbobezi mwenye uwezo mwingi na nguvu nyingi asiyechoka na hoja za ukweli anaingia.
Sio mwingine ni Kijana Jeuri, mjuaji...
Watanzania wa umri wangu kurudi nyuma, wote kwa wakati fulani tuliwahi kuwa wanachama wa CCM, iwe kwa kutaka au bila hiari, kwa kujiunga au kuungishwa, kwa kuelewa au bila ya kuelewa.
Nikiwa...
Moja ya jambo muhimu katik biashara ni upekee wa bidhaa yako. Watu hawaji kununua kwako bidhaa au huduma kwa sababu ya huruma, ni kwa sababu una kitu wanachohitaji na unakitoa kwa ubora kuliko...
TAARIFA KWA UMMA.
MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI TAIFA NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NDG. SAMIA SULUHU HASSAN KUONGOZA VIKAO MAALUM VYA UONGOZI WA CCM NGAZI YA TAIFA...
Sekeseke la kisiasa limeanza kuibuka tena baada ya mikutano ya kisiasa ya hadhara kuruhusiwa. Moja ya mambo ambayo hayaepukiki katika siasa na ambayo ni mbinu nzuri ya uhamasishaji ni maandamano...
Kweli dunia inaenda kasi sana jamani. Toka juzi habari inayovuma sana kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii ni juu ya uteuzi wa Dr Bashiru Ally kuwa Balozi na Katibu Mkuu Kiongozi (CS)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.