Mbunge wa Ubungo (CCM), Profesa Kitila Mkumbo ameitaka Serikali kutolea ufafanuzi kuhusu Tanzania iko katika daraja gani la uchumi duniani ili kuondoa sintofahamu iliyopo.
Akichangia jana kuhusu...
Kila Chama cha siasa nchini kina mapungufu makubwa sana na mengi . Ntamshangaa Mtanzania anayedhani Chama anachounga mkono hakina mapungufu!
Nakuja Kwa CHADEMA Chama changu amabcho naamini sana...
Jeshi la uhamiaji kila siku wanachukua points juu ya wapita njia (wahamihaji haramu) wa Ethiopia.
Haipiti wiki au mwezi lazima watiwe nguvuni na kuonyeshwa kwenye camera. Hebu serikali mkae na...
Tiba nyingine ni rahisi sana hazihitaji mitishamba wala kemikali
Ni acceptance tu kwamba sasa Maji yamezidi Unga na unatulia wenzako wanakula Ugali wewe unakunywa Uji
Kumshambulia Profesa Mkenda...
Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina ameshangaa kuona mikopo ya serikali kuwa zaidi ya kile walichokubaliana bungeni kuwa isikope zaidi ya trilion 10 katika miradi inayoendelea kutekelezwa nchini cha...
Habari za wakati huu ndugu zangu wa jamiiforums.
Unapokua Rais wa nchi na commander in chief of the armed forces, siku zote hakuna maamuzi magumu na mazito utakayotakiwa kuyafanya kama kuruhusu...
Naona kama kuna mtandao mkubwa Dunia nzima ambao umejipanga kuharibu na kubomoa mfumo wa Dunia kama tuujuavyo, Sasa hivi sidhani kama kuna nchi inaongozwa vizuri au ina Kiongozi yoyote wa maana...
Katika siasa kuna ishara pia kama ulimwengu wa imani ulivyo, tofauti na ishara za kiimani ambazo ni za kiroho zaidi hivyo kufanya kuwa ' unpredictable' ila ishara za kisiasa ni 'predictable' kwa...
Habari za kuaminika uwanja wa ndege Bukoba unaendeshwa kwa msaada wa control tower ya Mwanza.
Rubani wa ndege kuruka na kutua Bukoba ni msaada toka Mwanza.
Maana yake hali ya hewa ikichafuka...
Rais Dkt.John Pombe Magufuli amekutana na Dkt Donald Kaberuka, Mjumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Rwanda Mhe.Paul Kagame (kushoto kwa Rais), katika mazungumzo yaliyohudhuriwa pia na viongozi...
Tuna changamoto lukuki kama taifa ambazo zinatakiwa kupatiwa suluhu na serikali kupitia vyombo vya dola na wala sio porojo za kisiasa.
Tuna majambazi, panya road na vibaka. Wanasumbua kwa zaidi...
Shaka amemezwa au haamini kwamba yeye kazi yake ni uenezi wa chama badala yake amegeuka kuwa msemaji wa Serikali. Anatumia muda mwingi kusifia sifia tu, sifa zikizidi unakuwa utoto na ni...
Mentality ya waTanzania wengi ni kukopa bila ya kujua tutalipaje mkopo.
Hii ni mentality ya kijinga sana na ni moyo in built unaohalalisha ulaghai.
Anatoka kiongozi akijisifia kukopa mabilioni...
Ukiangalia maisha yalivyo magumu hivi sasa ni Mungu tu anayetupa uhai maisha yanaenda ilimradi hakuna vita, vita tuliyonayo ni vita ya umasikini iliyotamalaki dhidi ya watanzania huku watu...
"ATCL" imerudia kuwa ATC.."Any Time Cancelation!"
"Kenya Airways"Mgomo mkubwa unaendelea!
"Precision Air" chubwiii kwenye maji.
Na ndio kwanza mjomba kainunua Kosti-Aviwasheheni! kampuni ya...
Imesikika miito ya kuwataka vinara wake kujiuzulu.
Kuna ya uhaba wa umeme na maji. Kuna ya kuwatelekeza wahanga wa ajali na majanga mbalimbali. Kuna ya kuwatwisha wananchi mizigo ya tozo na kodi...
Kuweka mizania sawa kwa minajili ya ulinganifu tuiangalie Tanzania dhidi ya wengine EA.
Nchi zote hapa kuna lugha rasmi za kibeberu yaani kiingereza au kifaransa. Kwingine kasoro Tanzania si...
Jana mchana nilikuwa namsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Anga Tanzania akielezea juu ya ajali ya ndege ndani ya Ziwa Victoria. Nikawa nasoma maoni yanayopita pembeni ya kile kioo cha kinakilishi...
Serikali imekuwa ikutumia fedha nyingi za walipa kodi wa Tanzania kujenga Barabara na madaraja lakini utunzaji wake ni wa mashaka sana na kuna uharibifu mkubwa sana kwenye Barabara na madaraja...
Hii ni tweet inayoombatana na video huko twitter:
Prof. Assad anasema "..You can't buy airline by cash, hakuna yeyote anayenunua ndege kwa cash...wapi umeona?..hakuna mtu ananunua ndege kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.