Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa maelezo ya Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake. Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama...
6 Reactions
28 Replies
2K Views
Kijiji cha Muhoji ni moja kati ya vijiji vinne (4) vya Kata ya Bugwema - vingine ni Masinono, Kinyang'erere na Bugwema. Kata hii ina Sekondari moja iitwayo Bugwema ambayo kwa sasa imeelemewa sana...
1 Reactions
2 Replies
904 Views
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi...
22 Reactions
121 Replies
5K Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Lissu Home Coming Mchungaji Msigwa amesema maandalizi yote ya mapokezi ya Makamu Mwenyekiti na mgombea Urais Tundu Lissu yamekalika. Mchungaji Msigwa amesema wameshatoa...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Baada ya kuondolewa zuio haramu la mikutano ya kisiasa, alichokifanya Mbowe katika ufunguzi kwa kumsifia Rais Samia badala ya kujikita katika hoja za kushambulia ni mkakati wa kisiasa wa aina...
9 Reactions
43 Replies
3K Views
Ili watu wote tuwe kwenye ukurasa mmoja wa uelewa bila kujali itikadi zetu za kisiasa, elimu, jinsia na hata makabila na kanda zetu tunakotoka ni lazima neno "kufanya siasa za kistaarabu" lipewe...
9 Reactions
44 Replies
2K Views
Hamasa ninayoishuhudia leo inanikumbusha siku tuliyompokea Mwanamageuzi Oscar Kambona kutoka Uhamishoni Uingereza. Kiukweli Bila kujali itikadi ya vyama wananchi kwa maelfu walifurika kumlaki...
1 Reactions
12 Replies
883 Views
Nachukua nafasi hii kumpongeza mwenyekiti wa CHADEMA kwa kutambua thamani ya Tanzania Tofauti na huko nyuma sasa hotuba zake zimejaa uzalendo anaitanguliza Tanzania. Anaonesha heshima kubwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
436 Views
Nimepenyezewa muda huu kwamba Tundu Lissu atatangaza Operesheni ya kuibua Ufisadi kwenye Halmashauri zote nchini. Hivyo Wakurugenzi ambao ndio Wasimamizi wa Uchaguzi Mkuu wanaambiwa "Kaa Chonjo...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020...
30 Reactions
93 Replies
6K Views
Tindu Antipas Lissu ni mwanasiasa mzuri katika siasa za tanzania shida kubwa iliyopo mbele kesho temeke mkutano mzima utakuwa kumtukana Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, taarifa hizo tunazo. Mimi...
5 Reactions
14 Replies
942 Views
Lowassa akiwa CCM Kabla ya Kuhamia CHADEMA 1.Nashangaa wanachoma moto vibaka wanamuacha Lowassa anatanua Mitaani-Freeman Mbowe 2.Nina Ushahidi wa kutosha kuhusiana na wizi na ufisadi wa Lowassa...
5 Reactions
23 Replies
5K Views
Makazi na mashamba tunatoa umilki kwake, ila kwake sisI hatutakiwi kugusa! Umeme unashusha bei mpaka kiwango cha maumivu kwa watoto wetu' lakini aah wapi! Tukasema hiyo isiwe noma! Basi...
2 Reactions
3 Replies
542 Views
Kikomo cha kukosa ustaarabu ni kushangilia kifo cha kiumbe mwenzako hasa binadamu hata kama amekukosea kiasi gani. Alipofariki JPM makamu mwenyekiti taifa wa CHADEMA Mh. Tundu Lissu alikiita kifo...
26 Reactions
412 Replies
18K Views
Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli utatangazwa leo Agosti 13, 2018 kuanzia saa 5:00 asubuhi kutoka Ikulu Jijini Dar es Salaam. Fuatilia TBC1...
13 Reactions
293 Replies
114K Views
Hakika dunia na maisha vinakwenda kasi sana. Naamini hii picha itakuwa ni funzo kubwa sana kwa Askari wetu na wana siasa wa upinzani hapa nchini. Kwa miaka 7 hii kitu haikuonekana ktk mazingira...
56 Reactions
155 Replies
8K Views
Ndugu zangu Watanzania Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya vyama vya siasa hapa nchini tulishuhudia mbwembwe na vitisho vya hapa na pale kutoka kwa viongozi na wanachama wa chadema...
3 Reactions
65 Replies
2K Views
Kwema Wakuu! Serikali inapaswa iirejeshe Ada kwa wanafunzi wanaosoma shule, nchi yetu bado hatujafikia nyakati za kutoa vitu bure, Shule ya Msingi ndio iwe Bure lakini sekondari, wanafunzi...
13 Reactions
88 Replies
5K Views
Hiki chama aisee ni cha kipekee. Tangu hapo zamani kikifanya mikutano na shughuli zingine za mikusanyiko huwa wanatoma kwa amani na furaha tele kwa wananchi. Mikutano yao isipoingiliwa na dola...
6 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom