Rais naomba uniteue ukurugenzi Mwanza

Rais naomba uniteue ukurugenzi Mwanza

Sifi Leo

Platinum Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
6,267
Reaction score
11,680
Rais naomba hii nafasi ya kazi Ukurugenzi wa Jiji la Mwanza, tafadhali Madame.

Nina elimu ya Shahada na ni miaka kumi na moja tangu nimalizie Elimu ya Shahada.
Mkurugenzi wa Kampuni Binafsi kwa miaka 7, ila tunadili na Serikali.

Miaka mitano ajira kwenye private sector

Nimesoma Azania (walikuja wazee niwe nao nikachomoa).
Advance hapo Airwing (walikajua wazee nikachomoa).
Mbuyuni primary school, mke wa Kikwete na Mama Magufuli ni walimu wangu (walikuja vijana nikachomoa).

Mtiifu

Naomba kazi ya Ukurugenzi wa Jiji la Mwanza. Nina sifa za kuwa mtu mwema, elimu ya kutosha na Asante sana.

Mh. Rais sihitaji kuliibia Taifa, naomba kazi.
 
Mh Rais naomba hii nafasi ya kazi ukurugenzi wa jiji la mwanza tafadhali madame.

Nina elimu ya shahada
Miaka kumi na moja tangu nimalizie elimu ya shahada.
Mkurugenzi wa kampuni binafsi Kwa miaka 7. Ila tunadili na serikali.
Miaka mitano ajira kwenye private sector
Nimesoma aza boy
Airwing
Mtiifu

Naomba kz ya ukurugenzi wa jiji la mwanza.
Asante sana
Una 10 % hapo kijana nikusaidie... Haya mambo yanahitaji koneksheni na sisi wa kubwa
 
Mama achana na hii takataka, nipatie mimi nina shahada kutoka SUA, pia nina PhD ya akina Babu Taletale. Nimefanya kazi serikalini na baadaye kwenye INGOs. Uzoefu wangu zaidi ya miaka 20, mama utapenda jinsi nilivyo smart kwenye kazi! Utakuja kunishukuru! Ni mimi Manjagata
 
Wakati Unachomoa Ndiyo Sasa Unakumbuka Kuchomeka!!!
 
Rais naomba hii nafasi ya kazi ukurugenzi wa jiji la Mwanza tafadhali madame.

Nina elimu ya shahada
Miaka kumi na moja tangu nimalizie elimu ya shahada.
Mkurugenzi wa kampuni binafsi Kwa miaka 7. Ila tunadili na serikali.

Miaka mitano ajira kwenye private sector

Nimesoma Aza boy(walikuja wazee niwe nao nikachomoa) advance hapo
Airwing(wakajua wazee nikachomoa).
Mbuyuni primary school,mke wa kikwete na mama Magufuli ni walimu wangu(walikuja vijana nikachomoa)

Mtiifu

Naomba kazi ya ukurugenzi wa jiji la Mwanza.
Nina sifa za kuwa mtu mwema,elimu ya kutosha na na

Asante sana.
Mh Rais siitaji kuliibia Taifa naomba kazi
Ukitaka teuzi bila vetting just kuwa chawa tu.

Haihitaji akili nyingi sana
 
Back
Top Bottom