Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tumesikia Lissu akisema wazi tusimlaumu Waziri wa Fedha kwa sababu ni karani tu anayewelekezwa chakufanya na Rais. Nakubaliana asilimia mia moja na hoja kwa kuzingatia mambo yafuatayo; ~ Mzee...
1 Reactions
1 Replies
409 Views
48 LAWS OF POWER. Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari. Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu. Hata Hotuba ya mwanza...
6 Reactions
63 Replies
4K Views
Nimeona taarifa ya bodi ya nafaka na mazao mchanganyiko (CPB) kufanya maamuzi magumu ya kuwachukulia hatua bila uoga baadhi ya viongozi wa ngazi za juu kwa maslahi mapana ya taifa. Bodi...
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Kipindi Cha awamu ya tano ya jpm ajira zote ziliyeyuka ikawa kila msomi ambaye Hana ajira anafikilia kuwa machinga na rais anafurahia Hali hiyo. Tukianza na private sector kama mabank, hospitali...
8 Reactions
42 Replies
2K Views
Lissu amesisitiza wananchi waweke shinikizo kudai Katiba Mpya. Kwamba Mbowe ataheshimiwa ktk meza ya maridhiano kama itaonekana anaungwa mkono na umma wa Watanzania...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema kuwa Wakuu wa wilaya nchini wameacha kufanya kazi kwa hofu ya kuondolewa au kuhamishwa vituo vya kazi. “Wakuu wa wilaya...
9 Reactions
68 Replies
7K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu taifa CCM, Ndugu Japhari Kubecha amesema wakati wa awamu ya tano tulikuwa na Waziri wa mambo ya nje asiye na uzoefu wa mambo ya diplomasia ndio maana alishindwa kumshauri Rais...
4 Reactions
64 Replies
8K Views
Misa ya maandalizi ya kumtangaza baba wa taifa Mwalimu Nyerere kuwa Mwenye heri imefanyika wilayani Butiama na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa dini, serikali na vyama vya siasa. Baada ya...
18 Reactions
245 Replies
15K Views
Hii ndio Habari ya Sasa kutoka Temeke , Mkoani Dar es Salaam . Wananchi wengi wameulaumu Uongozi wa Chadema kwa kuandaa Mkutano Mkubwa kama huu kwenye eneo dogo , jambo lililosababisha watu...
17 Reactions
58 Replies
4K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika - Dakar chini Senegal leo tarehe 25 Januari, 2023
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Lissu katua nchini leo. Leo hii hii kauwasha moto. Ujumbe utakuwa umewafikia: "Kero za wananchi." Bei za vitu vikiwamo vyakula ni kero kubwa. Wenye dhamana na maslahi ya watu hawana habari. Wao...
16 Reactions
23 Replies
2K Views
Salaam, Dont get me wrong, Mbowe ni kiongozi mzuri na amekipigania chama kwa mda mrefu. Mbowe amekiletea mafanikio makubwa chama cha CHADEMA kwa muda wa miaka 30 aliyokitumikia lakini zifuatazo...
1 Reactions
6 Replies
823 Views
Ni Asubuhi tulivu siku ya Jumatano, Katika Jiji hili kuu la Kibiashara la Dar es Salaam leo majira ya saa 7:35 mchana anatarajiwa kutua mwanamapinduzi wa kweli Tundu Antipas Lissu ambaye...
32 Reactions
181 Replies
18K Views
Taarifa za Kiintelijensia kutoka chanzo cha kuaminika zinadokeza kwamba, kutangazwa leo Ma DC wapya lilikuwa jambo la Kimkakati ili kuwapoteza maboya watanzania na hasa wakazi wa DSM kuhusu Ujio...
11 Reactions
26 Replies
3K Views
Taarifa zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba, Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Waziri Mkuu Mstaafu, Mizengo Pinda kuwa miongoni mwa Wajumbe wa Kikosi Kazi cha kukusanya maoni ya wadau...
4 Reactions
77 Replies
7K Views
Hakuna asiyejua kosa la huyu MTU. Usalama wa watoto utakuwa mdogo. Hafai Kabisa. Cha ajabu hakuna na taarifa ya hatua dhidi ya kitendo cha kumchapa mtoto vibao
1 Reactions
9 Replies
950 Views
Ukiachilia mbali suala la katiba mpya ambalo pia Rais Samia ameahidi kuanzisha mchakato upya, Dkt. Samia Suluhu Hassani baada ya kukamilisha ujenzi wa majengo 80 ya huduma za dharura (EMD), na...
0 Reactions
9 Replies
805 Views
Mkurugenzi wa jiji Dkt John Pima ni miongoni mwa viongozi 9 walioangukia mikononi mwa Gambo katika vita wasioshinda. Viongozi wengine ambao Gambo aliowatengenezea ajali na kuondolewa Arusha ni...
8 Reactions
55 Replies
6K Views
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Taarifa ya sasa iliyotolewa na Tundu Lissu mwenyewe inaonyesha kwamba Tayari Lissu yupo Uwanja wa Ndege wa Brussels kwa ajili ya kurejea nyumbani. Amesema kwa...
21 Reactions
111 Replies
8K Views
Mwamba wa Watanganyika kijana shupavu imara mwenye msimamo asiyetishwa na risasi au jiwe anarudi Leo. Himahima Wana wa nchi tujitokeze kumpokea mwamba huyu wa kipekee Mungu aliyetupa sisi kwa...
5 Reactions
5 Replies
614 Views
Back
Top Bottom