Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwanza Watanzania wa leo wanahitaji kusikia Hoja na Sera na siyo kejeli na mitusi Pili Wananchi wanahitaji Siasa za kuwaunganisha siyo za kuwatenga Mbowe ameshasema Yaliyopita si ndwele tugange...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Tunaona kwenye ripoti mbalimbali za fedha za Kila mwaka za CAG, zikiibua ufisadi mkubwa wa mabilioni, unaofanywa na watendaji Serikalini, lakini tunaona ni "business as usual" inayoendelea na...
0 Reactions
5 Replies
604 Views
KAZI YA SERIKALI NI KUTENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KWA SEKTA BINAFSI ILI ZITENGENEZE AJIRA KWA VIJANA, TUNAFAHAMU SEKTA BINAFSI INATENEGEZA AJIRA ZAIDI YA 95% YA AJIRA ZOTE KWA MWAKA.
6 Reactions
37 Replies
1K Views
Lema na Lissu waliacha madeni makubwa pale Bungeni. Na Mali za Lema Kila mara zinatishiwa kuuzwa kwa madeni. Mbowe ndio usiseme, anakopa kuanzia kwenye karata mpaka mabenki. Mnyika Ile...
16 Reactions
117 Replies
8K Views
Na Thadei Ole Mushi. Nimeisoma Barua ya Msando yote aliyowaandikia USA. 1. Achana na Makosa ya Address aliyoyafanya Brother Msando twende kwenye Hoja nyingine za barua ya Msando. Kwenye barua...
104 Reactions
190 Replies
18K Views
Wanabodi, Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes...
3 Reactions
27 Replies
3K Views
..Majirani wako makini kwelikweli ktk masuala ya kilimo, na wanazingatia viwango. ..angalia video hizi mbili kuna mengi ya kujifunza kuhusu namna ya kufanya kilimo.
13 Reactions
191 Replies
10K Views
Tunaisubiri hiyo tarehe 21/01/2023 ili tuijue nguvu ya Chadema yenye HQ Ufipa st Kinondoni Shamba Nimemsoma Tundu Antipas Lissu huko twitani akiahidi kurejea nchini wakati wowote kuanzia sasa ili...
3 Reactions
30 Replies
2K Views
Uzi huu Ni kwa ajili ya kuwatambua majenerali wote wa JWTZ toka iundwe mwaka 1964 tukitambua umahiri wao katika kuiweka Tanzania yetu salama Mimi naanza na Hawa wachache ninaowakumbuka Twalipo...
8 Reactions
161 Replies
48K Views
Awali ya yote napenda kukiri kwamba sijatumwa wala kutumika na yeyote kuandika juu ya hii mada, ni maoni na mtazamo wangu binafsi na pengine ni mtazamo wa wengine wengi wanaomtazama Lowassa kama...
2 Reactions
37 Replies
4K Views
Je ataonana na Mwenyekiti wa Kanda hiyo Mchungaji Msigwa ? Ngoja tusubiri tuone Pichani : Akila Mahindi matamu ya Iringa
6 Reactions
30 Replies
3K Views
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Donald Wright leo Februari 4, 2022 ametembelea Ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi Balozi Wright na timu...
22 Reactions
51 Replies
5K Views
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Donald J. Wright, leo Aprili 11, 2022 amepost picha akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe kisha akaandika: “Ni jambo zuri...
12 Reactions
65 Replies
5K Views
Nimekumbuka kauli ya Lusinde aka Kibajaji mbunge wa Mtera aliyoitoa bungeni kwamba wanaccm wanaomsengenya hayati Magufuli sasa watamsengenya hata mama baada ya kustaafu 2030 kwani aliyekula nyama...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni...
24 Reactions
43 Replies
3K Views
Nimekusikia jana ukisema asilimia 60% ya mafuta ya kula tunanunua nje ya nchi. Lakini miaka mitano iliyopita kama nchi tulijizatiti katika uzalishaji wa kilimo cha mbegu za alizeti na kupunguza...
9 Reactions
57 Replies
5K Views
Hii ndio taarifa mpya inayopatikana mitandaoni baada ya Rais kumtembelea Lowassa nyumbani kwake, bali haijulikani nini walichojadiliana.
21 Reactions
99 Replies
12K Views
Kwa nini CCM kimekuwa chama cha kusahau mara moja na kuwaona watanzania ni wapuuzi? Hamjui wamachinga ni sekta isiyorasmi amabayo imeajiri watu wa kila namna? Leo hii Tanzania nzima mnawafurusha...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa. Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi...
10 Reactions
102 Replies
7K Views
Kuna Dokezo kwamba Wabunge wale 19 Wasaliti, waliojiuza na kuapishwa na Job Ndugai kwenye eneo la Gereji ya Bunge, huenda Wakaondolewa Bungeni kwa vile waliingizwa kinyume cha Sheria, inadaiwa...
32 Reactions
81 Replies
6K Views
Back
Top Bottom