Kwanza Watanzania wa leo wanahitaji kusikia Hoja na Sera na siyo kejeli na mitusi
Pili Wananchi wanahitaji Siasa za kuwaunganisha siyo za kuwatenga
Mbowe ameshasema Yaliyopita si ndwele tugange...
Tunaona kwenye ripoti mbalimbali za fedha za Kila mwaka za CAG, zikiibua ufisadi mkubwa wa mabilioni, unaofanywa na watendaji Serikalini, lakini tunaona ni "business as usual" inayoendelea na...
KAZI YA SERIKALI NI KUTENGENEZA MAZINGIRA MAZURI KWA SEKTA BINAFSI ILI ZITENGENEZE AJIRA KWA VIJANA, TUNAFAHAMU SEKTA BINAFSI INATENEGEZA AJIRA ZAIDI YA 95% YA AJIRA ZOTE KWA MWAKA.
Lema na Lissu waliacha madeni makubwa pale Bungeni.
Na Mali za Lema Kila mara zinatishiwa kuuzwa kwa madeni.
Mbowe ndio usiseme, anakopa kuanzia kwenye karata mpaka mabenki.
Mnyika Ile...
Na Thadei Ole Mushi.
Nimeisoma Barua ya Msando yote aliyowaandikia USA.
1. Achana na Makosa ya Address aliyoyafanya Brother Msando twende kwenye Hoja nyingine za barua ya Msando. Kwenye barua...
Wanabodi,
Kwa watu wasiojua mambo ya utangazaji na haswa live programs mnaweza msielewe msingi wa pongezi zangu, kwa vile mimi ni Mtangazaji na nilifanyia kazi, TBC, I know what it takes...
..Majirani wako makini kwelikweli ktk masuala ya kilimo, na wanazingatia viwango.
..angalia video hizi mbili kuna mengi ya kujifunza kuhusu namna ya kufanya kilimo.
Tunaisubiri hiyo tarehe 21/01/2023 ili tuijue nguvu ya Chadema yenye HQ Ufipa st Kinondoni Shamba
Nimemsoma Tundu Antipas Lissu huko twitani akiahidi kurejea nchini wakati wowote kuanzia sasa ili...
Uzi huu Ni kwa ajili ya kuwatambua majenerali wote wa JWTZ toka iundwe mwaka 1964 tukitambua umahiri wao katika kuiweka Tanzania yetu salama
Mimi naanza na Hawa wachache ninaowakumbuka
Twalipo...
Awali ya yote napenda kukiri kwamba sijatumwa wala kutumika na yeyote kuandika juu ya hii mada, ni maoni na mtazamo wangu binafsi na pengine ni mtazamo wa wengine wengi wanaomtazama Lowassa kama...
Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Mhe. Donald Wright leo Februari 4, 2022 ametembelea Ofisi za JamiiForums na kukutana na watendaji na mwakilishi wa Bodi ya Wakurugenzi
Balozi Wright na timu...
Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Donald J. Wright, leo Aprili 11, 2022 amepost picha akiwa na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Freeman Mbowe kisha akaandika:
“Ni jambo zuri...
Nimekumbuka kauli ya Lusinde aka Kibajaji mbunge wa Mtera aliyoitoa bungeni kwamba wanaccm wanaomsengenya hayati Magufuli sasa watamsengenya hata mama baada ya kustaafu 2030 kwani aliyekula nyama...
CAG Kichere sijui alikuwa na maana gani alipokuja na report ya kutuambia kwamba kujengwa kwa stendi kubwa ya mabasi ya kwenda mikoani maeneo ya Mbezi maarufu kama Magufuli ungesababisha foleni...
Nimekusikia jana ukisema asilimia 60% ya mafuta ya kula tunanunua nje ya nchi. Lakini miaka mitano iliyopita kama nchi tulijizatiti katika uzalishaji wa kilimo cha mbegu za alizeti na kupunguza...
Kwa nini CCM kimekuwa chama cha kusahau mara moja na kuwaona watanzania ni wapuuzi?
Hamjui wamachinga ni sekta isiyorasmi amabayo imeajiri watu wa kila namna?
Leo hii Tanzania nzima mnawafurusha...
Ni nadra sana kumsikia akimzungumzia Lowassa vibaya. Kuna watu ambao inaonekana Magufuli alikuwa anawaheshimu. Na mmoja wapo alikuwa ni Lowassa.
Sifahamu kwa nini. Najiuliza sana kwa jinsi...
Kuna Dokezo kwamba Wabunge wale 19 Wasaliti, waliojiuza na kuapishwa na Job Ndugai kwenye eneo la Gereji ya Bunge, huenda Wakaondolewa Bungeni kwa vile waliingizwa kinyume cha Sheria, inadaiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.