Haya usipate tena aibu ukienda kwenye vikao vya maana kwa kushindwa kuimba wimbo wa Afrika mashariki. Kariri Mashairi haya ukienda sehemu kwenye hiyo kitu unaimba.
Ubeti ya kwanza
Ee Mungu...
Ndugu zangu Hakika CCM Ni Kama Maji usipoyanywa utayaoga Tu, Vikao vyake vinavyoendelea jijini Dodoma Vimeisimamisha Nchi,Vimeteka vyombo vya Habari,Vimeteka mitandao ya kijamii, vimetawala anga...
Mradi wa ujenzi wa kiwanda hiki unakadiriwa kutumia sh bilioni 130 mpaka sasa na mtaji wake sh bilioni 250.
Uwezo wake wa kuzalisha sukari ni tani 250,000/= lakini hakijazalisha hata tani 1...
Kwa mara nyingine tena siwezi kuficha hisia zangu za furaha kwa kazi nzuri iliyofanywa na kamati kuu na Halmashauri kuu ya CCM taifa kwa uteuzi bora wa wagombea.
Nami pia nilikuwa ni moja ya...
Athari za maamuzi ya Hayati Magufuli zinazidi kuiathiri nchi. Laiti Uwanja wa Omkajunguti ungekuwa umejengwa Mkoani Kagera, pengine ajali hii ya Precision isingetokea.
Habari Mwana jamvi!
Ilituendelee Tunahitaji mambo kadhaa watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Tokea uhuru 1961, Rais awamu ya kwanza mpaka Leo awamu hii ya sita tulicho nacho ni ardhi tu...
Nisingependa tuharibu mahusiano yetu Mazuri, nasema hivi sijawahi kupata Maji yenu kwa zaidi hata tone. Wallah mkiniletea bill hata ya buku Tano tu mtaniona mkorofi. Niko Wilaya ya Kinondoni...
Mwigulu Nchemba ambaye ni waziri wa fedha ameliambia bunge kuwa taarifa za Tanzania kushuka kutoka uchumi wa kati na kushuka chini ni za uongo na uzushi!
Mwigulu Nchemba alisema kuwa pia benki ya...
Wana JF nimeamua kuja hapa kuomba kutaka kumfahamu huyu Bwana ambae hivi karibuni kama wiki mbili zilizopita alitangaza nia kugombea ubunge Jimbo la Nzega.
Huyu bwana kwa jina anitwa DK HAMIS...
Mbunge wa Makete Festo Sanga ameitaka serikali kuangalia upya bei ya tiketi ya Shirika la Ndege la Air Tanzania kwa kuwa ni kubwa kulinganisha na uhalisia."
Ameyasema hayo leo bungeni jijini...
Nimeona mawaziri wameflop sana .wamejenga mazoea ndio unaona sasa kelele zimekuwa nyingi ni bahati mbaya mkuu wa kaya anawasikiliza sana mawaziri kuliko malalamiko ya wananchi.mawaziri nao...
Leo tarehe 07 Nov. 2022 Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania alishiriki mkutano wa 27 wa kujadili mabadiliko ya tabia nchi.
Mkutano huo umefanyika kwenye mji wa Sharm El Sheikh. Rais Samia...
Kikao Cha Bunge la 12,Mkutano wa 9 umemalizika Jijini Dodoma..
Watanzania wote wamejionea jinsi wabunge wa chama Tawala walivyomudu kuisimamia Serikali,kuikosoa na kuja na maazimia mazito ili...
Tarehe 09 Desemba 1961 ni siku ambayo bendera ya Tanzania (Tanganyika) ilipandishwa kuashiria nchi huru yenye kujitawala na kujiamulia mambo yake bila kuingiliwa na taifa lolote la nje.
Leo...
Ndugu zangu hivyo ndivyo unavyoweza kusema, Rais Samia amejitoa na kujitolea kwa moyo wake wote kututumikia Watanzania kwa dhati ya moyo wake. Ni kiongozi ambaye mawazo yake yapo katika kuona kila...
Palizuka mabishano ya kisomi bungeni Kati ya Spika Dr Tulia na Waziri wa Fedha Dr Mwigullu Nchemba kuhusu takwimu sahihi za Kitaifa na Kijimbo
Dr Mwigullu amesema Mtandao wa Maji nchini umefikia...
Vikao vilivyoisha vya Bunge vimekuwa na sura inayeta matumaimi huku Mawaziri Wengi wakionekana ni Zilipendwa wasio na ubunifu
Tunakumbuka Bunge la Mzee Sitta kwa sababu liliiwajibisha Serikali na...
Hili siyo wazo au ombi jipya kabisa.
Kabla ya Magufuli hajaingia madarakani 2015 tayari kulikuwa na mpango huo wa kujenga uwanja wa ndege pale OMUKAJUNGUTI.
Lkn baada ya kuingia Magufuli...
Wakati mimi ninakua niliogopa sana watu walio itwa maprofesa aise ila uongozi wa awamu tano ulipomteua mtu aliyejiita profesa alietoka majalalani, Mimi nilijiona wa tofauti sana yaani profess...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.