MTANZANIA Mzalendo, Mussa Okoko amewatupia lawama Mawaziri kuendelea kulamba asali huku walalahoi wakishindwa kupata mlo japo mmoja kwa siku
"MCHELE KILO MOJA 4000 UNGA KILO 2000 MAHARAGE KILO...
Huu ndio uongozi
========
"Sensa ya hivi karibuni inaonesha vijana ni takribani asilimia 34 ya watu wote milioni 61 na hali hii inaleta changamoto nyingi, kama ukosefu wa ajira na nyinginezo...
SHAKA HAMDU SHAKA, Mwenezi Mstaafu wa CCM ametupwa nje ya nafasi hiyo na kupewa Mwana Mama Sophia Mjema.
Shaka alikosea nini hadi akatupwa nje ya tuliambiwa mwanzo yeye ni kipenzi sana cha Mama...
Taarifa za Mtanzania, Tarimo Nemes Raymond kudaiwa kufariki zimewashtua wengi, hasa baada ya kuanza kusambaa mitandaoni huku kukiwa hakuna taarifa rasmi juu ya tukio hilo.
Tetesi zilizosambaa...
Hadaa na uzembe wa Serikali katika utekelezaji wa Sera ya Elimu bila malipo; unaangamiza Elimu nchini.
Utangulizi
Kwa takribani wiki tatu (3) mfululizo hususani kwa mwezi Januari 2023, kumeibuka...
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke...
Uchumi unajengwa na mambo makuu mawili tu uuzaji na ununuaji iwe bidhaa au huduma (Demand and Supply). Mnyororo huu ukiyumba wa uuzaji na ununuaji tegemea maafa makubwa sana kwenye uchumi wa nchi...
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM.
Kusema kweli hii ni "logical fallacy".
Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi...
Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine kwa niaba ya Russia.
Kulikoni Serikali ya Urusi ikamfikisha Mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake?
Wako wapi wanasheria wetu?
Haipo fursa ya...
Wana Jf, salaam!
Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa Watanzania lakini pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM.
Wengi wetu kipaumbele ni Serikali kuongeza...
Wana JF salaam,
CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia...
Sasa ni dhahiri ukweli unadhihirika kuwa kwaaajili ya mtu mmoja tu, kila chombo kinaweza kutenda haki au kudhulumu haki.
Kwa sababu ya mtu mmoja tu, Rais Samia, leo vyombo vya habari vimerudi...
BBC inaripoti kwamba Kuna ukimya wa Vyombo vya Habari Tanzania na Serikali kuhusu raia wa Tanzania Aliyeuawa kwenye vita Nchini Ukraine akipigana upande wa Russia.
Nini Kiko nyuma ya pazia...
Even the king of Jungle (The lion) has an end, it can never hunt again to feed its stomach due to oldness.
Hakuna wakati mgumu Chama cha Mapinduzi kinapita kama wakati huu. Chama kimekosa...
Wanabodi, Mimi ni mwana ccm na nilitoa hapa ushauri kwenye uzi huu Uchaguzi 2020 - CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi
Mkutano wa Tundu lissu Tunduma ni dhahiri jinsi...
Mimi ni mwana CCM, Tundu Lissu anachotufanyia sio sahihi kabisa, Sasa anatuchezesha segere ya kujibu hoja zake ambazo kwenye TV hazionyeshwi na hazijibiki.
Yale maelfu ya watu wanaomfuata...
Wanabodi,
Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza.
Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya...
Haya ni maneno ya Kiingereza ambayo watu wanayachanganya sana yaani STATE and NATION na kuna muda watu huyatumia kwa kumaanisha kitu kimoja wakati sio kweli.
Nation ni watu wanaounganishwa kwa...
Tulitegemea uteuzi wa vijana uwe chachu ya mabadiliko lakini imekuwa kinyume chake; most of them it's like wakishateuliwa wakaingia ofisini wanaanza kujiandaa kutumbuliwa au kustaafu.
Hatuoni...
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge.
Maaskofu hao walikutana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.