Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

MTANZANIA Mzalendo, Mussa Okoko amewatupia lawama Mawaziri kuendelea kulamba asali huku walalahoi wakishindwa kupata mlo japo mmoja kwa siku "MCHELE KILO MOJA 4000 UNGA KILO 2000 MAHARAGE KILO...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Huu ndio uongozi ======== "Sensa ya hivi karibuni inaonesha vijana ni takribani asilimia 34 ya watu wote milioni 61 na hali hii inaleta changamoto nyingi, kama ukosefu wa ajira na nyinginezo...
0 Reactions
4 Replies
595 Views
SHAKA HAMDU SHAKA, Mwenezi Mstaafu wa CCM ametupwa nje ya nafasi hiyo na kupewa Mwana Mama Sophia Mjema. Shaka alikosea nini hadi akatupwa nje ya tuliambiwa mwanzo yeye ni kipenzi sana cha Mama...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Taarifa za Mtanzania, Tarimo Nemes Raymond kudaiwa kufariki zimewashtua wengi, hasa baada ya kuanza kusambaa mitandaoni huku kukiwa hakuna taarifa rasmi juu ya tukio hilo. Tetesi zilizosambaa...
11 Reactions
93 Replies
11K Views
Hadaa na uzembe wa Serikali katika utekelezaji wa Sera ya Elimu bila malipo; unaangamiza Elimu nchini. Utangulizi Kwa takribani wiki tatu (3) mfululizo hususani kwa mwezi Januari 2023, kumeibuka...
2 Reactions
1 Replies
896 Views
Hello wakuu Leo vyombo vyote vya habari, wametumia nafasi Yao vizur kujulisha wananchi Juu ya ujio, Mapokezi ya Makamu mwemyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu. Pamoja na Mkutano uliofanyika huko Temeke...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Uchumi unajengwa na mambo makuu mawili tu uuzaji na ununuaji iwe bidhaa au huduma (Demand and Supply). Mnyororo huu ukiyumba wa uuzaji na ununuaji tegemea maafa makubwa sana kwenye uchumi wa nchi...
10 Reactions
50 Replies
4K Views
Kuna hoja imewekewa mkazo na baadhi ya watu kuwa bei ya vyakula imepanda na hivyo wakulaumiwa ni CCM. Kusema kweli hii ni "logical fallacy". Ni kweli vyakula vinapanda bei kwa kasi, na kimsingi...
0 Reactions
21 Replies
1K Views
Mtanzania mwenzetu kafia Ukraine kwa niaba ya Russia. Kulikoni Serikali ya Urusi ikamfikisha Mtanzania mwenzetu huko vitani ndani ya kombati zake? Wako wapi wanasheria wetu? Haipo fursa ya...
8 Reactions
140 Replies
6K Views
Wana Jf, salaam! Nianze kwa kukipongeza CCM kwa upendo wake kwa Watanzania lakini pia nikipongeze CDM kwa namna inavyokubali kazi inayofanywa na CCM. Wengi wetu kipaumbele ni Serikali kuongeza...
1 Reactions
17 Replies
850 Views
Wana JF salaam, CDM, CUF, NCCR, ACT na vyama vingine vya siasa nchini, fahamuni kwamba kufunguliwa kwa mikutano nchini si sababu ya kutumia lugha za ajabu na zinazochafua image ya Rais wetu Samia...
7 Reactions
57 Replies
3K Views
Sasa ni dhahiri ukweli unadhihirika kuwa kwaaajili ya mtu mmoja tu, kila chombo kinaweza kutenda haki au kudhulumu haki. Kwa sababu ya mtu mmoja tu, Rais Samia, leo vyombo vya habari vimerudi...
8 Reactions
10 Replies
632 Views
BBC inaripoti kwamba Kuna ukimya wa Vyombo vya Habari Tanzania na Serikali kuhusu raia wa Tanzania Aliyeuawa kwenye vita Nchini Ukraine akipigana upande wa Russia. Nini Kiko nyuma ya pazia...
3 Reactions
61 Replies
6K Views
Even the king of Jungle (The lion) has an end, it can never hunt again to feed its stomach due to oldness. Hakuna wakati mgumu Chama cha Mapinduzi kinapita kama wakati huu. Chama kimekosa...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Wanabodi, Mimi ni mwana ccm na nilitoa hapa ushauri kwenye uzi huu Uchaguzi 2020 - CCM msimjibu Tundu Lissu, Mnavyomjibu ndio anazidi kuongea mengi Mkutano wa Tundu lissu Tunduma ni dhahiri jinsi...
23 Reactions
35 Replies
5K Views
Mimi ni mwana CCM, Tundu Lissu anachotufanyia sio sahihi kabisa, Sasa anatuchezesha segere ya kujibu hoja zake ambazo kwenye TV hazionyeshwi na hazijibiki. Yale maelfu ya watu wanaomfuata...
37 Reactions
102 Replies
55K Views
Wanabodi, Nguvu ya Tundu lissu baada ya kusafiri kwa mtumbwi toka ukerewe si ya kawaida tena, ni kama sio yeye bali amevaa nguvu za maajabu na miujiza. Mapigo ya Tundu Lissu Ukerewe, Mapigo ya...
97 Reactions
133 Replies
14K Views
Haya ni maneno ya Kiingereza ambayo watu wanayachanganya sana yaani STATE and NATION na kuna muda watu huyatumia kwa kumaanisha kitu kimoja wakati sio kweli. Nation ni watu wanaounganishwa kwa...
7 Reactions
47 Replies
4K Views
Tulitegemea uteuzi wa vijana uwe chachu ya mabadiliko lakini imekuwa kinyume chake; most of them it's like wakishateuliwa wakaingia ofisini wanaanza kujiandaa kutumbuliwa au kustaafu. Hatuoni...
0 Reactions
3 Replies
686 Views
Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, amewakutanisha maaskofu 71 wa makanisa ya “kiroho” jijini Dar es Salaam akiomba msaada wao ili ashinde ubunge. Maaskofu hao walikutana...
4 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom