Spika Dkt. Tulia Ackson Aache kuingilia Majukumu ya Mawaziri

saigilomagema

JF-Expert Member
Jun 5, 2015
4,173
6,154
Spika wa bunge letu jana alinisikitisha sana na ameshusha credibility alliyokuwanayo. Wakati waziri wa TAMISEMI akiwa anahitimisha hoja yake alitokea mbunge moja mwanamke wa viti maalum nafikiri kutoka nyanda za juu kusini. Yule mbunge alitaka kulazimisha wale wanaoitwa walimu waliojitolea kuajiriwa ktk ajira iliyotangazwa hivi punde.

Waziri wangu mnyenyekevu Angela Kairuki alitoa maelezo mazuri sana na yenye kutosheleza kuwa criteria za ajira ni 3, kwanza mwaka mwombaji aliomaliza chuo na wataanzia 2015, pili kwa sekondari masomo ya sayansi (Physics, Chemistry and Biology), Hisabati, English na English Literature, mwisho ni walemavu ambao watakuwa ni 3%. Wakati anatoa maelezo yule mbunge alivyokuwa hana adabu akawa kama amamkebehi kwa vitendo waziri.

Shida ikaja kwa spika, huyu spika wa sasa ni much know au "Mr. Know All" Akaanza kama kumlazimisha waziri kuwa wale wanaoitwa walimu waliojitolea waajiriwe. Swali huku kujitolea kuko ktkt mfumo upi rasmi? Kama ni mfumo rasmi hizo nafasi zilitangazwa? Au watu wameitana kindugu. Spika mwache waziri afanye kazi yake we inaoneka lenu moja na yule mbunge kwamba mna watu wenu mnataka kuwaingiza.

Sasa spika nawe unajiingiza ktkt dhuluma kama hiyo?. Kama unataka kazi ya uwaziri achia uspika usubirie uteuzi wa Rais. We kazi yako ni kusimamia vikao siyo kuwaelekeza mawaziri. Acha kuwachanganya mawaziri wetu. Mbunge akitaka hoja yake we unatoa majibu, who are you?
 
Ilitakiwa waombaji wafanyishwe hata 'online aptitude test' ya somo atakaloenda kufundisha. Watakaofaulu ndio wapewe hizo nafasi. Mambo ya mchujo kufanywa huko na kupitisha majina wenyewe ndio chanzo Cha upendeleo.
 
Spika wa bunge letu jana alinisikitisha sana na ameshusha credibility alliyokuwanayo. Wakati waziri wa TAMISEMI akiwa anahitimisha hoja yake alitokea mbunge moja mwanamke wa viti maalum nafikiri kutoka nyanda za juu kusini. Yule mbunge alitaka kulazimisha wale wanaoitwa walimu waliojitolea kuajiriwa ktk ajira iliyotangazwa hivi punde.

Waziri wangu mnyenyekevu Angela Kairuki alitoa maelezo mazuri sana na yenye kutosheleza kuwa criteria za ajira ni 3, kwanza mwaka mwombaji aliomaliza chuo na wataanzia 2015, pili kwa sekondari masomo ya sayansi (Physics, Chemistry and Biology), Hisabati, English na English Literature, mwisho ni walemavu ambao watakuwa ni 3%. Wakati anatoa maelezo yule mbunge alivyokuwa hana adabu akawa kama amamkebehi kwa vitendo waziri.

Shida ikaja kwa spika, huyu spika wa sasa ni much know au "Mr. Know All" Akaanza km kumlazimisha waziri kuwa wale wanaoitwa walimu waliojitolea waajiriwe. Swali huku kujitolea kuko ktkt mfumo upi rasmi? Km ni mfumo rasmi hizo nafasi zilitangazwa? Au watu wameitana kindugu. Spika mwache waziri afanye kazi yake we inaoneka lenu moja na yule mbunge kwamba mna watu wenu mnataka kuwaingiza.

Sasa spika nawe unajiingiza ktkt dhuluma km hiyo?. Km unataka kazi ya uwaziri achia uspika usubirie uteuzi wa Rais. We kazi yako ni kusimamia vikao siyo kuwaelekeza mawaziri. Acha kuwachanganya mawaziri wetu. Mbunge akitaka hoja yake we unatoa majibu, who are you?
Utaratibu wa ajira kwa walimu au madaktri au watumishi wa umma kiujumla unajulikana, sidhani kama mbunge au spika ana mamlaka ya kutaka ajira za umma zifanyike atakavyo yeye, isipokuwa Mh. Rais pekee ana madaraka hayo.

Anauweza kutoa ushauri au maoni, ila sheria, taratibu na kanuni za ajira za utumishi wa umma ziko wazi na zinajulikana.
 
Spika wa bunge letu jana alinisikitisha sana na ameshusha credibility alliyokuwanayo. Wakati waziri wa TAMISEMI akiwa anahitimisha hoja yake alitokea mbunge moja mwanamke wa viti maalum nafikiri kutoka nyanda za juu kusini. Yule mbunge alitaka kulazimisha wale wanaoitwa walimu waliojitolea kuajiriwa ktk ajira iliyotangazwa hivi punde.

Waziri wangu mnyenyekevu Angela Kairuki alitoa maelezo mazuri sana na yenye kutosheleza kuwa criteria za ajira ni 3, kwanza mwaka mwombaji aliomaliza chuo na wataanzia 2015, pili kwa sekondari masomo ya sayansi (Physics, Chemistry and Biology), Hisabati, English na English Literature, mwisho ni walemavu ambao watakuwa ni 3%. Wakati anatoa maelezo yule mbunge alivyokuwa hana adabu akawa kama amamkebehi kwa vitendo waziri.

Shida ikaja kwa spika, huyu spika wa sasa ni much know au "Mr. Know All" Akaanza km kumlazimisha waziri kuwa wale wanaoitwa walimu waliojitolea waajiriwe. Swali huku kujitolea kuko ktkt mfumo upi rasmi? Km ni mfumo rasmi hizo nafasi zilitangazwa? Au watu wameitana kindugu. Spika mwache waziri afanye kazi yake we inaoneka lenu moja na yule mbunge kwamba mna watu wenu mnataka kuwaingiza.

Sasa spika nawe unajiingiza ktkt dhuluma km hiyo?. Km unataka kazi ya uwaziri achia uspika usubirie uteuzi wa Rais. We kazi yako ni kusimamia vikao siyo kuwaelekeza mawaziri. Acha kuwachanganya mawaziri wetu. Mbunge akitaka hoja yake we unatoa majibu, who are you?
Tangu mwanzo enzi ya Mzee wa Galilaya,binafsi nilitokea kutomkubali, sababu zile sheria za mwendokasi walizozisimamia kidedea na leo zinahitaji kufutwa,nyingi miongoni mwake.
 
Spika wa bunge letu jana alinisikitisha sana na ameshusha credibility alliyokuwanayo. Wakati waziri wa TAMISEMI akiwa anahitimisha hoja yake alitokea mbunge moja mwanamke wa viti maalum nafikiri kutoka nyanda za juu kusini. Yule mbunge alitaka kulazimisha wale wanaoitwa walimu waliojitolea kuajiriwa ktk ajira iliyotangazwa hivi punde.

Waziri wangu mnyenyekevu Angela Kairuki alitoa maelezo mazuri sana na yenye kutosheleza kuwa criteria za ajira ni 3, kwanza mwaka mwombaji aliomaliza chuo na wataanzia 2015, pili kwa sekondari masomo ya sayansi (Physics, Chemistry and Biology), Hisabati, English na English Literature, mwisho ni walemavu ambao watakuwa ni 3%. Wakati anatoa maelezo yule mbunge alivyokuwa hana adabu akawa kama amamkebehi kwa vitendo waziri.

Shida ikaja kwa spika, huyu spika wa sasa ni much know au "Mr. Know All" Akaanza km kumlazimisha waziri kuwa wale wanaoitwa walimu waliojitolea waajiriwe. Swali huku kujitolea kuko ktkt mfumo upi rasmi? Km ni mfumo rasmi hizo nafasi zilitangazwa? Au watu wameitana kindugu. Spika mwache waziri afanye kazi yake we inaoneka lenu moja na yule mbunge kwamba mna watu wenu mnataka kuwaingiza.

Sasa spika nawe unajiingiza ktkt dhuluma km hiyo?. Km unataka kazi ya uwaziri achia uspika usubirie uteuzi wa Rais. We kazi yako ni kusimamia vikao siyo kuwaelekeza mawaziri. Acha kuwachanganya mawaziri wetu. Mbunge akitaka hoja yake we unatoa majibu, who are you?

Kwahiyo huyu speaker ana credibility hivyo jana ndio kaishusha?! Utani mwingine bana.
 
Usipate tabu naye huyu, tumemzoea! Ni bahati mbaya kua analazimisha recognition ila remarks zake hazifananii na mhadhiri wa level ya Phd ya sheria!
 
Back
Top Bottom