johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,997
- 142,018
Naibu Spika wa Bunge la Wananchi la CHADEMA Mh. Kihamba amemtaka Waziri mkuu asitishe Zuio la mikopo ya Vijana Wanawake na Walemavu kwa kipindi kilichobaki cha miezi 3 iliyobaki ya FY 2022/23.
Kihamba amesema hayo kwenye Mkutano wa CHADEMA na Waandishi wa Habari, Makao makuu ya CHADEMA Ufipa St Kinondoni Shamba.
Source: Star TV
Kihamba amesema hayo kwenye Mkutano wa CHADEMA na Waandishi wa Habari, Makao makuu ya CHADEMA Ufipa St Kinondoni Shamba.
Source: Star TV