Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wasalaam wanajamvi! Sasa ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Mh Rais Samia achague mkurugenzi mkuu mpya wa TANESCO bwana Chande Maharage na baada ya hapo Waziri wa Nishati alivunja bodi ya tanesco na...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimetafakari kwa kina kuhusu kukatika kwa umeme maeneo mengi nchini na ukosefu wa maji si jambo la kuleta siasa na matumaini ya kwamba umeme utakuwa vizuri 2025. Hii si sawa, umeme ni uti wa...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Tunashukuru Rais wetu Mtukufu ameridhia hitaji la katiba mpya . Na itapendezwa zaidi Rais atakapong'olewa baadhi ya meno kuepusha utawala wa kibabe Binafsi baadhi ya mambo ambayo natamani yawepo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Chawa wa ccm na upinzani kwa ujumla wamekuwa wakimuvisha mheshimiwa raisi sifa ambazo hazina msingi huku malalamiko kwa wananchi yakiongozeka mfano mkubwa ni haya yafuatayo- Unawezaje kumwambia...
1 Reactions
3 Replies
535 Views
Kwa Ben Saanane, Mawio na wote wanaowatuma, MSISAHAU MWISHO WA UONGO AIBU! Huu ndio ukweli wa nilichosema juu ya wazee. Sasa pimeni wenyewe aibu ya nani kwa uzushi wenu! Si kila unacholishwa...
8 Reactions
267 Replies
23K Views
Tozo za kila namna zinawaangukia wao. Hawana uwezo wa kumudu lakini watafanyaje sasa? Hawasikii miradi mipya ikianzishwa kwa ajili ya taifa lao. Ina maana pesa wanazokamuliwa zinakamilisha miradi...
1 Reactions
1 Replies
405 Views
Humlipii mtoto ada, kuanzia darasa la kwanza hadi kidato Cha sita hizo hela ulizotakiwa kulipa ada unazifanyia nini? Rais amedhibiti kwa kiasi kikubwa Mfumuko wa bei za bidhaa, tunaona kushuka...
1 Reactions
5 Replies
471 Views
Ukiangalia kwa sasa ni kama vita ya katiba mpya ipo moto lakin swala la udini nalo lipo moto ukiangalia chaguz za UVCCM wote ni waislam dar hat mwenyekit DODOMA pia ni structure ya uislam na...
1 Reactions
1 Replies
365 Views
Pamoja na matumaini makubwa yanayojengwa AMA kwa makusudi au kwa kutokufanya utafiti wa kutosha na hivyo kuwa ni matumaini yanayojengwa kwa bahati mbaya, wapinzani walishindwa kutumia furusa ya...
20 Reactions
186 Replies
12K Views
Chama cha siasa ni wananchi wanaounganishwa katika falsafa na itikadi moja. CCM kama taasisi imejengwa katika msingi wa falsafa na Itikadi zinazozaa Sera na ndani ya Sera hizoIlani ya uchaguzi...
3 Reactions
75 Replies
6K Views
Mhe. Mbowe akiwa Mbeya alikiri wazi kuwa CHADEMA kwa miaka yote tangu kuanzishwa kwake kimekuwa ni chama cha HARAKATI... Lakini nilifurahi kusikia akiwaomba wenzake kuwa sasa ni wakati wa...
12 Reactions
189 Replies
14K Views
Niliwahi kusema nikiwa Kigoma kuwa UKAWA ni kaburi la vyama vya upinzani nchini! Sasa nimeangalia bunge asub hii na kuona hao waliokuwa wakiaminiwa kama ni UKAWA wamo bungeni. Huu ni msiba mkubwa...
3 Reactions
193 Replies
22K Views
Yaani UKAWA kwanini mmesubiri mpaka mmelipwa posho ndio mmetoka bungeni? Kwanini hamkutoka toka mwanzo? Huu ni utoto! Lakini kama mko serious MSIRUDI KABISA BUNGENI TENA. Mlishatishia kwenda...
5 Reactions
98 Replies
10K Views
Naandika hili kwa masikitiko makubwa maana watani zangu CHADEMA siku zao zinahesabika kwa kasi inayonitisha sana. Mimi ni muumini wa uimara wa CCM kutegemea sana uimara na umakini wa upinzani...
33 Reactions
193 Replies
18K Views
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi...
15 Reactions
102 Replies
8K Views
Makampuni mengi ya kitanzania hayana mfumo wa ku fact check, na hata yanayofanya hivyo hutumia kampuni za nje ambazo hata kiswahili chao siyo kizuri. Unaweza kukuta mtu kaandika Nape kaumwa...
10 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimestushwa sana na stori ya gazeti la Mtanzania inayodai kuninukuu kuwa nimesema wazee waliopendekeza serikali tatu wanasubiri kufa! Kwakweli nimesikitishwa sana hata na jinsi maneno ndani...
14 Reactions
255 Replies
19K Views
Kumekuwa na mjadala mpana sana juu ya kodi iliyopitishwa na bunge ya kadi za simu za mkononi. Kimsingi kama Chama tumeshatoa msimamo juu ya kodi hii.(SERIKALI IANGALIE VYANZO VINGINE NA KODI HII...
5 Reactions
88 Replies
6K Views
Toka rasimu ya Katiba mpya itolewe viongozi wengi wa kisiasa na kijamii wamekuwa wakitoa maoni yao hadharani juu ya rasimu hiyo, madhara ya hili ni kujaribu ku influence mawazo ya wananchi ambao...
3 Reactions
43 Replies
10K Views
Toka jana nimekuwa nikisoma kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kuhusu hoja ya " NAPE, KINANA NA DR. SLAA" juu ya kipindi kilichodaiwa kuandaliwa na ITV. Leo kwa uzito mkubwa stori hiyo...
0 Reactions
181 Replies
13K Views
Back
Top Bottom