Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kamati za Kudumu za Bunge ndio jicho la wananchi kwenye kuisimamia Serikali na tumeona kila leo zinafanya ziara na kukagua miradi ya maendeleo na kutoa pongezi kwamba kwa kazi nzuri zinazofanywa...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Bila shaka sasa maisha kwa watz yapo vizuri sana! Hamna kero kabisa, Maana si kawaida kwa huyu jamaa kuwa kimya namna hii!
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Hivi ni kweli mpaka leo umekosekana ufumbuzi wa suala la umeme, nchi nzima na kiza kimetanda, au mama hajui au anaongopewa? Mpaka imejidhihirisha uwanjani mechi za kimataifa haoni? Hizi kelele...
2 Reactions
3 Replies
625 Views
Hili la umeme kwangu mimi Uzima Tele ndilo pekee hunifanya nimkumbuke kwa uzuri hayati Rais John P. Magufuli kuwa alifanya vyema chini ya u - Rais wake. Honestly, katika kipindi cha uongozi wake...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Mhe. Rais kilichofanywa na wizara ya Habari hakina hata chembe ya Haki. Ukisoma barua ya wizara inasimamisha wafanyakazi kazi kisha barua hiyo hiyo inaeleza kwamba wanaharakisha mchakato WA tenda...
4 Reactions
4 Replies
681 Views
MHE. HAMIS TABASAM AWAKARIBISHA WANAMWANZA KWENYE SHEREHE ZA MEI MOSI ZITAKAZOFANYIKA SENGEREMA Mbunge wa Jimbo la Sengerema Mkoa wa Mwanza, Mhe. Hamis Tabasam amewakaribisha wananchi wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MBUNGE MHE. ABOOD ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE KATIKA SHEREHE ZA MEI MOSI MOROGORO Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini MHE. DKT. ABDULAZIZ M. ABOOD anawakaribisha Watanzania wote kutoka kila Eneo...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa wale Waislamu inatakiwa Muunge Mkono pendekezo la Siku ya Ijumaa kujumuishwa kama public holiday yaani Weekend hakuna kufanya kazi. Kwa nini Jumapili na Jumamosi ni Weekend na sio Ijumaa...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Sasa imebainika wazi waliomuua aliyekuwa waziri wa Fedha Dr.Mgimwa. Watuhumiwa hao walitumia ustadi na umakimi wa hali ya juu kuhakikisha kuwa huyu waziri anaondoka katika nafasi ya Waziri wa...
43 Reactions
198 Replies
46K Views
Habari wana uchumi wa JF! Kama somo linavyosema hapo juu.. Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge. Kufikia...
2 Reactions
24 Replies
2K Views
Waziri wa fedha Dr Mwigullu Nchemba PhD amesema Serikal ya Awamu ya 6 inajenga Uchumi utakaowezesha vizazi vijavyo kufaidi Matunda ya uhuru wa nchi Yetu Dr Mwigullu amesema Hazina ya Nchi iko...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Sijajua huku Tanganyika mnafeli wapi kajifunzeni Zanzibar. Mwalimu Nyerere alikuwa anaangalia TVZ muda wote wa Uongozi wake. Ahsanteni!
0 Reactions
10 Replies
720 Views
MBUNGE SAMIZI ATIMIZA AHADI YA KUCHANGIA SARUJI UJENZI WA ZAHANATI NA SHULE ILI KUMUUNGA MKONO RAIS SAMIA. Dkt. Florence George Samizi ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Muhambwe mkoani Kigoma Jana...
0 Reactions
0 Replies
675 Views
Meya mstaafu wa Ubungo mh Jacob Boniface amesema kwenye Uchaguzi wa Chadema kura yake kwa nafasi ya Mwenyekiti Taifa atampa mwenyekiti wa sasa mh Freeman Mbowe Bonny amesema yeye atagombea Ubunge...
1 Reactions
80 Replies
5K Views
Bila shaka wafanyakazi wajiandae na kicheko maana Kwa jinsi hela zinamwagwa basi Mama ana jambo letu May Mosi Hii. Zenu dua wakuu.
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Hakika Watumishi wa Umma miaka yote Waliaminishwa kuwa TUCTA ipo kwa ajili ya kuwasimamia kupata HAKI na STAHIKI zao SERIKALINI.TUCTA wamekuwa Wakichukua MICHANGO ya Watumishi wa UMMA lakini Haina...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
BILIONI 230 ZIMETOLEWA KWA AJILI YA UJENZI NA UKARABATI WA SHULE ZA MSINGI KUPITIA MRADI WA KUIMARISHA UJIFUNZAJI KATIKA ELIMU YA AWALI NA MSINGI (BOOST) Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kupitia mfumo wa kutoa taarifa kuhusu mali zilizopitea jeshi la polisi huwaibia raia wengi sana shilingi 500. Yaani unaweza kuwasilisha taarifa zako kwa usahihi kisha baada ya kufanya malipo...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Ikiwa CAG huchunguza matumizi Kwa taasisi za Serikali Kuu na Serikali za mitaa (halmashauri) kisha huleta ripoti bungeni. Je huchunguza matumizi katika Bunge letu tukufu? Hawa waheshimiwa...
2 Reactions
5 Replies
611 Views
Mkuu wa wilaya ya Arusha Felisian Mtehengerwa amesema kitendo cha wafanyabiashara wadogo (Machinga) katika jiji la Arusha kuandamana usiku kinachochewa na wanasiasa wenye nia ovu ya kuihujumu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom