Hivi Lissu yupo?

Hivi Lissu yupo?

Maisha yapo muruwa kabisa kwasababu
Watu hawatekwi tena
Hawauliwi
Hakuna kubambikiziana case kishamba
Hakuna kufokeana hovyo
Kuna uhuru wa Habari
Watu ni wamoja na hawagawanywi kwa makabila wala vyama isipokuwa nyie wachachache
Mungu alitutendea wema sana
 
Maisha yapo muruwa kabisa kwasababu
Watu hawatekwi tena
Hawauliwi
Hakuna kubambikiziana case kishamba
Hakuna kufokeana hovyo
Kuna uhuru wa Habari
Watu ni wamoja na hawagawanywi kwa makabila wala vyama isipokuwa nyie wachachache
Mungu alitutendea wema sana
Tarehe 17 March Mungu siku ya ukombozi wa pili kwa Watanzania. Mungu wa mbinguni alitupigania.
 
Hawa huwa wanapiga kelele wanapokuwa na njaa tu, kinyume na hapo hakuna kelele tena.

1. Amelipwa madai yake yote.
2. Chama kinapokea Ruzuku.
3. Kila wakiishiwa asali, wanaalikwa IKULU kuchukua buyu jingine la asali.

Katika hali hiyo, unadhani watapiga kelele tena? La hasha.

Nchi hii haina upinzani. Upinzani halisi utatoka miongoni mwa wana CCM.
 
Unaweza fikiri Ufipa Digital na vyombo vingine vya habari wamepigwa katizo au kwa kimombo "gag order"
....Kumbandika humu....hatahivyo nani anataka taarifa za Dikteta?
 
Nadhani muda wa visa yake umeisha kwa hiyo ameenda kurenew.
Raia wa kigeni hawapaswi kuvunja sheria kwa kuishi nchini wakati visa imeeksipaya, akikamatwa anaswekwa lupango.
 
Back
Top Bottom