Changamoto kubwa mbili zinazowakabili Waafrika kwa sasa katika ulimwengu, na kusema kweli zinazotunyima sauti kwenye majukwaa ya kidunia, ni Mamlaka (Sovereignty) na Nguvu za Kijeshi (Military...
Upinde wa mvua ni tao la rangi mbalimbali angani ambalo linaweza kuonekana wakati jua huangaza kupitia matone ya mvua inayoanguka. Mfano wa rangi hizo huanza na nyekundu nje na hubadilika kupitia...
Muda mfupi mtangazaji wa miaka 20 BBC Swahili TV na redio mhariri wa BBC Swahili.com ameaga na kupewa keki akidaiwa kurudi nyumbani,
Kikeke media za bongo zilimkataa na akakubaliwa DUNIANI hasa...
Habari ndugu zangu.
Nawasalimu kwa upendo wa dhati toka ndani ya moyo wangu.
Nawapenda sana.
Aidha baada ya salamu hizo, naomba niende kwenye mada tajwa hapo juu.
Ni ukweli mchungu kwamba...
Hivi huwa wanapimwa akili kweli? Hivi kuna mtu na akili timamu anaweza pita juu ya watu namna hii? Hii si ni busara ndogo kuelewa kuwa si sawa haijalishi wananchi wanasemaje.
Huwa nawaza sana hii...
Kuua, kuhamasisha watu kuuawa, kutishia kuua au kushiriki kwa namna yoyote ile katika mauaji ni makosa ya jinai. Polisi hawastahili kusubiri kuambiwa wamkamate na kumfikisha mahakamani mtu...
Kwa Sasa Dunia yetu inapitia mengi sana sana ...tuanze na la ushoga na usagaji....Kisha vita ya wenyewe kwa wenyewe ....tatu ugaidi ukiongozwa na makundi mbalimbali ya wanamgambo...ukame ukosefu...
Mkuu wa mkoa wa DSM Amos Makalla ameupiga Marufuku Wafanyabiashara kuuza bidhaa kwa kuzipanga chini
Agizo hilo limeanza mara moja hasa kwenye bidhaa za Vyakula ukizingatia Huu ni msimu wa mvua...
Inashangaza kuona baadhi ya maeneo bado wanatumia opras kama rejea ya utendaji kazi wa watumishi. Ikumbukwe kwamba fomu hizi hujazwa na mtumishi kwa kushirikiana na kiingozi wake.
Kwa asilimia...
1.Mlilalamikia kikokotoo kisiwepo,serikali ikaweka
2.Mkalalamikia nyongeza ya mishahara Kwa miaka nenda rudi,nyongeza ni mpaka serikali iamue na iongeze ionavyo
3.Mmelalamikia annual...
Leo hii Jumatatu April 17 2023 Serikali imesaini mikataba na kampuni tatu za madini za Australi zinazohusisha uendeshaji wa uchimbaji wa Madini ya Kinywe (GRAPHITE) na madini adimu (RARE EARTH...
Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema taarifa iliyotolewa na Meya wa Kinondoni mh Songoro kwamba Wizara inashughulikia Migogoro wa Slipway Ltd siyo ya kweli
Dr Mabula amesema Sera ya kuboresha...
MHE. NDAISABA RUHORO ATEMBELEWA BUNGENI NA KAMATI YA SIASA WILAYA YA NGARA
Mbunge wa Jimbo la Ngara Mhe. Ndaisaba George Ruhoro wiki hii aliialika Kamati ya Siasa ya Wilaya ya Ngara chini ya...
George Wajackoya ni Jasusi ambalo limeajiriwa na shirika la ujasusi la Kenya, Kuna msemo kwamba jasusi hastaafu. Jasusi huyu ndiye alihusika na "mission" nzima ya kumtorosha Lema Tanzania...
Jambo Jambo?
Mtautesa umma wa Watanzania, Mafisadi yatendelea kuiba, mtawafutia Bima za afya za bei rahisi.
Mtaweka tozo kila sehemu na hela za tozo zitaibwa na mafisadi na walamba asali. Ripoti...
Wakati Kikosi cha Usalama Barabarani kikiendelea na misako mbalimbali inayosaidia kupunguza ajali za barabarani, mkuu wa kikosi hicho Mkoani Iringa , Mosi Ndozero ameikamata haice iliyyokuwa...
Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Ridhiwani Kikwete licha ya shughuli zake kubwa za kitaifa...
Ni wajibu wa vyama vinavyojitanabaisha kuwa vya ukombozi kuwahamasisha na kuwaongoza watu kudai haki zao.
Mtaji wa vyama hivyo ni watu. Ni jukumu kipaumbele la vyama vinavyojitambua kuwa mkao wa...
Geita. Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigella amezitaka halmashauri za mkoa huo zinazopokea fedha za uwajibikaji wa kampuni kwa jamii (CSR) kuhakikisha miradi inayotekelezwa inaleta matokeo...
Sungusia hana Uwezo wa kuongoza nyakati Ngumu! Huyakimbia matatizo!
Historia ya Wakili Harold Sungusia inamuweka upande wa watu ambao hawana uwezo wa kukabiliana na changamoto ngumu pindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.