Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana...
56 Reactions
534 Replies
38K Views
Shalom. Ninaomba kuwe na mdahalo huru na LIVE kati ya vijana wa CCM na CDM ili tuone vijana wanaojitambua na wale wenye upeo duni wa kufikiri. Mdahalo huu wa kitaifa uwe LIVE kupitia TV 2 kubwa...
5 Reactions
26 Replies
912 Views
Bei ya vya vyakula ni mateso raia wa kawaida sasa ni mateso kuishi Tanzania kwa raia wa kipato cha chini. Maana kula imekuwa anasa. Wale mabwenyeye CCM wasio na huruna na raia wanyonge wameshika...
12 Reactions
48 Replies
3K Views
Yaani mkulu wa Bagams alipokuwa madarakani tuliteseka sana na umeme. Nchi ikawa gizani. Makelele ya jenereta yakawa komoni. Sasa najiuliza mbona ule upande mwingine wa akina Mpina uliposhika...
3 Reactions
7 Replies
616 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akishiriki kikao kazi cha Mabalozi na Menejimenti ya Wizara ya Mambo ya Nje leo tarehe 19 Novemba, 2022 katika Ukumbi wa Golden Tulip...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Hivi hii serikali ya CCM iko madarakani kwa Uhalali upi? Miaka 60 ya Uhuru imepiga marktime na kufanya mambo mengi yasiyo ya maana na kuacha mengi ya maana. 1. Hivi Wakati Serikali ya CCM...
21 Reactions
58 Replies
3K Views
Nawasalimu katika lile Jina liyapitayo majina yote la BWANA wetu Yesu Kristo! Mzee Mkapa aliwahi kuwaonya hadharani wanaodhani kuna CCM ya Magufuli na UVCCM ya Dr Kheri James haikutoa tamko...
2 Reactions
11 Replies
557 Views
Siitamani Tena kutawaliwa ccm Tena,ni aibu sana Kwa ninayo yashuhudia yakifanywa na ccm kweli sisi wahaya wa kufia Kwa maji tulikufa ziwa Victoria Kwa meli,tumekufa Tena Kwa ndege ndani ya Ziwa...
2 Reactions
7 Replies
579 Views
Hapo juu ni wagombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA hakuna Enock wala Angelina hapo-kwanini?!! CCM isiruhusu hayo mambo, yanamharibia kiongozi wake.
5 Reactions
87 Replies
5K Views
Hiki ndicho naweza kusema kuhusu huu mgao wa umeme hapa mkoani Arusha. Nimefika hapa juzi mida ya saa moja usiku na kukutana na giza nene maeneo ya Usa-River.Umeme ulirudi saa 5 usiku na asubuhi...
21 Reactions
119 Replies
5K Views
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli. Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu...
22 Reactions
163 Replies
8K Views
Baraza la vijana (Bavicha) la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) linaendelea na uchaguzi wake leo kwa ngazi ya kitaifa. Muda mfupi uliopita katika ukumbi wa Mlimani City limewapata...
21 Reactions
195 Replies
25K Views
MANENO MANENO YASIKUKATISHENI TAMAA, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO IMARA SANA Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Rais Samia Suluhu...
8 Reactions
39 Replies
2K Views
SUALA la Luhaga Mpina kukatwa jina lake kwenye nafasi ya mgombea wa NEC Mkoa wa Simiyu kwa mwaka huu wa 2022 kuwa amekosa sifa ya kuteuliwa limetuachia maswali mengi hasa sababu 11 zinazodaiwa...
23 Reactions
85 Replies
7K Views
Habari za jioni wadau, nimeuliza hilo swali baada ya kuona post huko Instagram kutoka kwa Milard Ayo, unaweza kusoma alichoandika Mh.then tukajadili.
3 Reactions
64 Replies
5K Views
“ Kwa wale ambao wana mashaka mwanamke huyu ataweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nataka niwaambie aliyesimama hapa ni Rais, nataka nirudie kwamba aliyesimama hapa ni Rais wa...
1 Reactions
3 Replies
473 Views
Nani anajifanya kusahau juu ya uchaguzi wa 2010? Wananchi wa kanda ya ziwa waliikataa CCM ya kifisadi na matokeo ya uchaguzi yalikuwa juu kwa upinzani hasa Chadema. Upinzani ulipata madiwani...
15 Reactions
137 Replies
7K Views
Namshika mkono wa heri na shukurani nyingi Rais Samia Hassan kwa mabadiliko mazuri ya elimu anayoyaleta nchini. Namshukuru sana Rais Samia kwa kutatua kero moja iliyotutesa sana miaka nenda rudi...
2 Reactions
3 Replies
986 Views
Kupata katiba mpya ni shughuli pevu dhidi ya walamba asali, vibaraka na chawa wao. Vipi kuwatemesha matonge midomoni? Katiba mpya haitakuja kwa maneno Matupu mezani au mitandaoni. Katiba mpya...
6 Reactions
20 Replies
2K Views
Fikra ni namna mtu anavyochukulia jambo fulani, fikra ni mawazo ya mtu juu ya kitu fulani katika maisha kwa ujumla wake, mara nyingi kabla ya kumshauri mtu, tunaanza na fikra, start with mindset...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom