Inakuwaje serikali inakosa mishahara ya wafanyakazi wake mfano Kenya?

jastertz

JF-Expert Member
Jul 4, 2020
392
743
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment
 
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment
Kenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sana

USSR
 
Matumizi ya kwanza kwenye bajeti ni kulipa madeni... Serikali ikiambiwa ichague kati ya kulipia madeni na mshahara, watalipa madeni kwanza; ndio kilichotokea kwa jirani. Na serikali zinakusanya mapato kama kampuni zozote unazozijua, kwahiyo kukosa fedha sio jambo la kawaida lakini huwa linatokea.
 
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment

Sababu kubwa ni kuongezeka kwa madeni ambavyo inabidi yalipwe sasa. (Matured debt).

Walichukua mikopo na kuweka kwenye miradi ambayo haizalishi au kuongeza mapato ya serikali.

Rushwa, ubadhilifu wa Mali za umma ulibobea ni sababu zingine.
 
Matumizi ya kwanza kwenye bajeti ni kulipa madeni... Serikali ikiambiwa ichague kati ya kulipia madeni na mshahara, watalipa madeni kwanza; ndio kilichotokea kwa jirani. Na serikali zinakusanya mapato kama kampuni zozote unazozijua, kwahiyo kukosa fedha sio jambo la kawaida lakini huwa linatokea.
Waiuze nchini,walipie madeni yote
 
Kenya 60% ya makusanyo ni kulipa mishahara ya watumishi hii ni baada ya kutengeneza likatiba la hovyo sana la kuruhusu majimbo , wameanza harakati za kupunguza (PUNGUZA MZIGO) ikiwa ni kutaka kubadili baadhi ya ubara,hapa bongo CHADOMO ndio bado wanalilia kiserikali ya majimbo ambayo ni ya hivyo sana

USSR
Mimi huwa nashindwa kuelewa baadhi ya ueleo wa wanajamii forum wengine, inaonekana humu kuna watu hata darasa la nne hawakufika na ndiyo huchukuliwa ujinga wao kama mtaji wa CCM

Hivi kwa akili yako ya kawaida kuna selikali yenye matumizi makubwa ya utitiri wa viongozi kama Tanzania, mfano kuna haja gani ya kuwa na wabunge wa kuteuliwa, wakuu wa wilaya?
Bado magari wanayotembelea viongozi yanalingana na akili yako wewe mbubumbu,

Naamini hizi pesa zinazopotea wangepeleke kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi labda ungeilimika kwa vitendo zaidi ingawa siyo kiakilili
 
Niliwashangaa Wakenya walipomchagua Ruto kwa mihemko. Anyway inawezekana si yeye aliyesababisha hii hali, ila jamaa ni failure vibaya na huko mbeleni itabidi kuwa dhahiri.
 
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment
Mishahara kwa watumish wa umma inatokana na kodi! Sasa kama makusanyo ni kiduchu ndo watumish watajua no body can stop reage
 
Niseme tu, kamwe hatutawaweza wakoloni. Walijua kunanjia nyingine za ku colonize Africa pasipo na kelele nyingi. Wape mikopo kwa wingi. Wanajua Hamna uwezo wa kuwekeza kwenye ishu za uzalishaji mtaingia kwenye impossible angle tu wao wakija ni kujinafasi tu kwenye rasilimali zetu. Bado nchi inakopesheka,,,,, sawa subirini tu
 
Hv unadhn aliyewaita mataga alikosea?????
Mimi huwa nashindwa kuelewa baadhi ya ueleo wa wanajamii forum wengine, inaonekana humu kuna watu hata darasa la nne hawakufika na ndiyo huchukuliwa ujinga wao kama mtaji wa CCM

Hivi kwa akili yako ya kawaida kuna selikali yenye matumizi makubwa ya utitiri wa viongozi kama Tanzania, mfano kuna haja gani ya kuwa na wabunge wa kuteuliwa, wakuu wa wilaya?
Bado magari wanayotembelea viongozi yanalingana na akili yako wewe mbubumbu,

Naamini hizi pesa zinazopotea wangepeleke kwenye ujenzi wa vyuo vya ufundi labda ungeilimika kwa vitendo zaidi ingawa siyo kiakilili
 
Habari wana uchumi wa JF!
Kama somo linavyosema hapo juu..
Kwa mara ya kwanza tangu Kenya ijinyakulie Uhuru 1963 , serikali imeshindwa kuwalipa mishahara wafanyakazi wa umma na wabunge.
Kufikia sasa wafanyakazi wa umma hawajui ni lini watalipwa mishahara yao hali ambayo ilianza mwezi Disemba na imeendelea kuwepo hadi sasa.

Ningependa kujua nini kinasababisha na nini kifanyike,,,

napitia comment
Labda WANASIASA walikwangua hazina ya nchi kwa sababu ya Fedha ya uchaguzi nje ya mfumo rasmi....labda labda.....

Mwenyezi Mungu amrehemu hayati Magufuli kwa kutokuweka KARANTINI.....aaaamin aaaamin

Mfumo wa karantini kwa ajili ya COVID pia umechangia kuharibu uchumi wa ndugu zetu Kenya......

#SiempreJMT
 
Back
Top Bottom