johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Meya mstaafu wa Ubungo mh Jacob Boniface amesema kwenye Uchaguzi wa Chadema kura yake kwa nafasi ya Mwenyekiti Taifa atampa mwenyekiti wa sasa mh Freeman Mbowe
Bonny amesema yeye atagombea Ubunge
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
My take; Huyu Bonny hajui Mbowe anang'atuka!
Bonny amesema yeye atagombea Ubunge
Chanzo: Star tv Medani za Siasa
My take; Huyu Bonny hajui Mbowe anang'atuka!