Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ukurasa wa mbele wa Gazeti la Raia Mwema, Novemba 19, 2022 Dr. Bashitu alipuka Awavaa wanaosifu utawala wa Samia Akerwa na kauli za “Anaupiga mwingi”
9 Reactions
49 Replies
8K Views
DR. BASHIRU ALLY WAKULIMA WAMEMUELEWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ACHA WAMSIFIE ANAUPIGA MWINGI CHUKI YA NINI? DR. BASHIRU ALLY Acha serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN...
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Sijashangazwa na kauli ya katibu mkuu UVCCM leo aliyoitoa kwenye media ya kumwita aliyekua katibu mkuu CCM ndugu Bashiru Ali kuwa ni mnafiki kwakua amepuuzilia mbali sifa za kijinga wanazopewa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Bakwata Wanaupiga Mwingi. By the way Inafikirisha Sana Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
12 Reactions
138 Replies
6K Views
Wakuu tumeshamuona Bashiru Ally akirusha mawe gizani huko aliko. Hii imenifanya nimkumbuke huyu jamaa hasa kipindi chake kile cha "Shule ya Uongozi". Sina mengi zaidi.
0 Reactions
4 Replies
732 Views
Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe. Ulimi hauna mfupa. Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva...
24 Reactions
203 Replies
20K Views
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita...
7 Reactions
45 Replies
6K Views
Moja ya sifa za Rais Samia Suluhu Hassan ni muumini mzuri wa mageuzi yenye lengo la kubadili fikra, dhana na mitizamo ambayo imekuwa kikwazo kwa jitihada za vijana katika kufikia mafanikio katika...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
"Suala la Rais Mwinyi kumteua mtu aliyehusika kuvuruga uchaguzi wa 2020 kuwa Mkurugenzi wa ZEC, HALIKUBALIKI. Tumeamua kurudi chini kwa Wanachama wetu. Ni wao waliotaka tuingie kwenye Serikali ya...
7 Reactions
66 Replies
5K Views
Kuna ishara nyingi Mungu anatupatia Daily za kujaribu kutushitua kwamba hawa CCM hapa ndio mwisho wao kimawazo, na hawawezi.kwamua hii nchi, na raia tafuteni ukombozi wa pili, lakini wapi...
1 Reactions
0 Replies
259 Views
Tokea jana usiku wa Saa 4:37 tumeanza kupata Maji na hadi sasa hali ni nzuri na inatia moyo Mungu wa mbinguni awabariki
0 Reactions
5 Replies
503 Views
DAWASA wametoa orodha ya Vituo vyake vinavyouza Maji kwa wale wanaonunua kwa kutumia magari maalum ya kubeba Maji Sabato njema!
1 Reactions
8 Replies
539 Views
Ndugu zangu CCM imeonesha umwamba wake wa siasa za hapa Tanzania,imeonesha kuwa ndio chama kikubwa na chenye ushawishi hapa Tanzania, imeonesha namna CCM ilivyo na nguvu hapa nchini, Imeonesha...
4 Reactions
145 Replies
4K Views
Kiasili Waswahili ndio hupendelea mambo ya Siasa Wagalatia Wao hufuata fursa tu Hata Nyerere alishawishiwa tu na Waswahili kuingia kwenye Siasa ili asaidie harakati za ukombozi Hivyo hata sasa...
1 Reactions
7 Replies
545 Views
Mtaalamu wa mambo ya Idadi ya Watu UN ameiambia BBC kuwa idadi ya Watu imefika bilioni 8 Duniani huku Nusu ya Watu hao wakiwa Bara la Asia Mtaalamu huyo amesema Tanzania kuna ongezeko la Watu la...
2 Reactions
38 Replies
1K Views
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Wasalaam wanajamvi! Sasa ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Mh Rais Samia achague mkurugenzi mkuu mpya wa TANESCO bwana Chande Maharage na baada ya hapo Waziri wa Nishati alivunja bodi ya tanesco na...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Nimetafakari kwa kina kuhusu kukatika kwa umeme maeneo mengi nchini na ukosefu wa maji si jambo la kuleta siasa na matumaini ya kwamba umeme utakuwa vizuri 2025. Hii si sawa, umeme ni uti wa...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Tunashukuru Rais wetu Mtukufu ameridhia hitaji la katiba mpya . Na itapendezwa zaidi Rais atakapong'olewa baadhi ya meno kuepusha utawala wa kibabe Binafsi baadhi ya mambo ambayo natamani yawepo...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Chawa wa ccm na upinzani kwa ujumla wamekuwa wakimuvisha mheshimiwa raisi sifa ambazo hazina msingi huku malalamiko kwa wananchi yakiongozeka mfano mkubwa ni haya yafuatayo- Unawezaje kumwambia...
1 Reactions
3 Replies
535 Views
Back
Top Bottom