DR. BASHIRU ALLY WAKULIMA WAMEMUELEWA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN ACHA WAMSIFIE ANAUPIGA MWINGI CHUKI YA NINI?
DR. BASHIRU ALLY Acha serikali ya awamu ya 6 chini ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN...
Sijashangazwa na kauli ya katibu mkuu UVCCM leo aliyoitoa kwenye media ya kumwita aliyekua katibu mkuu CCM ndugu Bashiru Ali kuwa ni mnafiki kwakua amepuuzilia mbali sifa za kijinga wanazopewa...
Wakuu tumeshamuona Bashiru Ally akirusha mawe gizani huko aliko. Hii imenifanya nimkumbuke huyu jamaa hasa kipindi chake kile cha "Shule ya Uongozi". Sina mengi zaidi.
Binafsi nimemsikiliza na nimeamua kumsamehe bila masharti yoyote na nawaomba wadau wote wa JF mumsamehe.
Ulimi hauna mfupa.
Zaidi soma: Mkuu wa Wilaya Iringa, Richard Kasesela amtukana dereva...
Mara ya mwisho niliposafiri na kutua uwanja wa ndege wa Bukoba nilikaa na mama mmoja wa kihaya aliniambia hali ya hewa uwa mbaya kuanzia saa kumi na mbili asubuhi mpaka around saa sita...
Moja ya sifa za Rais Samia Suluhu Hassan ni muumini mzuri wa mageuzi yenye lengo la kubadili fikra, dhana na mitizamo ambayo imekuwa kikwazo kwa jitihada za vijana katika kufikia mafanikio katika...
"Suala la Rais Mwinyi kumteua mtu aliyehusika kuvuruga uchaguzi wa 2020 kuwa Mkurugenzi wa ZEC, HALIKUBALIKI. Tumeamua kurudi chini kwa Wanachama wetu. Ni wao waliotaka tuingie kwenye Serikali ya...
Kuna ishara nyingi Mungu anatupatia Daily za kujaribu kutushitua kwamba hawa CCM hapa ndio mwisho wao kimawazo, na hawawezi.kwamua hii nchi, na raia tafuteni ukombozi wa pili, lakini wapi...
Ndugu zangu CCM imeonesha umwamba wake wa siasa za hapa Tanzania,imeonesha kuwa ndio chama kikubwa na chenye ushawishi hapa Tanzania, imeonesha namna CCM ilivyo na nguvu hapa nchini, Imeonesha...
Kiasili Waswahili ndio hupendelea mambo ya Siasa Wagalatia Wao hufuata fursa tu
Hata Nyerere alishawishiwa tu na Waswahili kuingia kwenye Siasa ili asaidie harakati za ukombozi
Hivyo hata sasa...
Mtaalamu wa mambo ya Idadi ya Watu UN ameiambia BBC kuwa idadi ya Watu imefika bilioni 8 Duniani huku Nusu ya Watu hao wakiwa Bara la Asia
Mtaalamu huyo amesema Tanzania kuna ongezeko la Watu la...
Nimesikia una mpango wa kujenga mabwawa kwa ajili ya kuhifadhi maji ya mvua ili kukabiliana na upungufu wa maji
Ushauri wangu kwako, Achana na hiyo mipango ya kizamani na ya kimaskini ambayo...
Wasalaam wanajamvi!
Sasa ni zaidi ya mwaka mmoja tangu Mh Rais Samia achague mkurugenzi mkuu mpya wa TANESCO bwana Chande Maharage na baada ya hapo Waziri wa Nishati alivunja bodi ya tanesco na...
Nimetafakari kwa kina kuhusu kukatika kwa umeme maeneo mengi nchini na ukosefu wa maji si jambo la kuleta siasa na matumaini ya kwamba umeme utakuwa vizuri 2025. Hii si sawa, umeme ni uti wa...
Tunashukuru Rais wetu Mtukufu ameridhia hitaji la katiba mpya .
Na itapendezwa zaidi Rais atakapong'olewa baadhi ya meno kuepusha utawala wa kibabe
Binafsi baadhi ya mambo ambayo natamani yawepo...
Chawa wa ccm na upinzani kwa ujumla wamekuwa wakimuvisha mheshimiwa raisi sifa ambazo hazina msingi huku malalamiko kwa wananchi yakiongozeka mfano mkubwa ni haya yafuatayo-
Unawezaje kumwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.