Uzima Tele
JF-Expert Member
- Jan 20, 2023
- 1,099
- 2,342
Hili la umeme kwangu mimi Uzima Tele ndilo pekee hunifanya nimkumbuke kwa uzuri hayati Rais John P. Magufuli kuwa alifanya vyema chini ya u - Rais wake.
Honestly, katika kipindi cha uongozi wake ni kama aliona tatizo lilipokuwa, akachukua hatua na kulidhibiti na kukawa na hali ya utulivu ya upatikanaji wa nishati hii muhimu katika kujenga uchumi wa nchi..
Katika kipindi cha u - Rais wake huyu mwamba (Jiwe), hali ya upatikanaji nishati ya umeme hapa nchini ilikuwa very stable. Hata kama kulikuwa na kukatika umeme, basi ilikuwa na mara moja moja sana tena kwa sababu maalumu.
Tangu kutokea kwa kifo cha John P. Magufuli na huyu mama Samia Suluhu (Rais wa kigeni toka nchi jirani ya Zanzibar)kupokea kijiti, tukarudi nyuma hatua nyingi tulikotoka kwenye enzi za giza la mgawo na kukatikatika ovyo kwa umeme.
Hapa ninvyoongea huku kwetu, leo hii pekee (jumapili ya leo tarehe 30/4/2023), umeme upo lakini hauko stable na umekatika zaidi ya mara 20 kwa interval ya chini ya saa moja Kila mkatiko. Hii imekuwa hivyo siku zote tangu tangu huyu mama achukue uongozi wa nchi hii...!!
Hivi shida ni nini? Huyu mzee, Hayati John P. Magufuli (CCM) alifanya nini ambacho serikali chini ya Rais Samia Suluhu (ambaye naye ni WA chama kilekile yaani CCM) inashindwa kufanya?
Kuna nini katika sekta hizi; ya nishati ya umeme, mafuta ya jamii ya petrol na madini..? Je, ndiko dili za kifisadi za upigaji hela za wananchi (umma) za viongozi wa serikali hii ya CCM zilipo?
Je, hata wewe Rais Samia Suluhu tunayeambiwa kuwa u - mwislamu safi unahusika kwenye dili hizi za kifisadi Kwa gharama ya maisha ya watu wako unaowaongoza...? Kama huhusiki, kwanini umenyamaza kimya kana kwamba huluoni tatizo?
Inakuwaje kuwe na tatizo lilelile miaka yote, miezi yote na siku zote na wahusika (serikali) wakitoa majibu yaleyale bila ufumbuzi wowote?
Kiukweli, lazima tukubali leo kuwa, katika sekta hii ya NISHATI YA UMEME na PETROL na MADINI lipo tatizo kubwa linalohitaji ufumbuzi nje kabisa ya watu hawahawa chini ya CCM waliolitengeza tatizo hili. Kwa sababu tatizo hili haliwezi kuondolewa na watu wenye akili hiyo hiyo iliyosababisha ...!!!
Honestly, katika kipindi cha uongozi wake ni kama aliona tatizo lilipokuwa, akachukua hatua na kulidhibiti na kukawa na hali ya utulivu ya upatikanaji wa nishati hii muhimu katika kujenga uchumi wa nchi..
Katika kipindi cha u - Rais wake huyu mwamba (Jiwe), hali ya upatikanaji nishati ya umeme hapa nchini ilikuwa very stable. Hata kama kulikuwa na kukatika umeme, basi ilikuwa na mara moja moja sana tena kwa sababu maalumu.
Tangu kutokea kwa kifo cha John P. Magufuli na huyu mama Samia Suluhu (Rais wa kigeni toka nchi jirani ya Zanzibar)kupokea kijiti, tukarudi nyuma hatua nyingi tulikotoka kwenye enzi za giza la mgawo na kukatikatika ovyo kwa umeme.
Hapa ninvyoongea huku kwetu, leo hii pekee (jumapili ya leo tarehe 30/4/2023), umeme upo lakini hauko stable na umekatika zaidi ya mara 20 kwa interval ya chini ya saa moja Kila mkatiko. Hii imekuwa hivyo siku zote tangu tangu huyu mama achukue uongozi wa nchi hii...!!
Hivi shida ni nini? Huyu mzee, Hayati John P. Magufuli (CCM) alifanya nini ambacho serikali chini ya Rais Samia Suluhu (ambaye naye ni WA chama kilekile yaani CCM) inashindwa kufanya?
Kuna nini katika sekta hizi; ya nishati ya umeme, mafuta ya jamii ya petrol na madini..? Je, ndiko dili za kifisadi za upigaji hela za wananchi (umma) za viongozi wa serikali hii ya CCM zilipo?
Je, hata wewe Rais Samia Suluhu tunayeambiwa kuwa u - mwislamu safi unahusika kwenye dili hizi za kifisadi Kwa gharama ya maisha ya watu wako unaowaongoza...? Kama huhusiki, kwanini umenyamaza kimya kana kwamba huluoni tatizo?
Inakuwaje kuwe na tatizo lilelile miaka yote, miezi yote na siku zote na wahusika (serikali) wakitoa majibu yaleyale bila ufumbuzi wowote?
Kiukweli, lazima tukubali leo kuwa, katika sekta hii ya NISHATI YA UMEME na PETROL na MADINI lipo tatizo kubwa linalohitaji ufumbuzi nje kabisa ya watu hawahawa chini ya CCM waliolitengeza tatizo hili. Kwa sababu tatizo hili haliwezi kuondolewa na watu wenye akili hiyo hiyo iliyosababisha ...!!!