Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nimewaza sana ukubwa wa Hekari moja na milioni 16 yaani 70 kwa 70 utumie milioni 16 kusafisha eneo hilo linakuwa na nini hasa. Mimi niliwahi kununua ekari 50 mkoa wa pwani maeneo ya makata pali...
8 Reactions
54 Replies
3K Views
Waziri wa Ardhi Dr Mabula amesema hakuna mtu aliyemfukuza mh Mwita Waitara kwenye kikao Ufafanuzi wa Waziri unafuatia madai ya mh Waitara aliyoyatoa kwa Waandishi wa Habari jana kwamba yeye na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Makamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema Kuanzia leo Maridhiano yawe Katiba Mpya, Katiba Mpya, Katiba Mpya " Nasikia sikia wanasema kama tunataka kupewa Nusu Mkate tupewe...
19 Reactions
176 Replies
13K Views
Nilimsoma mkuu Pohamba baada ya Dr Tulia kutangaza kuomba jimbo ligawanywe akisema yawezekana Dr Tulia na Sugu wameshakubaliana kugawana Jimbo ila Wafuasi wao hawaelewi Leo naunga mkono Hoja ya...
1 Reactions
23 Replies
978 Views
Salam! Wote tunajua mchakato wa kuandika Katiba mpya Tanzania wakati wa Kikwete na hadi kukwama kwake. Wote tunajua msimamo wa Magufuli wa kutokutaka kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya. Sasa...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimeona kwenye mitandao ya Kijamii kuwa umeagwa rasmi ndani Jeshi la Polisi, tunakupongeza kwa utumishi wako!! Naomba nikukumbushe,yule uliyekuwa unampiga vita Sana na kumpelekea maneno ya...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa wacheza karata wanafahamu faida za kulamaba dume na athari za kulamba garasa, nami napenda kumpa wosia Rais Samia Suluhu Hassan kwamba kama atafanikisha upatikanaji wa Katiba mpya, basi...
0 Reactions
0 Replies
625 Views
Anayetaka Majimbo anione[emoji23] nimpe mbinu majimbo yapo mengi: Uwe Chama tawala ama chama upinzani 1. Jimbo la Ubungo 2. Kibamba 3. Kinondoni 4.Kawe 5. Bagamoyo 6.Handeni 7. Mafia 8. Lindi...
11 Reactions
70 Replies
4K Views
JUZI, Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde, amesema serikali Ina mpango wa kutengeneza ajira milioni nane kwa vijana ifikapo mwaka 2025, kutatua changamoto ya ajira. Kauli hiyo aliitoa bungeni...
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Nimeona clip police wakifundisha kwa vitendo sehemu ambazo watoto hawatakiwi kuguswa yaani matakoni, mbele pale makao makuu na kwenye saa 6 kifuani. Ufundishaji huu kwangu mimi ni uhuni tu kwa...
3 Reactions
4 Replies
427 Views
Wahenga walisema UKISTAAJABU ya Mussa UTAYAONA ya FIrauni. KUMBE Huko Kuona ni zaidi ya kustaajabu maana ni sawa UPUMBAVU wa kuabudu Wachungaji. Sijui kama naeleweka? Nikumbushe miaka ile ya...
10 Reactions
119 Replies
4K Views
Baraza la wanawake CHADEMA (BAWACHA) wametangaza kuandamana leo Dar es Salaam kuishinikiza serikali kuwaondoa bungeni wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA maarufu kama COVID 19. Ni nini maoni...
8 Reactions
81 Replies
4K Views
Waitara ametoka nje ya bunge baada ya kufanyiwa ubabe na wenye mamlaka. Aliikimbia cdm kwa kupewa vipande vya manemane na kudanganywa na jiwe. Leo hii ameanza kulialia na kufanyiwa ubabe na rc...
21 Reactions
80 Replies
6K Views
Ushauri kwa Ndugu yetu Ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya. Ndefu Ila nafupisha kwa Kadri ya uwezo ......Bro.wangu Anasoma nchi moja hapo ulaya! Huyu Ni brother Alienda Europe 2020..alienda...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
'TEGESHA' YA NYUMBA ZA MWITA WAITARA NA NDUGU ZAKE KIKWAZO FIDIA WANANCHI MGODI NORTH MARA Unaambiwa walivyojua kuna fidia wakajenga nyumba haraka, Mwita akachukua mikopo bank akakimbilia...
3 Reactions
3 Replies
750 Views
BAWACHA wamesema kesho 11/5/2023 watafanya maandamano ya amani kupinga Halima Mdee na wenzake kuendelea kuwemo bungeni. Katibu mkuu wa BAWACHA CPA Ruge amesema wataandamana wakiwa wamevaa Viatu...
0 Reactions
1 Replies
472 Views
WIZARA YA MAJI YAOMBA BAJETI YA BILIONI 756 Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso akisoma hoja ya bajeti Bungeni amesema Wizara ya Maji imeliomba Bunge liidhinishe jumla ya Shilingi...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Jambo Jambo? Kwa habari za chinichini zilizonifikia kutoka chanzo muhimu ninacho kiamini ni hizi hapa. ——————————————————————- Unaambiwa ATCL Yafikiria kuondoa ndege zake ndogo kama bombadier na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
"If you put bananas and money in front of monkeys, monkeys will choose bananas because monkeys do not know that money can buy a lot of bananas. In reality, if you offer a job and business to...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Tukielekea kilele cha miaka miwili ya Rais Samia Suluhu Madarakani amefanikiwa kufungua mikutano ya hadhara kwa vyama vya upinzani maana walikua wakitamani kwa muda mrefu sana na watanzania...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Back
Top Bottom